Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sad
1597526507655.jpg
 
Gabriel wamebaki Arsenal na Napoli

Man u na Everton wameshindwa mbio

Lille wana ofa mezani ya €30m

Mchezaji anatakiwa aamue ,kufanya maamuzi jumatatu


EXCLU @le10sport : Match final Arsenal / Naples pour Gabriel (Lille) !

Exit Everton et Manchester United

Lille a accepté les offres à 30M€. Le joueur doit choisir lundi ! EXCLU - Mercato - LOSC : Un match final entre Naples et Arsenal pour Gabriel !
 
Both Arsenal and Napoli have offered €30m for Gabriel Magalhães and Lille have accepted. The player will choose his new team on monday, according to @AlexisBernard10.

Gabriel has rejected offers from Manchester United and Everton.
 
Man u kapigwa chini wamemgeukia mlinz wa Monaco


Ofa ya arsenal na Napoli zimekubaliwa kiasi cha €30m


Kazi kwa Gabriel Magalhaes kuchagua kati ya Napoli au Arsenal
IMG_20200816_005456_438.JPG
 
Man u kapigwa chini wamemgeukia mlinz wa Monaco


Ofa ya arsenal na Napoli zimekubaliwa kiasi cha €30m


Kazi kwa Gabriel Magalhaes kuchagua kati ya Napoli au ArsenalView attachment 1538678
Unakuta vinyumbu vilijipeleka kwa tamaa baada ya kusikia bwana wao Arsenal kafika dau..

Kumbe kijana alikuwa tayari kashawashtukia, kaamua awapige chini!
 
Arsenal na Napoli wametuma ofa ya €30m kwa Gabriel Magalhaes na zote zimekubaliwa

Mchezaji anatakiwa afanye maamuzi


Kufikia jumatatu itafahamika anaenda wapi
Karibu Arsenal, Gabriel.. Mpaka sasa tushajua kachagua wapi. Wasiojua wasubiri hiyo siku.

Hakuna asiyependa kucheza soka England tena kwenye chama kubwa kama Arsenal, na wabrazili wenzie wakiwepo.
 
Unakuta vinyumbu vilijipeleka kwa tamaa baada ya kusikia bwana wao Arsenal kafika dau..

Kumbe kijana alikuwa tayari kashawashtukia, kaamua awapige chini!
Hii statement tamu sana..na inakuwa tamu zaidi utakaporealize huyo mchezaji haji arsenal
 
Endelea kujitekenya huku unacheka,Tulishasema ht tumalize wa 50 wachezaji wazuri watakuja tu kwny Chama kubwa Gunners
Watajua kuwa hawajui

Partey kagoma kuongeza mkataba ATM toka mwez October. ,his desire is to join Arsenal

Barca offered Coutinho to Arsenal ,Arsenal completed all personal terms since last week , its remain Arsenal to decide whether to Bring Coutinho to Arsenal or not

Now Tumemgeukia Aouar (first bid £44m+ Guendouz rejected)

I wish 2nd bid will be sent immediately
 
Endelea kujitekenya huku unacheka,Tulishasema ht tumalize wa 50 wachezaji wazuri watakuja tu kwny Chama kubwa Gunners
Halafu wachezaji sasa hivi wanataka kufanya kaz na Arteta ,sababu Pale city hakuwa tu msaidizi oya oya

Pia mishahara bado tunalipa vzr

partey anapata £65k p/w ,Arsenal offered triple salary
 
Kulingana na @arseblog, Arsenal iko karibu kukamilisha usajiri wa beki (LCB)..

Inatarajiwa kwamba pia kutakuwa na sajiri nyingine pia kutakuwa na watakaouzwa .

Hii haitaathiri mkataba mpya wa Aubameyang .
 
Arsenal wanataka kumtoa Özil kwa vilabu mbalimbali.

Galatasaray walipokea barua rasmi kutoka kwa Arsenal iliyosainiwa na Raul kutoa ruhusa kwa Gala kufungua mazungumzo na Özil na kumshawishi ajiunge nao.

Barua hiyo ilijumuisha mawasiliano ya Özil na meneja wake
IMG_20200816_114244.jpg
 
Back
Top Bottom