BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,900
- 11,699
Nimeona Ratiba inasema 28th AugustSio September ?
Ni 29 kakaNimeona Ratiba inasema 28th August
Ila ni August? Si ndiyoNi 29 kaka
Ndio AugustIla ni August? Si ndiyo
Mzee ile Arsenal ambayo ukisikia inacheza na Chelsea au Tottenham unakua na uhakika na ushindi inarudi. It will be slow ila inarudi.Ndio August
Nimeona kuna taarifa Arteta anakutana na bodi jumanne au jumatano
Kuhusu kuna wachezaji wanaongeza mkataba pia kuhusu usajiri
Inabidi wafanye fasta tumpate Partey ,coutinho
Hiyo mech na Liverpool Angalau mmoja atimbe ndani tutest mitambo
Ungesema hivi,Ni mmoja kati ya Ma Forward bora kwa sasa Duniani.
DullyJr Ukitaka kujua jinsi gani ulivyo underdog leo mashabiki wa manyumbu na Liverpool wapo upande wenu
Hao wachambuzi ndo wanacheza mpira Hahahaha wewe ndo hujui kitu kabisa..
Basi nakumbia tutaifunga arse8 na wachambuzi
#CFC![]()
Hizo zama zilishapita, shukuruni kwa ubingwa wa FA Cup, hata hivyo refa alikuwa man of the match.Mzee ile Arsenal ambayo ukisikia inacheza na Chelsea au Tottenham unakua na uhakika na ushindi inarudi. It will be slow ila inarudi.
Wewe umeangalia mechi au ulisimuliwa? Unaongea ushindi wa FA cup utafikiri ni jambo geni kwa Arsenal unajua ni FA ya ngapi kwa Arsenal hii?Hizo zama zilishapita, shukuruni kwa ubingwa wa FA Cup, hata hivyo refa alikuwa man of the match.
Hapana kakaHizo zama zilishapita, shukuruni kwa ubingwa wa FA Cup, hata hivyo refa alikuwa man of the match.