Nitajie timu ambayo haijawahi kufungwa..Baadae mtakimbia jukwaa sababu kipigo ni haki yenu
Baadae lazima mtaongea lugha tofauti Mourinho anawasuka vizuri bila tatizo .Nitajie timu ambayo haijawahi kufungwa..
Taja timu ambayo haijawi kufungwa.mpaka arsenal akifungwa iwe ajabu..Baadae lazima mtaongea lugha tofauti Mourinho anawasuka vizuri bila tatizo .
Hakuna team isiyo fungwa ila siku ya leo lazima mkalie naomba usiende angalia mpira na matokeo yako sababu hampati hata draw leo na Harry Kane anawatindua leoTaja timu ambayo haijawi kufungwa.mpaka arsenal akifungwa iwe ajabu..
Hata wewe ukitaka unashinda tu,au unasemaje.
Kwani wewe hutaki kutia goli?...Hakuna team isiyo fungwa ila siku ya leo lazima mkalie naomba usiende angalia mpira na matokeo yako sababu hampati hata draw leo na Harry Kane anawatindua leo
Kipigo Kipo pale pale nyie takataka baadae msikimbie
Makocha walivyo unakuta unavyotaka wewe ndo haweki.. Unatamani hiyo nafasi upate wewe.Arteta leo anipangie Saka, pepe, Auba na Lacca kwa pamoja, Saka acheze 10 atanifurahisha sana.

Kipigo Kipo pale pale takataka nyieArteta leo anipangie Saka, pepe, Auba na Lacca kwa pamoja, Saka acheze 10 atanifurahisha sana.
#coygPepe, Laca & Auba upfront. Bellerin ahead of CedricView attachment 1504699