Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kubali na nyie mlitandikwa 7 bado ipo kwenye history
Hii ndo unforgettable
20200815_083854.jpg
 
From ||

L’Equipe report that Edu has contacted Lyon, proposing a swap deal of Guendouzi + cash, for Houssem Aouar. Lyon have rejected the first proposal by the club.
 
Umesahau ulipigwa 10 tena ukiwa kwenye Ubora wenu kabisa.

Mimi na ubovu wangu nimepigwa 7 ningekuwa vizuri wale hata dro wasingepata, umesahau uefa final? Allianz Arena
Acha mambo ya ajabu Arsenal haijawahi kufungwa 10, mpira ni dakika tisini au za ziada katika siku moja ambayo Arsenal ilifungwa 5 siku moja na baada ya juma moja.
 
Umesahau ulipigwa 10 tena ukiwa kwenye Ubora wenu kabisa.

Mimi na ubovu wangu nimepigwa 7 ningekuwa vizuri wale hata dro wasingepata, umesahau uefa final? Allianz Arena
Nani alikwambia kipindi kile tulikuwa katika ubora wetu kabisa?
Halafu kuleta history ya matokeo ya Arsenal sio mwarobaini wa kukupunguzia maumivu ya kipigo chako cha juzi 7
 
Hii Barca ya sasa ni arsenal iliyochangamka..
Wewe una kidonda kibichiiiiiiii cha wiki,

England:-One,Two,Three,Four,Five,Six,Seven,


Germany:-Eins,Zwei,Drei,Vier,Funf,Sechs,Sieben,

France:-Un,Deux,Trois,Quatre,Cinq,Six,Sept,

Na bado una nguvu za kuingia humu
 
Usajili Updates: Arsenal wanazungumza na Roma, kubadilishana Diawara na Lucas Torreira.

Kiaje wakuu, moja kwa moja kwenye taarifa za usajili.

1597487477633.png

Lucas Torreira huenda akatua Stadio Olympico.

Arsenal wanafanya mazungumzo na Roma ya kubadilishana wachezaji wawili wa kiungo Lucas Torreira na Amadou Diawara.

Mazungumzo hayo yanahusu kufanya wachezaji hawa wawe wanacheza kwa mkopo baina ya timu hizo mbili.

Arsenal na Roma ya Italia tayari wana historia ya kufanya biashara ya usajili kwani wana mchezaji wa kiungo Henrikh Mkhitaryan ambae nae alienda kwa mkopo.
 
Breaking news!!

Raul Sanlehhi aondoka Arsenal!


Mkurugenzi wa mpira aondoka Arsenal mchana huu.

Mkurugenzi mtendaji Vinai Venkatsesham kushika nafasi ya Sanlehhi kwa muda.

Taarifa ya kuondoka kwa Sanlehii imetolewa kwenye tovuti ya Arsenal akiwashukuru Arsenal na kutoa sababu kwamba anaondoka ili kupata nafasi ya kuwa na familia yake.
 
Statement ya Willian. Nasi tunamtakia kheri katika utelkelezaji wa majukumu yake.

I think this club deserves to shine again and I want to be a part of this project.
 
Kwani wewe si hata wiki haijapita ,toka ufumuliwe 7 (wiki) na hawa jamaa au umeshajisahaulisha?


Breaking news hatimae Agent (wakala) aliemleta KEPA CHELSEA fc amekamatwa Leo mjini Bilbao View attachment 1537727
Kwani ni lini Chelsea ilifungwa 7 katika dakika 90?
Acha mambo ya ajabu Arsenal haijawahi kufungwa 10, mpira ni dakika tisini au za ziada katika siku moja ambayo Arsenal ilifungwa 5 siku moja na baada ya juma moja.
 
Dili la Pepe limemfukuzisha kazi Raul

KSE miezi miwili walimuajiri TIM LEWIS (pichani) ni mwanasheria mkubwa

Amekuja kufanya uchunguzi inaonesha dili la pepe Ni zaidi ya £72m ,kuna overprice ,au tuseme kuna harufu ya Upigaji

Kuna hela ndefu ilitumika ,kama mnavyojua Raul ni mtu wa Rafu,

Inaonesha mawakala walipiga hela ndefu


Zaidi soma hapa

Arsenal confirm head of football Raul Sanllehi is leaving the club. Follows the investigation revealed by @ESPNFC yesterday:

Arsenal investigate £72m Pepe transfer; Barcelona start hunt for new boss
IMG_20200815_141255.jpg
 
Back
Top Bottom