DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Kwakweli kuna moja pepe alipigiwa mpenyezo bahati mbaya ikamgonga akachange direction alikuwa anaenda kumsalimu Ederson,nyingine ni ile wametegeana pale.....Hawa mbwa yani ilikuwa twende HT na goal 2 kama siyo 3.......
All in all timu imejitahidi Sana



