Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi nyie washikabunduki mnategemea kufanya nini mbele ya pep
tapatalk_1592408487008.jpeg
 
Arsenal open to listen to offers for Xhaka and Torreira provided these deals are good


[@David_Ornstein, The Athletic Q&A]
 
Ornstein says Aubameyang chances of signing a new contract are high provided it’s a good enough offer.
 
Looking for a new way to follow #MCIARS?

Chat all things Arsenal
Make new friends
Support the boys

Join the Official Arsenal Fan Group

 
"Unai alikuwa mjuaji sana. Alileta watu wake na kutimua waliokuwepo. Mbaya zaidi watu wake hata kiingereza kiliwashinda. Akataka kuleta soka la kihispania kwa pupa"


Jens Lehmann
Kwa alishindwa kuongea wakati unai yupo .aache unafiki
 
Will Jr unakumbuka juzi kati tuliongea kuhusu Auba?nkakwambia huyu jamaa lazima atasepa tu msimu ukiisha sababu anajua hana cha kupoteza leo kaja na kauli hii Tujiandae kwa lolote wachezaji wa south America na Africa hawaaminikiView attachment 1479774
Sio hawaminiki Auba mchezaji mkubwa ..awezi kuendelea kubaki kwenye club isiyo na mbele wale nyuma..ipo ipo tu
 
Back
Top Bottom