Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jose Mourinho has never lost a home game against Arsenal in his career

Wins⠀
Draws
 
Chelsix kachezea mboko tatu tatu,bila shaka ni yeye huyo
Sababu kufungwa sawa ila umefungwa na nani?hivi mimi nliyefungwa na City unaniweka kapu 1 na aliyebugizwa tatu tatu na Uniteds?aaaaaaahhhh mkuu
Kipigo ni kipigo tu haijalishi umefungwa na nani. Man City kakubonda wewe mimi nimemnyoosha
 
Arsenal ni umoja wa vilaza wanaoishi katka sayari ya Dunia
 
3rd...
Screenshot_20200713-222534_All%20Goals.jpg
 
Huyu boss wetu inabidi amwage mpunga mrefu dirisha hili la usajili, vinginevyo tuskip kwanza kuisupport timu until further notice.Kuna michezaji tunayaonea huruma sana kucheza hii timu, peleka Benfica au Torino level zao.
 
Game ya juzi was all about mentality,Timu hii kuna akili za kitoto sn na kuchukua EPL ni ngumu kwa hii mentality, mtu ukishamshika unaanza kucheza show game ya nini sasa?,hayo ni mambo ya watoto, piga goli za kutosha kwanza,na Game ya leicester hivyohivyo paka tunapata redcard mambo yakawa mambo sasa.
 
Huyu boss wetu inabidi amwage mpunga mrefu dirisha hili la usajili, vinginevyo tuskip kwanza kuisupport timu until further notice.Kuna michezaji tunayaonea huruma sana kucheza hii timu, peleka Benfica au Torino level zao.
 
Game ya juzi was all about mentality,Timu hii kuna akili za kitoto sn na kuchukua EPL ni ngumu kwa hii mentality, mtu ukishamshika unaanza kucheza show game ya nini sasa?,hayo ni mambo ya watoto, piga goli za kutosha kwanza,na Game ya leicester hivyohivyo paka tunapata redcard mambo yakawa mambo sasa.
Kweli kabisa, mimi nasemaga hapa ni muda wa kufumua kikosi huu after 3years tuje na story mpya,sio kila msimu ni zilezile
 
Pierre-Emerick Aubameyang has rejected Arsenal latest contract offer. The meeting took place today

He wants £233k per-week with signing on fee.

Arsenal along with Liverpool have made enquires for Harvey Barnes.
 
Back
Top Bottom