Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
tuna kikosi chenye uwezo wa kuifunga city, what is needed is confidence


What a joke??tuna kikosi chenye uwezo wa kuifunga city, what is needed is confidence


What a joke??Arteta ana utani hapa tutapigwa 2 au 3aise hichi kikosi sijui. mildfield bado haijaniridhisha kabisaa, kuna kupotea hapa matteo na xhaka
Kikosi hiki ulichotabiri Arteta kaona ni upupu mtupuIts finally back!
.
Hayawi hayawi sasa yamekuwa!baada ya kuikosa burudani ya soka la uingereza kwa muda wa takribani miezi mitatu sasa imerudi tena,
.
Yes ni leo utamu umerejea tena Manchester city akimkaribisha Arsenal pale Etihad,
.
Mchezo huu ulitakiwa kupigwa machi 11 lakini ukahairishwa kutokana na Corona
.
Tena ilichochewa zaidi na taarifa ya baadhi ya wachezaji wa Arsenal kusemekana kukutana na rais wa Olympiacos wakati wa mchezo wa Europa league kati ya Arsenal na Olympiacos,
.
Rais wa Olympiacos wakati huo alikuwa akiugua ugonjwa wa Corona,Basi ngoma ikahairishwa bhana.
.
Pia siku chache Arteta nae akakutwa na maambukizi ya ugonjwa huo.
.
Kama kuna kaupande kalidhani kameepuka hiki kikombe basi kalijidanganya ngoma hii hapa tena Arteta uso kwa Uso na mwalimu wake na bosi wake wa zamani Pep Guardiola,
.
Arsenal watashuka dimbani leo wakiwa na wasiwasi wa kuwakosa Callum Chambers na Lucas Torreira japo kuna matumaini baada ya kieran Tierney kuwa fit tayari kwa mchezo kama akiamua kumtumia(Arteta).
.
Lakini upande wa pili huko Manchester City wachezaji wake wote wako fiti hadi waliokuwa majeruhi wameshapona kama vile Aymeric Laporte na Leroy Sane,
.
Kurejea kwa Laporte kutaifanya safu ya ulinzi ya City kuwa salama zaidi,Itawapasa washambuliaji wa Arsenal kufanya kazi ya ziada kupenya
.
Wachezaji wengi wanaweza kuwa hawana match fitness ya kutosha hasa wale wenye umri mkubwa kiasi kama vile Aguero,David Silva na wengineo badala yake yampasa Guardiola kuwaanzisha vijana zaidi.
.
Mfano anaweza kumuanzisha Phil Foden badala ya David Silva na G.Jesus badala ya Aguero inaweza kumsaidia zaidi.
.
Upande wa Arsenal namuona Arteta akianza na mfumo wa-
-
-
nampa nafasi Pablo Mari na Luiz pale nyuma huku Xhaka na Ceballos wakitawala dimba pale juu yao Ozil kama kawaida kule pembeni chini kabisa kushoto Tierney na kulia Bellerin.
.
Pale golini Leno kama kawaida na winga ya kushoto anakabidhiwa Aubameyang na ya kulia Pepe pale juu ataanza Lacazette
.
Kikosi cha City chaweza kuanza hivi Ederson,Walker,Fernandinho,Laporte,Zichenko,De Bruyne,Rodri,Silva,Bernado,Aguero,Sterling.
.
Japo nategemea mabadiliko zaidi ya damu changa kikosi cha City.View attachment 1481346
tujipe moyo, kutokana kuruhusu 5 substitutes.wanaweza wakafanya changesArteta ana utani hapa tutapigwa 2 au 3
tujipe moyo, kutokana kuruhusu 5 substitutes.wanaweza wakafanya changes
Arusha tena mkuu!?Ukiangalia kikosi cha Arusha kinachoanza dhidi ya City unajiuliza maswali mengi sana.



mikel knows.....................wajua kuwa kuna ruhusa ya kufanya sub 5 hivyo akisema aanzishe wale tegemeo wote ikija wakachemka huko nje kutakuwa hakuna kitu hivyo bora alivyochanganya hivyo ili hao walioanza wakizingua basi tunaweka wengineNgoja tuone ila Matteo na Xhaka hapo ni uchochoro mkubwa sana
link ya kustream live hii mechi jamani huku tanesco wamezingua tayariIts finally back!
.
Hayawi hayawi sasa yamekuwa!baada ya kuikosa burudani ya soka la uingereza kwa muda wa takribani miezi mitatu sasa imerudi tena,
.
Yes ni leo utamu umerejea tena Manchester city akimkaribisha Arsenal pale Etihad,
.
Mchezo huu ulitakiwa kupigwa machi 11 lakini ukahairishwa kutokana na Corona
.
Tena ilichochewa zaidi na taarifa ya baadhi ya wachezaji wa Arsenal kusemekana kukutana na rais wa Olympiacos wakati wa mchezo wa Europa league kati ya Arsenal na Olympiacos,
.
Rais wa Olympiacos wakati huo alikuwa akiugua ugonjwa wa Corona,Basi ngoma ikahairishwa bhana.
.
Pia siku chache Arteta nae akakutwa na maambukizi ya ugonjwa huo.
.
Kama kuna kaupande kalidhani kameepuka hiki kikombe basi kalijidanganya ngoma hii hapa tena Arteta uso kwa Uso na mwalimu wake na bosi wake wa zamani Pep Guardiola,
.
Arsenal watashuka dimbani leo wakiwa na wasiwasi wa kuwakosa Callum Chambers na Lucas Torreira japo kuna matumaini baada ya kieran Tierney kuwa fit tayari kwa mchezo kama akiamua kumtumia(Arteta).
.
Lakini upande wa pili huko Manchester City wachezaji wake wote wako fiti hadi waliokuwa majeruhi wameshapona kama vile Aymeric Laporte na Leroy Sane,
.
Kurejea kwa Laporte kutaifanya safu ya ulinzi ya City kuwa salama zaidi,Itawapasa washambuliaji wa Arsenal kufanya kazi ya ziada kupenya
.
Wachezaji wengi wanaweza kuwa hawana match fitness ya kutosha hasa wale wenye umri mkubwa kiasi kama vile Aguero,David Silva na wengineo badala yake yampasa Guardiola kuwaanzisha vijana zaidi.
.
Mfano anaweza kumuanzisha Phil Foden badala ya David Silva na G.Jesus badala ya Aguero inaweza kumsaidia zaidi.
.
Upande wa Arsenal namuona Arteta akianza na mfumo wa-
-
-
nampa nafasi Pablo Mari na Luiz pale nyuma huku Xhaka na Ceballos wakitawala dimba pale juu yao Ozil kama kawaida kule pembeni chini kabisa kushoto Tierney na kulia Bellerin.
.
Pale golini Leno kama kawaida na winga ya kushoto anakabidhiwa Aubameyang na ya kulia Pepe pale juu ataanza Lacazette
.
Kikosi cha City chaweza kuanza hivi Ederson,Walker,Fernandinho,Laporte,Zichenko,De Bruyne,Rodri,Silva,Bernado,Aguero,Sterling.
.
Japo nategemea mabadiliko zaidi ya damu changa kikosi cha City.View attachment 1481346