Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nitaumia sana NILES akiuzwa , jamaa amekuwa msaada sana ,ni bas hajaaminiwa. ,

Amekuwa akitumika kama LB,LWB,RWB ,CM anakichafua vzr tu

Arteta hawez kukubali jamaa auzwe maana amekuwa akitekeleza majukumu anayomtuma kwa 100%

Angalia anapomtuma akacheze kama LWB jamaa anakuwa committed 100% ,
Niles apewe namba ya kudumu, he's very talented, kwenye CUP kaonesha uwezo mkubwa sn
 
AUBAMEYANG, COUTINHO, NA WILLIAN

TUTAUPATAJE UBORA WAO?

Jurgen Klopp ni kama anamwambia Mikel Arteta jinsi ya kumfanya Philippe Coutinho ni kwa vipi awe Bora, hii ni baada ya mazungumzo yanayotajwa ya kuhamia Arsenal

Kupitia Klopp Ndipo tuliuona ubora wa hali ya juu wa Coutinho , hii ilichagizwa na ubora wa kocha kumsaidia mchezaji kupandisha kiwango chake ,

Klopp Anasema

"Coutinho Alicheza nafasi yake anayopenda ya namba kumi na sisi mara chache, lakini aliweza kucheza namba nane vizuri na winger ya kushoto kwa uwezo mkubwa",

bosi wa Reds Klopp akiongea na Gazeti la Kicker mnamo Agosti mwaka jana

"Kwa sababu yeye" ana nguvu ya kutosha katika nafasi ndogo(small space), lakini pia ana kasi sana kwenye nafasi kubwa(large space)"

Utaona Coutinho anapokutana na ngome ya timu pinzani inayokaa sana nyuma na kufinya nafasi kuwa ndogo atatumia nguvu na akili kunyumbulika , pia kwenye nafasi kubwa pale timu pinzani inapocheza mpira wa kuacha nafasi kubwa anakuwa na kasi kubwa na kuweza kumpa nafasi ya kupiga na kutoa pasi.

Arteta amebadilisha kati ya mifumo 4-2-3-1 na 3-4-3 tangu ateuliwe kuwa kocha mkuu wa Arsenal, na mifumo yote miwili ingemfaa Coutinho kwani angeweza kucheza kama '10' kwenye 4-2-3-1 au kutokea kushoto kwenye 3-4-3

Walakini, gazeti la Times limedai bosi wa Gunners Mikel Arteta anamuhitaji nyota huyo wa zamani wa Liverpool kwa kusudi la kubadilisha mfumo wa 4-3-3 msimu ujao.

Hii inaweza kupendekeza mpango wa Arteta ni kumtumia Coutinho kama '8', uwezekano wa sanjari na Dani Ceballos na Thomas Partey au Granit xhaka .

Pamoja na kwamba Willian anakaribia kukamilisha uhamisho wake kwenda Emirates , anaweza kutumika kutokea Winger ya kushoto, na hivyo kumruhusu nahodha Pierre-Emerick Aubameyang kucheza katika nafasi yake ya mbele.(CF)

Vinginevyo, Arteta anaweza kutumia mbinu zaidi ambayo itaruhusu Coutinho na Willian kubadilishana majukumu., kwenye kushambulia.
IMG-20200804-WA0009.jpg
 
Nitaumia sana NILES akiuzwa , jamaa amekuwa msaada sana ,ni bas hajaaminiwa. ,

Amekuwa akitumika kama LB,LWB,RWB ,CM anakichafua vzr tu

Arteta hawez kukubali jamaa auzwe maana amekuwa akitekeleza majukumu anayomtuma kwa 100%

Angalia anapomtuma akacheze kama LWB jamaa anakuwa committed 100% ,
Dah kweli macho yetu kama washabiki tumetofautiana sana huyu jamaa kwangu ni aina ya lazy players wengi tuliokua nao kwenye timu ambao binafsi nisingependa awepo kabisa.

Huyu Niles, Xhaka,Holding,Willock ,Nelson kwangu sioni kama wanafaa kuipeleka arsenal kwenye mafanikio chanya. Hawa na baadhi ya wachezaji wengine ndio wameipeleka arsenal kuifanya kua timu Nyanya sana.arsenal inayogombania nafasi ya kucheza ueropa. Ni mtazamo wangu lakini.
 
Dah kweli macho yetu kama washabiki tumetofautiana sana huyu jamaa kwangu ni aina ya lazy players wengi tuliokua nao kwenye timu ambao binafsi nisingependa awepo kabisa.

Huyu Niles, Xhaka,Holding,Willock ,Nelson kwangu sioni kama wanafaa kuipeleka arsenal kwenye mafanikio chanya. Hawa na baadhi ya wachezaji wengine ndio wameipeleka arsenal kuifanya kua timu Nyanya sana.arsenal inayogombania nafasi ya kucheza ueropa. Ni mtazamo wangu lakini.
Niles alikuwa bado anakomaa kuelewa mchezo unaendaje,utakuwa umeona kwny game za hivi karibuni kazi aliyoifanya,lakini mzee unanishangaza ukisema Xhaka hatufai!!
 
Dah kweli macho yetu kama washabiki tumetofautiana sana huyu jamaa kwangu ni aina ya lazy players wengi tuliokua nao kwenye timu ambao binafsi nisingependa awepo kabisa.

Huyu Niles, Xhaka,Holding,Willock ,Nelson kwangu sioni kama wanafaa kuipeleka arsenal kwenye mafanikio chanya. Hawa na baadhi ya wachezaji wengine ndio wameipeleka arsenal kuifanya kua timu Nyanya sana.arsenal inayogombania nafasi ya kucheza ueropa. Ni mtazamo wangu lakini.
Xhaka hafai? Wewe jamaa huwa unaangalia mpira kweli?
 
Dah kweli macho yetu kama washabiki tumetofautiana sana huyu jamaa kwangu ni aina ya lazy players wengi tuliokua nao kwenye timu ambao binafsi nisingependa awepo kabisa.

Huyu Niles, Xhaka,Holding,Willock ,Nelson kwangu sioni kama wanafaa kuipeleka arsenal kwenye mafanikio chanya. Hawa na baadhi ya wachezaji wengine ndio wameipeleka arsenal kuifanya kua timu Nyanya sana.arsenal inayogombania nafasi ya kucheza ueropa. Ni mtazamo wangu lakini.

Mkuu ukiangalia umri wa Niles ni umri ambao mchezaji anahitaji kupata personal development kwa kutumiwa kwenye nafasi moja na iwe ni his best prefered position, kinyume chake Niles anatumika kama kiraka kucheza kama full back (right and left), anacheza pia kama right winger na sometimes anacheza kama central midfielder.

Ni wachezaji wachache sana kwenye umri wake wanaweza kuwa na versatility ya kiwango hicho, na pia hiyo inaathiri sana uwezo wa mchezaji kufanya vizuri kutokana na kubadilishiwa majukumu kila leo, ila Niles bado anaonesha uwezo wake katika majukumu hayo tofauti. Kwangu me huyu hapaswi kuuzwa, ni moja ya valuable assets kwa club ya Arsenal.

Kwa Xhaka sijajua unamuona vipi hafai wakati ndio kiungo wetu tegemezi na anaibeba timu kila siku. Holding amekuwa na changamoto sana ya majeruhi, siwezi mlaumu.

Kwa hao kina Willock na Neilson ni the same case, ndani ya miaka miwili wanafundishwa na walimu watatu (Wenger, Unai na Mikel) hapo hujazungumzia timu walizoenda kwa mikopo. Kwa umri wao inaweza kuwaathiri kucheza chini ya makocha tofauti kila siku tena wenye falsafa tofauti pia.
 
Dah kweli macho yetu kama washabiki tumetofautiana sana huyu jamaa kwangu ni aina ya lazy players wengi tuliokua nao kwenye timu ambao binafsi nisingependa awepo kabisa.

Huyu Niles, Xhaka,Holding,Willock ,Nelson kwangu sioni kama wanafaa kuipeleka arsenal kwenye mafanikio chanya. Hawa na baadhi ya wachezaji wengine ndio wameipeleka arsenal kuifanya kua timu Nyanya sana.arsenal inayogombania nafasi ya kucheza ueropa. Ni mtazamo wangu lakini.
Kumuweka Xhaka hapo umekosea ....Xhaka ni mtu wa tatu kwa umhimu Arsenal baada ya Mikel na Auba
 
Dah kweli macho yetu kama washabiki tumetofautiana sana huyu jamaa kwangu ni aina ya lazy players wengi tuliokua nao kwenye timu ambao binafsi nisingependa awepo kabisa.

Huyu Niles, Xhaka,Holding,Willock ,Nelson kwangu sioni kama wanafaa kuipeleka arsenal kwenye mafanikio chanya. Hawa na baadhi ya wachezaji wengine ndio wameipeleka arsenal kuifanya kua timu Nyanya sana.arsenal inayogombania nafasi ya kucheza ueropa. Ni mtazamo wangu lakini.
Kila mmoja na mtazamo wake ila Mimi kwangu Xhaka ni bonge la mchezaji na hata huyu Niles anajitahidi kuziba nafasi uwanjani ila hao wengine wakuuza tu!!
Huu ni mtazamo wangu kwa chama langu Arsenal.
 
Mkuu ukiangalia umri wa Niles ni umri ambao mchezaji anahitaji kupata personal development kwa kutumiwa kwenye nafasi moja na iwe ni his best prefered position, kinyume chake Niles anatumika kama kiraka kucheza kama full back (right and left), anacheza pia kama right winger na sometimes anacheza kama central midfielder.

Ni wachezaji wachache sana kwenye umri wake wanaweza kuwa na versatility ya kiwango hicho, na pia hiyo inaathiri sana uwezo wa mchezaji kufanya vizuri kutokana na kubadilishiwa majukumu kila leo, ila Niles bado anaonesha uwezo wake katika majukumu hayo tofauti. Kwangu me huyu hapaswi kuuzwa, ni moja ya valuable assets kwa club ya Arsenal.

Kwa Xhaka sijajua unamuona vipi hafai wakati ndio kiungo wetu tegemezi na anaibeba timu kila siku. Holding amekuwa na changamoto sana ya majeruhi, siwezi mlaumu.

Kwa hao kina Willock na Neilson ni the same case, ndani ya miaka miwili wanafundishwa na walimu watatu (Wenger, Unai na Mikel) hapo hujazungumzia timu walizoenda kwa mikopo. Kwa umri wao inaweza kuwaathiri kucheza chini ya makocha tofauti kila siku tena wenye falsafa tofauti pia.
Nakubaliana nawe Mkuu!!
 
Arsenal will sell France striker Alexandre Lacazette, 29, to Atletico Madrid for £30m as soon as Gabon striker Pierre-Emerick Aubameyang, 31, agrees a new deal. (Star Sunday)
 
Arsenal have joined the race to sign Marseille midfielder Morgan Sanson, with Tottenham and West Ham also interested in the 25-year-old Frenchman. (Le10 Sport, via Sunday Express)
 
Arsenal are stepping up their search for a new goalkeeper to cover Emiliano Martinez as they seek clarification on how long usual first choice Bernd Leno will be out with a knee injury. (Sun on Sunday)
 
Atletico Madrid are considering a move for Arsenal and Uruguay midfielder Lucas Torreira, 24. (Mundo Deportivo - in Spanish)
 
Arsenal want to spend £100m on Real Madrid midfielder Dani Ceballos, 24, Atletico Madrid midfielder Thomas Partey, 27, and Lille defender Gabriel, 22, this summer but need to sell players in order to do so. (Sun on Sunday)
 
Niles alikuwa bado anakomaa kuelewa mchezo unaendaje,utakuwa umeona kwny game za hivi karibuni kazi aliyoifanya,lakini mzee unanishangaza ukisema Xhaka hatufai!!
Jamaa hajui Xhaka ndio backbone ya Arsenal ,ndio maana Arteta alipambana jamaa abaki,

Ndio mchezaji ambaye Akiwepo Arsenal ina uhakika wa kushinda

Hata waje viungo wangapi dirisha hili, Xhaka ana uhakika wa kuanza na hakuna wa kumtoa kabisa
 
Kumuweka Xhaka hapo umekosea ....Xhaka ni mtu wa tatu kwa umhimu Arsenal baada ya Mikel na Auba
Yaan hata tukileta viungo 10

Watajichagua wakuungana na kucheza na Xhaka

Xhaka ndio backbone ya Arsenal eneo la MD ,

Ndio maana Arteta alipambana kwa nguvu zote akabaki

Takwimu zinaonesha Xhaka akiwepo uwezekano wa kupoteza mech ni mdogo sana

Xhaka alipotea baada ya kucheza double pivot na Matteo Gunduz
 
Back
Top Bottom