Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,519
- 7,287
Huyu jamaa Pepe angeweza kutoa meno hapo dah
Huyu jamaa Pepe angeweza kutoa meno hapo dah
While i essentially appreciate your analysis tunahitaji wachezaji wa maana hasa kutoa support kwa Auba kama atabaki anyway...na Beki imara come next season. Otherwise Arteta is a promising Manager so far.Hii game tumestahili kushinda. Nilifikiri tutapark basi lakini hapana, na kutokana na Chelsea kucheza pia 3 4 3 nilitarajia watugee upinzani pale kati ila haikua hivyo, kila timu ilitawala kwa muda wake.
Auba alipata chansi kama ile akashuti mpira ukamgonga beki, akaipata second time the same chance safari hii hakupiga, akamfinya beki kisha akachop. Yaani kama ni game ni akabonyeza L1+Box ni bonge la goli.
Pepe leo kachangamka, hata goli lililokuwa offside lilionyesha leo kachangamka. The whole team was in high fighting spirit, Baku tulivyopigwa moja na tukapoteana mazima ila siyo leo, today we fought and it paid off.
Still Xhaka na Ceballos ni bora kuliko Torreira na Xhaka. Tierney tumelamba dume ila uCB hauwezi, Holding ni kama hajakuepo vile yaani humuoni akizurura unamuona akiwa anazuia tu and thats what CBs do. David Luiz performance was terrific.
Niles kafanya poa the team's performance was amazing. Martinez saved us as usual, Leno ajiangalie.
Pullisic ni mzuri, aliteleza mbele ya wachezaji wanne na kuscore na hii inachangiwa na namna Arsenal inavyokaba, haikabi aggressively like Liva or Man U does na ndiyo goli la leo.
We are doing fine. Now let's see huyo Joelson Fernandes tutamkamatia wapi.
Shukran Mwana Liverpool. ,nyie ni watu mnaoujua mpira sanaNichukue fursa hii kuwapongeza Arsenal FC kulibeba kombe la FA.
YNWA...!
Hii game tumestahili kushinda. Nilifikiri tutapark basi lakini hapana, na kutokana na Chelsea kucheza pia 3 4 3 nilitarajia watugee upinzani pale kati ila haikua hivyo, kila timu ilitawala kwa muda wake.
Auba alipata chansi kama ile akashuti mpira ukamgonga beki, akaipata second time the same chance safari hii hakupiga, akamfinya beki kisha akachop. Yaani kama ni game ni akabonyeza L1+Box ni bonge la goli.
Pepe leo kachangamka, hata goli lililokuwa offside lilionyesha leo kachangamka. The whole team was in high fighting spirit, Baku tulivyopigwa moja na tukapoteana mazima ila siyo leo, today we fought and it paid off.
Still Xhaka na Ceballos ni bora kuliko Torreira na Xhaka. Tierney tumelamba dume ila uCB hauwezi, Holding ni kama hajakuepo vile yaani humuoni akizurura unamuona akiwa anazuia tu and thats what CBs do. David Luiz performance was terrific.
Niles kafanya poa the team's performance was amazing. Martinez saved us as usual, Leno ajiangalie.
Pullisic ni mzuri, aliteleza mbele ya wachezaji wanne na kuscore na hii inachangiwa na namna Arsenal inavyokaba, haikabi aggressively like Liva or Man U does na ndiyo goli la leo.
We are doing fine. Now let's see huyo Joelson Fernandes tutamkamatia wapi.
Hahaha Leno atarudHuyu kipa sioni haja ya kumtoa kwa kiwango chake kwa sasa.
Leno akipona asotee benchi tu kwanza huyu mwana ni ana qualities sana
Hahaha Leno atarud
Sema kawafikirisha makocha , sijui itakuwaje
Ameanza Arsenal kama kinda wa academy.
Amesota sana , kapata nafasi kaitumiaView attachment 1524340
Kama Arteta atahitaji consistency kwa Leno x Martínez basi atumie wote 1 on 1 match.Hahaha Leno atarud
Sema kawafikirisha makocha , sijui itakuwaje
Ameanza Arsenal kama kinda wa academy.
Amesota sana , kapata nafasi kaitumiaView attachment 1524340
Na amekuwa akiitwa Argentina kama backup!Martines amekaa Arsenal miaka 10 ni mvumilivu sana.
Bado ni kipa namba 2 wa Arsenal.
Hahaha Leno atarudHuyu kipa sioni haja ya kumtoa kwa kiwango chake kwa sasa.
Leno akipona asotee benchi tu kwanza huyu mwana ni ana qualities sana
Oya mbona kimya humu hamna connection wakuu nashida sana na hii jezi
Mcheki Aaron ArsenalOya mbona kimya humu hamna connection wakuu nashida sana na hii jezi
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Aaah hapa penyewe ni issue hamna vifua vya kupimana ubavu na KOPMwisho wa mwezi huu tuna kibarua cha ngao ya hisani na Liva. Unadhani watakubali kuchinjwa mara ya pili? Au Arsenal iharibu sherehe ya ubingwa?
Ni jingine la kulisubiri hili
Itategemea. Last time ulijua kama utakufa mbili? Tena baada ya kuongoza kwa goli mojaAaah hapa penyewe ni issue hamna vifua vya kupimana ubavu na KOP
Ynwa
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Unasemea hiyo mechi ya pre season ngoja muda utaongea mkuuItategemea. Last time ulijua kama utakufa mbili? Tena baada ya kuongoza kwa goli moja
Hahaha Leno atarudHuyu kipa sioni haja ya kumtoa kwa kiwango chake kwa sasa.
Leno akipona asotee benchi tu kwanza huyu mwana ni ana qualities sana
Kwema kaka