Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Potelea pote, tunajenga timu kwanza maana hata wewe kuna kipindi ulisugua sana tu huku benchi na umetengemaa sasa hivi unatisha .

Approach yenu haioneshi kama kweli mnajenga timu.

Binafsi naona harakati zenu siku hizi hazitofautiani na kina Everton, Southampton, Newcastle nk, yaani zile timu ambazo malengo yao ni kuendelea kucheza Premier League.
 
Mkuu basi tutafukuza timu nzima.

Lawama zote kwa wenger
Wenger kafanya nini tena?

Huwezi kufukuza timu nzima kwa mpigo,timu inajengwa hatua kwa hatua...

Angalia kikosi alichopokea Klopp ndicho alichonacho leo?
Kubali kataa kwa ushindani uliopo sasa,na timu zinavyosajiri wachezaji wa maana huwezi toboa kwa kutegemea Wilson,Wilock na kina Saed ....hao wataondoka mdogomdogo hata ikitugharimu misimu mitatu sawa.
 
Approach yenu haioneshi kama kweli mnajenga timu.

Binafsi naona harakati zenu siku hizi hazitofautiani na kina Everton, Southampton, Newcastle nk, yaani zile timu ambazo malengo yao ni kuendelea kucheza Premier League.
Kwanini wasema hivyo na dirisha la usajili halijafungwa?Klopp alitimua timu nzima alipopewa Liverpool?

Lazma tuwe na subra, hata nyinyi mlisubiri pia mafanikio yenu hayakuja kama uyoga.
 
IMG_20200712_204833.png
 
It's over now let's wait for next season ila tatizo lipo kubwa sana je tusipopata hata nafasi ya Europa league wachezaji wakubwa watakubali kuja ?au itabidi tuendelee na hawa kina willock na Nketiah?sioni dira tena kwa sasa
 
It's over now let's wait for next season ila tatizo lipo kubwa sana je tusipopata hata nafasi ya Europa league wachezaji wakubwa watakubali kuja ?au itabidi tuendelee na hawa kina willock na Nketiah?sioni dira tena kwa sasa
Kuna watu humu uwaambii kitu juu ya Willock na Nketiah, angalau Nketiah na Nelson wana nafuu, lakini huyo wa kwanza, bado sana
 
Manyumbu yanaenda champions league kimasihara kabisa wakati tulikuwa tumeachana nao point 5 pekee wakati wa COVID 19,timu yetu sina hata cha kuisemea

Man City yupo CL next season
20200713_115035.jpeg
 
Back
Top Bottom