Gpili
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,179
- 2,084
Kiazi mmoja kashaanza sababu kisa kipigoMimi naona kushiriki international cups next season ni kujiongezea mzigo tu kwetu.
Wacha twende msimu ujao kavukavu tu.



Kiazi mmoja kashaanza sababu kisa kipigoMimi naona kushiriki international cups next season ni kujiongezea mzigo tu kwetu.
Wacha twende msimu ujao kavukavu tu.



Na wewe ungemfunga Burnley kwako kwa standard yake.Inasikitisha sana.....Kwa standard ya Tottenham Hotspur ya Jose ilivyo hivi sasa,mngepata hata sare basi.
Kwanini Guendouzi unamuita mgunduz???Spurz kesho tunamfundisha soka
Kiungo cha Xhaka & Ceballos kipo Compact sana
Kutokuwepo mgunduz kumetusaidia
Mech na Leicester ,Arteta alitakiwa aache Laca amalize game ,laca ndio mtaalamu wa mech kama zile
Kutokuwepo nketiah ,kutasababisha Laca apate more time
Spurz kesho wanakufa mapema
Kwangu anasomeka "you are ignoring content by this member"Huyu taahira mkiacha kujibu upumbavu wake ataondoka mwenyewe
Wala tusiwe na chuki na watu.Emery alikua anatumia 3 4 1 2 watu humu wakajifanya kuongea sana kua timu inalazimishwa kukaba, wakiongozwa na Ozil.
Leo hii timu yetu inatumia formation hii hii na sioni anayesema timu inakaba. Tuache ushabiki wa hovyo, tushabikie mpira.
Hii ndio takataka kabisa,inaaibisha LondonView attachment 1504957Matakataka kabisa
Kuwa na akili tiamamu ww countinho partey jovic hawawezi chezea team hovyo na takataka kama asenane team kwenda europa tu inashindwa ww shabiki na team yenu nyote ni viaziNani mwingine anakubaliana na mimi kwamba tunahitaji viungo na forward? Yaani tunamhitaji Coutinho, Partey, Jovic


Mashabiki wa hii team ni mandundule kama sijakosea ni viazi team hata europa kushiriki kwa mbinde isajili player's wakubwaNaona unaota



Poleni wana arsenal dah
Yule Mustafi yupo kama maua ya saa 4 ,yananyauka na kuchanuaNani mwingine anakubaliana na mimi kwamba tunahitaji viungo na forward? Yaani tunamhitaji Coutinho, Partey, Jovic

huyu ndio aliyepiga back pass isiyo na macho kwa Luiz jamaa wakapata goli la zawadi,hovyo kabisa
ila anahitajika striker mwingine wa kiwango cha juu pale mbele.Yule Mustafi yupo kama maua ya saa 4 ,yananyauka na kuchanua
Huyu Kolasinac ni wa kuuza au kutoa hata bure,huyu ndio aliyepiga back pass isiyo na macho kwa Luiz jamaa wakapata goli la zawadi,hovyo kabisa
Pepe tumpe muda,
Auba,Lacaila anahitajika striker mwingine wa kiwango cha juu pale mbele.
Hector hafai kuanza kwa sasa mizinguo sana.
Timu bado ina kikosi finyu sana hao walioanza wengi wanatakiwa waanzie bench,
Mh kushinda Leicester?Hahaha, toka corona break, hawa jamaa wanaweza kuwa wanaongoza kwa kufungwa.
Ww ndundule unazunguka sana unatakiwa useme kwa kifupi team yangu ni takatakaYule Mustafi yupo kama maua ya saa 4 ,yananyauka na kuchanua
Huyu Kolasinac ni wa kuuza au kutoa hata bure,huyu ndio aliyepiga back pass isiyo na macho kwa Luiz jamaa wakapata goli la zawadi,hovyo kabisa
Pepe tumpe muda,
Auba,Lacaila anahitajika striker mwingine wa kiwango cha juu pale mbele.
Hector hafai kuanza kwa sasa mizinguo sana.
Timu bado ina kikosi finyu sana hao walioanza wengi wanatakiwa waanzie bench,

