Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyumbu wachague popote wanapopataka tupo tayari kwa mchezo
Mwanitesa utd hata wakitaka tukachezee kwenye maji watafariki kama ifuatavyo.

Katika ile big 4, hawa na Chelsea tunawafunga wote ndio tunahesabu tumefunga team moja iliyotimia.
 
Mwanitesa utd hata wakitaka tukachezee kwenye maji watafariki kama ifuatavyo.

Katika ile big 4, hawa na Chelsea tunawafunga wote ndio tunahesabu tumefunga team moja iliyotimia.
Kabisa mkuu, walitakiwa waungane ili waje wacheze nasi fainali ya FA ila mmoja wao akajifanya kiherehere
 
Kabisa mkuu, walitakiwa waungane ili waje wacheze nasi fainali ya FA ila mmoja wao akajifanya kiherehere
Na uzuri tumempatia alichotaka. Ukimpiga risasi tembo akafa, kama kulikuwa na swala pembeni anadedi kwa kishindo tu.

Baada ya kumtia kiberiti City semi final huyu 'swala' ilikuwa wa kuokota na kumchuna tu.
 
The Times:

Arteta has won a power battle at Arsenal after Raul left his post as the club’s head of football. Arteta will be given the final say on transfers alongside Edu, the technical director, after the club streamlined a structure that was introduced Mikel Arteta gets final say on transfers after Arsenal’s head of football Raul Sanllehi makes sudden exit
IMG_20200806_183552.jpg
 
Breaking News: Chris Morgan has left arsenal to join Liverpool.

Arsenal Looking to bring Mazziot
 
Statement ya Willian. Nasi tunamtakia kheri katika utelkelezaji wa majukumu yake.

I think this club deserves to shine again and I want to be a part of this project.
League titles

Arsenal: 13
Chelsea: 6
Spurs: 2

Trophies

Arsenal: 45
Chelsea: 28
Spurs: 24

Just a reminder that London is Red.
 
L’Equipe allegedly reported Lyon turned down an offer of Guendouzi and £44m (€48.6m) for Houssem Aouar. That’s around £79m (€87.2m) in value...
 
League titles

Arsenal: 13
Chelsea: 6
Spurs: 2

Trophies

Arsenal: 45
Chelsea: 28
Spurs: 24

Just a reminder that London is Red.

In other words,

League titles:

Arsenal = Chelsea + Spurs + 5

Trophies:

Arsenal = Chelsea + Spurs - 7

Therefore, London will remain RED whatsoever color you paint it
 
Dili la Pepe limemfukuzisha kazi Raul

KSE miezi miwili walimuajiri TIM LEWIS (pichani) ni mwanasheria mkubwa

Amekuja kufanya uchunguzi inaonesha dili la pepe Ni zaidi ya £72m ,kuna overprice ,au tuseme kuna harufu ya Upigaji

Kuna hela ndefu ilitumika ,kama mnavyojua Raul ni mtu wa Rafu,

Inaonesha mawakala walipiga hela ndefu


Zaidi soma hapa

Arsenal confirm head of football Raul Sanllehi is leaving the club. Follows the investigation revealed by @ESPNFC yesterday:

Arsenal investigate £72m Pepe transfer; Barcelona start hunt for new bossView attachment 1537961
Timu imejaa wapigaji tu mtamkumbuka Wenger..
#CFC

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom