Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Usajili News: Arsenal kumsajili beki Malang Sarr bila ada, wakishindwa kumsajili Sergio Carlos wa Sevilla.

1596655426108.png


Vyanzo vya kuaminika kabisa kutoka Uhispania vinasema Arsenal wanashindwa kuafikiana na timu ya Sevilla kuhusu kumsajili beki Diego Carlos kwani ada ni kubwa sana ya Euro milioni 60.

Msenegali Sarr hana ada ya uhamisho hivyo kufanya dili lake kuwa ahueni.

Sarr ni raia wa Ufaransa ambae amechezea timu ya vijana umri chini ya miaka 21 ya Ufaransa.

Taarifa zaidi kuja.

Baada yahapo akachezea klabu ya Nice.
 
Tier 1 lille source


| #AFC

Lille centre back Gabriel Magalhães would like to join Arsenal as quickly as possible. More will be known in the coming days. [@lavoixdunord] /

This is a 'hyper reliable' news source from the local region so we have every reason to rate this highly, tier wise.
 
Usajili News: Arsenal kumsajili beki Malang Sarr bila ada, wakishindwa kumsajili Sergio Carlos wa Sevilla.

View attachment 1528237

Vyanzo vya kuaminika kabisa kutoka Uhispania vinasema Arsenal wanashindwa kuafikiana na timu ya Sevilla kuhusu kumsajili beki Diego Carlos kwani ada ni kubwa sana ya Euro milioni 60.

Msenegali Sarr hana ada ya uhamisho hivyo kufanya dili lake kuwa ahueni.

Sarr ni raia wa Ufaransa ambae amechezea timu ya vijana umri chini ya miaka 21 ya Ufaransa.

Taarifa zaidi kuja.

Baada yahapo akachezea klabu ya Nice.
Kaka Arsenal wapo kwa Gabriel Magalhaes

Mbrazil

Gabriel, 22, CB, Lille
Tough defender
Tactical
Strong in the air
Long passes
Composed on the ball
 
Arteta kwanini Anamuhitaji WILLIAN


Arteta: 'We have some young players who are playing more football than they probably should

I have a lot of faith in the young talent we have at the football club, but we need the right stability and foundations around them to make sure they develop in the right way'
 
LILLE have said that Gabriel was going to make his decision this week. Maybe Arsenal told Gabriel to delay it because we'd make a bid if we qualified to Europe. This week we arranged the meeting and he's desperate to come. La Voix Du Nord is very very reliable. Exciting
 
(4-3-3)

-MARTINEZ

-BELLE -SALIBA -LUIZ -TIERNEY

-CEBALLOS -PARTEY -XHAKA

-WILLIAN -AUBA - COUTINHO


SUB:
-Leno
-Pepe
-Lacazette
-Holding
-P. Mari
-Mustafi
-Maitland Niles
-Cedric
-Torreira
-Saka


Hivi kikosi kama hiki huyo mpinzani anatokea wapi?!

Yani hapo unaangalia mpira huku pembeni unashushia na kinywaji kabisa!
nyie jamaa mnafurahisha sana
 
My predictions based on report (not info) this summer is:

Willian - Free
Coutinho - Loan
Partey - we pay his release clause
Ceballos - Loan
A CB

Will it be a good summer? What do you think?
Mid table teams wanakuaga na fikra kama hizi. Vya bure ili wabaki kwenye ligi.
 
David Luiz (Aug) - “I came to Arsenal to win trophies.”

Chelsea fans laughed.

A year on from that horrible game in Baku, we stepped up in the final. Our record in the last two finals was 2 defeats, conceding 7 and scoring 1.

We went down once again but didn’t lack belief and took control of the situation. So much confidence to be taken from this, the only way is FORWARD!

www.arsenal.com
 
Back
Top Bottom