Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Transfer Summary so far:

• Willian to Arsenal all but done
• Arsenal closing in on Coutinho
• Aubameyang Staying
• Juventus in talks with Lacazette
• Arsenal want another CB
Hao wazee akina Willian na Continho wakija huko kwenu watawatibulia vipaji ambavyo tayari vimeshaanza kuonyesha nyota nzuri. Mtawapa mshahara mkubwa na lazima watapata muda mwingiwa kucheza na akina Saka na Martinelli na chipukizi wengineo habari yao kwishinei.
Anasema Legend wenu Charlie Nicholas
 
Willian will be officially announced as an Arsenal player next week. He will sign a 3-year contract with the Gunners. (guardian)View attachment 1528106
Hizi singining zenu za makombo makombo vile itawafanya muwe wazuri kuwazidi akina Westham na Fulam na Newcastle. Take my word. Wakati bwana zenu sisi tunachukua vitu vipya nyie mnang'ang'ana na makombo
 
Source from Spain told us that Arsenal are close on signing Philippe Coutinho on a season loan deal & could inc an option to buy. #AFC will pay more than half of his wage and this could help Lautaro Martinez join Barcelona.
IMG-20200804-WA0009.jpg
 
Mbona kama Unaumia ndugu
Silaumu ndugu nawapasha ukweli. Manure walifanya hivi hivi kuwachukua maveteran kama Old Lady wa Turin wakaishia kama walivyo, Sio kila mchezaji mzee mwenye jina atakuja kucheza vizuri huklo. Willian mpaka adapt Emirate mtaongeza mzigo mwingine kama wa Ozil
 
Hizi singining zenu za makombo makombo vile itawafanya muwe wazuri kuwazidi akina Westham na Fulam na Newcastle. Take my word. Wakati bwana zenu sisi tunachukua vitu vipya nyie mnang'ang'ana na makombo
Unatupangia ?

Arteta kasema anamtaka willian awape uzoefu kina Saka na martinell ,

Maana kikos kimejaa vijana wengi eneo hilo ,hata pepe ndio kwanza ana miaka 24
Coutinho ana uzee gani? Au kufel barca ni uzee

Tulimchukua Sanchez aliyefeli barca

Ukiangalia timu yetu ina vijana wengi sana eneo la LW NA RW

WILLIAN atatusaidia dk kadhaa eneo hilo
 
Arsenal are pressing ahead with their expensive moves to sign Willian and Philippe Coutinho. [@TeleFootball]
 
Vidume vinaenda kucheza SAA 4 tunawakaribisha kuja kuangalia burudani
 
1596653651877.png


Arsenal-SACK-head-international-scouting-Francis-Cagigao

Arsenal will make 55 staff redundant as club chiefs admit they have been 'hit severely' by the coronavirus crisis, despite qualifying for European cash by winning the FA Cup
 

Attachments

  • 1596653578040.png
    1596653578040.png
    34.8 KB · Views: 4
Arsenal have moved ahead in the race to sign Lille defender Gabriel after a meeting at the start of the week when the Brazilian found the North London club's reps to be particularly convincing, but Manchester United haven't given up yet, per La Voix du Nord. More follows.
 
BREAKING: Lille defender Gabriel Magalhães has chose to join Arsenal after the Gunners offered the French side €32m bid yesterday. More to come on @GPLF_N.
 
ARSENAL, COVID-19 NA CAGIGAO

Habari za jioni wadau.

Leo mchana klabu yetu ilitangaza mpango wa kuwapunguza kazi wafanyakazi wapatao 55. Sababu kubwa iliyoelezwa ni kuwa klabu imepata hasara kubwa na itaendelea kupata hasara kutokana na janga la Covid-19.

Hii sasa inafanya arsenal kubakiwa na wafanyakazi wanaokadiriwa kuwa ni 600 na kitu kutoka 700 na kitu. Hata hivyo idadi hiyo inaweza kupanda kwa kuwa kocha Arteta anatarajiwa kuongeza baadhi ya wataalumu ktk benchi la ufundi.

Nilipoiona hiyo habari mchana nikaanza kujiuliza ni watu gani watapunguzwa. Katu sikufikiria kuwa Cagigao (head of international recruitment atakuwa mmoja wao.)

Baadae kidogo magazeti ya Uingereza yakaja na habari kuwa Cagigao ni mmoja wa watu walioambiwa kuwa watapunguzwa. Habari hii ikawashtua watu haswa kutokana na sifa nzuri ya kuscout wachezaji ambayo Cagigao anayo pale arsenal. Ikumbukwe pia Cagigao amewahi kufikiriwa kupewa kaz ya technical director pale arsenal.

Binafsi nilishtuka kusikia habari hiyo na sikudhan kama Cagigao anaweza kuwa ni mmoja wa watakaopunguzwaa. Hata hivyo baada ya kufikiria kwa makini zaidi nikaelewa kwann Cagigao amekuwa mmoja wa muhanga.

Naamini kabisa kuwa Cagigao amekuwa muhanga wa hili kwasababu majukumu yake yanaingiliana kwa kiasi na majukumu ya Edu na pengine klabu imeona sasa kazi yake inaweza kufanya na Edu.

Ikumbukwe kuwa Cagigao alikuwa ni head of international scouting. Kazi yake haswaa ilikuwa ni kusafiri huku na kule kwenda kuwaona live wachezaji ambao alipewa taarifa na scout waliosambaa sehemu nyingi dunian. Na kisha yeye anatoa ushauri kwa klabu juu ya kusajiliwa au kutosajiliwa kwa huyo mchezaji. Kwahiyo kifupi kila mchezaji aliyetoka nje ya Uingereza ambaye alisajiliwa arsenal basi Cagigao alihusika.

Sasa kwasasa kazi kubwa ya usajili ikiwa ni pamoja na kujua ni aina gani ya mchezaji anayesajiliwa na arsenal inafanywa na Edu kama technical director. Hapa ndipo ninapoona kuwa majukumu yao yanaingiliana.

Ingawa sijapenda na sijafurahishwa kwa Cagigao kuondoka, napenda kuamini kuwa kama taarifa ya klabu ilivyosema kuwa kupunguzwa huko kwa staffs kutaiwezesha timu kuweza kuwekeza kwenye kununua wachezaji wazuri.

Tumaini langu kuwa klabu itafanya kama ilivyosema na nitoe pole kwa wafanyakazi waliopunguzwa. Natumai hali ya uchumi ikiimarika wataweza kurejea

Arsenal players who were scouted by Francis Cagigao:

-Lauren
-Cesc Fabregas
-Jose Antonio Reyes
-Santi Cazorla
-Nacho Monreal
-Mikel Arteta
-Emiliano Martinez
-Granit Xhaka
-Alexis
-Carlos Vela
-Hector Bellerin
-Robin van Persie
-Gabriel Martinelli
-William Saliba.
download.jpg
 
Arteta alisema kuwa kuna jambo tunalisubir na tukilifanikisha itakuwa clear kabisaa kwamba plan gan wanaitekeleza.

Sasa baada ya kufanikisha lile jambo ,sasa habari zimeanza kumwagika nzuri nzuri


Hapa tunapoongea sasa Willian, Coutinho na Gabriel wiki ijayo kitakuwa kimeeleweka halafu tuanze kuhangaishana na Paftey
 
Nimewahi kuongelea hali ya ukata mapema mwaka huu na nikasema mapato madogo yanaadhiri sana hii klabu.
 
Back
Top Bottom