Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Halafu Auba aache kuzingua bhana! Kuwafunga Chelsea tu kaamua kuchukua Kademu kafupi kama hichi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Lakini kwenye butts kamejazia! Nadhani ndiyo yanayompagawisha ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

AUBA.jpg
 
Barca watahakikisha Coutinho anasepa , Maana Watadaiwa na Liverpool

Barca pay an additional โ‚ฌ20m (ยฃ17.35m) when Coutinho makes 100 appearances for the club, plus โ‚ฌ5m (ยฃ4.33m) if helps them claim the Champions League.

If Coutinho were to leave the Camp Nou this summer he would fall short of the latter two targets, meaning in this scenario, the Reds would stand to lose out on โ‚ฌ25million (ยฃ21.7m).
 
The Catalan journalist agrees today with information about Arsenal & Coutinho. . sport .. the agreement has been made between Arsenal and Coutinho .


. Arsenal wants to borrow him a season (with his salary shared) with the option to buy .. . @Mundodeportivo ..


Arsenal asked to borrow him with a share of his salary, but Barcelona wants to wait until after the champions .

. https://t.co/wdcsL1iDDW
IMG_20200808_115717.jpg
IMG_20200808_115715.jpg
 
BREAKING NEWS KUTOKA ITALY MUDA HUU

Lucas Torreira was offered to AC Milan in the last few hours. AC Milan are open to negotiation but will wait to see what are @Arsenalโ€™s demands.
 
Sport: Although Coutinho wants to focus on Bayern UCL but it is true he visited Arsenal training ground on Friday to see the training facilities/negotiate (his next destination)
IMG_20200808_115717.jpg
 
Sisi hatuendi kutegemea miujiza km huyo small mind Bayern speaker anavyo expect. Tunaenda kucheza mpira kama tunavyocheza na timu nyingine litakalotokea sawa tu na ndio matokeo ya mpira.
msiende kucheza mpira wa kihuni (fouls) kama mlivyozoea, mtapigwa redcard
 
Arsenal have reportedly asked Barcelona to cover some of Philippe Coutinhoโ€™s wages as they look to complete a loan deal for the player with an option to buy next summer.
 
Journalist Layth claim

Arsenal target transfer treble as Gunners line-up Coutinho and Partey while aiming to sign Ceballos permanently @GoonerFanzine

The Online Gooner https://t.co/9VXTP9b6gR
Kwa mpira anavyoupiga Ceballos unadhani nani atakubali kukaa nje kati yao km Partey akisajiliwa?, maana binafsi sioni mtu wa kucheza as a playmaker kati ya Xhaka, ceballos na partey.
 
Hili Saga la partey,Xhaka, Coutinho na Ceballos likifanikiwa tutakua na Mid flani hatari sana, ila sasa nani wa kukaa benchi kati yao?

Mimi paka sasa 1st eleven yangu Xhaka,Ceballos lazima waanze,Tukipata Mid wote hao hata tusiposajili beki goli tutafunga za kumwaga,hapo Laca asiuzwe plus Willian, anayesajili afanye chapu asee
 
Hili Saga la partey,Xhaka, Coutinho na Ceballos likifanikiwa tutakua na Mid flani hatari sana, ila sasa nani wa kukaa benchi kati yao?

Mimi paka sasa 1st eleven yangu Xhaka,Ceballos lazima waanze,Tukipata Mid wote hao hata tusiposajili beki goli tutafunga za kumwaga,hapo Laca asiuzwe plus Willian, anayesajili afanye chapu asee
Xhaka ndio mwenye uhakika 99% kuanza
 
Back
Top Bottom