Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu mbona una underestimate uwezo wa Arsenal kwa sasa?, juzi tumewafunga Liverpool kwa bahati na leo tumewafunga Mancity kwa bahati pia?
Nikiwa naijaj Arseanl hua naifananisha na Arsenal ambayo Granit alikua ni mpiga pasi nyingi kuliko mchezaji yeyote premier league.

Arsenal iliyokua inamiliki mpira na kufunguka.

Game ya Liva tulishinda ila Liva alimiliki mpira kwa 80% leo tumeshinda ila tumechezeshwa mno nusu uwanja.

Kwahiyo nikisema ushindi wetu ni wa bahati ni kwa mazingira hayo
 
We tukana tu siku hiyo ndio utajua nani kenge,
Wewe kwanza wala sikuhesabii maana ukiona neno UNITED tu unajiharishia...

United zote zimekutatua

Westham
Sheffield
Nyumbu

Hata Leeds wakija Leo wanakutwanga mchana kweupeeee
 
Jamaa nimemshangaa sana huwez kufunguka kwa Liverpool na city ukapona

Kama kumiliki mpira asubiri mech zijazo tupo na kina astonvilla na Watford

Kwanza tushukuru Arteta ana sura mbili ya kuzuia na kupossess
Kwahiyo waliofunguka kwa Liva na City na wakapon unawachukuliaje?
 
Masikini akipata ata jirani atajua tu, haya nisha jua ww tulia hivyo hivyo. Siku yenyewe ndio utajua kuwa hujui
Dogo yakupasa upambane kwanza Kesho then ndio uje hapa kuleta ngenga😂😂😂
 
Nikiwa naijaj Arseanl hua naifananisha na Arsenal ambayo Granit alikua ni mpiga pasi nyingi kuliko mchezaji yeyote premier league.

Arsenal iliyokua inamiliki mpira na kufunguka.

Game ya Liva tulishinda ila Liva alimiliki mpira kwa 80% leo tumeshinda ila tumechezeshwa mno nusu uwanja.

Kwahiyo nikisema ushindi wetu ni wa bahati ni kwa mazingira hayo
Nenda na uhalisia bro, Kwahiyo wewe unaihukumu Arsenal hii kwa kiwango chake cha zamani!!!! Aiseeeeehhhhh duh
 
Wazee mimi nashabikia mpira as a whole, sibinywi na kua shabiki wa Arsenal.

Kuna vitu vingi hua watu wanavibypass simply kwakua utimu umewashika. Kuna member mmoja alikua anaponda formation ya 3 4 1 2 na nikawa namuambia kwanini tumeresort kwenye hiyo.

Leo Arteta anatumia hiyo hiyo na anaipigia debe kwa nguvu zote. Mara zote mimi hujaribu kuona zaidi ya ushabiki.

Kama ni mbinu ile mechi na Liva bila Virgil kupiga back pass tuliku na plan nyingine? Uliweza kuhisi kama kuna plan pale?

Anyway kila mtu yuko entitled na mawazo yake
 
Sawa endelea kukalili hivyo hivyo
Mkuu usiwaze mimi natak a hili kombe libaki home, kazi kwako Sasa... Final hii sikuachi maana Ile alikuwa mamluki Cech aliuza nyumba, hii Luiz tushampanga kabisa
 
Nenda na uhalisia bro, Kwahiyo wewe unaihukumu Arsenal hii kwa kiwango chake cha zamani!!!! Aiseeeeehhhhh duh
Wakati tunajaji kua Emery anaharibu timu tulikua tunaifananisha kwa kiwango cha lini?
 
Nani aliyefunguka kwa liver na City?
Jamaa nimeshangaa sana

Arteta anakwambia hatuna Quality ,sasa unafungukaje kwa city na Liverpool?

Awe honest ,Arteta anacheza mipira yote , Spurz ,huyu tumpempeleka possession 70+

Chelsea ,emirates tulimpeleka sana tu, game ya pili tukawa pungufu na hakushinda

Leo city tumpepigia pass 19 had goli ,anasema tumeotea
IMG-20200719-WA0004.jpg
 
Wazee mimi nashabikia mpira as a whole, sibinywi na kua shabiki wa Arsenal.

Kuna vitu vingi hua watu wanavibypass simply kwakua utimu umewashika. Kuna member mmoja alikua anaponda formation ya 3 4 1 2 na nikawa namuambia kwanini tumeresort kwenye hiyo.

Leo Arteta anatumia hiyo hiyo na anaipigia debe kwa nguvu zote. Mara zote mimi hujaribu kuona zaidi ya ushabiki.

Kama ni mbinu ile mechi na Liva bila Virgil kupiga back pass tuliku na plan nyingine? Uliweza kuhisi kama kuna plan pale?

Anyway kila mtu yuko entitled na mawazo yake
Kijana magoli ya Liverpool wala sio yakubahatisha

Arsenal wanayafanyia mazoezi , aisee hebu kuwa muelewa

Magoli kama hayo toka corona imerud tumefunga matano

Sio kwakubahatisha ,Msikilizage Arteta anakwambia ni mazoezi

Auba ,nketiah , laca ,wameshafunga chini ya arteta

Ni tactic , no.9 anaenda kupress huku wingers Zinatawanyika kipa afanye boko
 
Back
Top Bottom