Richard
Platinum Member
- Oct 23, 2006
- 16,636
- 25,617
Usajili News: Arsenal kumsajili beki Malang Sarr bila ada, wakishindwa kumsajili Sergio Carlos wa Sevilla.
Vyanzo vya kuaminika kabisa kutoka Uhispania vinasema Arsenal wanashindwa kuafikiana na timu ya Sevilla kuhusu kumsajili beki Diego Carlos kwani ada ni kubwa sana ya Euro milioni 60.
Msenegali Sarr hana ada ya uhamisho hivyo kufanya dili lake kuwa ahueni.
Sarr ni raia wa Ufaransa ambae amechezea timu ya vijana umri chini ya miaka 21 ya Ufaransa.
Taarifa zaidi kuja.
Baada yahapo akachezea klabu ya Nice.
Vyanzo vya kuaminika kabisa kutoka Uhispania vinasema Arsenal wanashindwa kuafikiana na timu ya Sevilla kuhusu kumsajili beki Diego Carlos kwani ada ni kubwa sana ya Euro milioni 60.
Msenegali Sarr hana ada ya uhamisho hivyo kufanya dili lake kuwa ahueni.
Sarr ni raia wa Ufaransa ambae amechezea timu ya vijana umri chini ya miaka 21 ya Ufaransa.
Taarifa zaidi kuja.
Baada yahapo akachezea klabu ya Nice.

| #AFC
/




