Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Raul anakesi hata na Barca juu ya Dili la neymar....kuna zaidi ya hela inayotajwa....wamepiga ....

ni mtu wa mjini sana ndio maan hata mashabiki wa arsenal tunamkubali sababu anakuletea wachezaji ila tambua lazima awe na percent yake.....


Ni muhuni wa biashara ,hivo ni haki yake kutumia uwezo alionao kupiga wajinga .....wakina kroenke family


Kroenke family Wameajiri Mwanasheria nguli kakuta kuna upigaji

Leo safari yake imeiva


Majukumu yote ,Ya usajiri kaachiwa ARTETA NA EDU


KAMA ILIVYOKUWA KWA AESENE NA DAVID DEIN
Tukiachilia kwamba majukumu wamepewa arteta na edu, Arsenal wanahitaji mtu mwenye experience & connection tosha kuhusu usajili. Na kingine kufukuzwa kazi kwa mascout Francis cagigao & Sven mislintat itawapa kazi ngumu Arsenal
 
Tukiachilia kwamba majukumu wamepewa arteta na edu, Arsenal wanahitaji mtu mwenye experience & connection tosha kuhusu usajili. Na kingine kufukuzwa kazi kwa mascout Francis cagigao & Sven mislintat itawapa kazi ngumu Arsenal
Kitengo cha scouting bado kipo kaka
 
Juventus and Paratici have decided to attempt to strike a deal for Alexandre Lacazette. Pirlo admires the striker for his quality and characteristics. [@SkyItalia]
 
Mbona tunahusishwa na wachezaji wengi sana, Diawara,J.Fernandes,Aour,coutinho,partey,Gabriel,Ni km hatuna priorities mkuu.
Ipo hivi , Mfano tunahitaji AM, CM au LCB


Basi kila nafasi inakuwa na option au target hadi 4

Ndio maana unashangaa why tunahusishwa na Partey ,diawara ,Danilo

Au Coutinho na Aouar

Au Malang Sarr ,Gabriel , Disasi, Mykola

Unapokosa Target ya kwanza unaenda ya pili


Mfano liver pool walikuwa wanamtaka Lewis wa Norwich waliposhindwa bei wakageukia Target ya pili Timskasi
 
Gabriel Magalhaes kashafanya maamuzi

Muda si mrefu itajulikana ameichagua timu gani ya kwenda




The decision has been made by Gabriel Magalhães.

“A new beautiful phase in life will start soon.”
IMG_20200815_165142.jpg
 
Gabriel Magalhaes kashafanya maamuzi

Muda si mrefu itajulikana ameichagua timu gani ya kwenda




The decision has been made by Gabriel Magalhães.

“A new beautiful phase in life will start soon.”View attachment 1538138
kweli una EDU how comes mchezaji wa Brazil akushinde si itakuwa ujinga


Nalog Off ,

Nitarud saa 2 naamini nitakuta breaking news au tetes Gabriel Magalhaes anaelekea North London


Hii chini ni post Yake ya Mwisho
IMG_20200815_170251.jpg
 
Tim Lewis, mjumbe wa bodi aliyeteuliwa na Kronke mnamo Julai 1, aliuliza idara zote za klabu kumpa ripoti za kina juu ya utumiaji wao na bajeti kamili kwa msimu wa 19/20.

Harakati za kutimua wafanyakazi na watawala kama Raul hazijamalizika bado ..

Lewis bado anafanya uhakiki wa makini wa kila mgawanyiko katika klabu.
IMG_20200815_141255.jpg
 
Tim Lewis, mjumbe wa bodi aliyeteuliwa na Kronke mnamo Julai 1, aliuliza idara zote za klabu kumpa ripoti za kina juu ya utumiaji wao na bajeti kamili kwa msimu wa 19/20.

Harakati za kutimua wafanyakazi na watawala kama Raul hazijamalizika bado ..

Lewis bado anafanya uhakiki wa makini wa kila mgawanyiko katika klabu.View attachment 1538336

Kama wakumbuka kuna kipindi Arsene Wenger alisema anaondoka Arsenal akiacha klabu kwenye "good financial position", hapa kwa kweli nilijiuliza sana juu ya kauli hii ya Arsene.

Na kabla ya hapo Wenger alikuwa hakubaliani na klabu kumleta mkurugenzi wa mpira yaani director of footbal, hapa pia Wenger alikuwa akitoa indications fulani .

Sasa walotaka Wenger aondoke wataelewa.
 
According to some unusual fantasy football leaks Arsenal will be playing Manchester United at Old Trafford on the opening day of the season.
 
Back
Top Bottom