Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

1596310135202.png


1596310169812.png


Goalkeeper Emiliano Martinez was overcome with emotion at the final whistle
and burst into tears on the pitch​
 
Mikel Arteta amekewa historia.

Aliiongoza Arsenal kuchukua ubingwa wa 13 wa FA Cup, yeye akiwa kama Captain.

Akaondoka (Mchezaji)

Akarudi (Kocha)

Leo ameiongoza Arsenal kuchukua ubingwa wake wa 14 wa FA Cup, yeye akiwa kama Manager/Coach.

Big man, Master mind.. Mikel Arteta.
 
Hii game tumestahili kushinda. Nilifikiri tutapark basi lakini hapana, na kutokana na Chelsea kucheza pia 3 4 3 nilitarajia watugee upinzani pale kati ila haikua hivyo, kila timu ilitawala kwa muda wake.

Auba alipata chansi kama ile akashuti mpira ukamgonga beki, akaipata second time the same chance safari hii hakupiga, akamfinya beki kisha akachop. Yaani kama ni game ni akabonyeza L1+Box ni bonge la goli.

Pepe leo kachangamka, hata goli lililokuwa offside lilionyesha leo kachangamka. The whole team was in high fighting spirit, Baku tulivyopigwa moja na tukapoteana mazima ila siyo leo, today we fought and it paid off.

Still Xhaka na Ceballos ni bora kuliko Torreira na Xhaka. Tierney tumelamba dume ila uCB hauwezi, Holding ni kama hajakuepo vile yaani humuoni akizurura unamuona akiwa anazuia tu and thats what CBs do. David Luiz performance was terrific.

Niles kafanya poa the team's performance was amazing. Martinez saved us as usual, Leno ajiangalie.

Pullisic ni mzuri, aliteleza mbele ya wachezaji wanne na kuscore na hii inachangiwa na namna Arsenal inavyokaba, haikabi aggressively like Liva or Man U does na ndiyo goli la leo.

We are doing fine. Now let's see huyo Joelson Fernandes tutamkamatia wapi.
 
Back
Top Bottom