Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

'According to BILD information, Wolfsburg, Bremen, Stuttgart and Mainz all continue to pursue a deal for Konstantinos Mavropanos. Dinos's plans to switch are not yet concrete. He still has a contract with Arsenal until 2023.' [@BILD]
 
Viettel ameniua.....
20200611_180612.jpg
 
BUKAYO SAKA KATIKA MAJUKUMU MAPYA CHINI YA ARTETA

The Gunners Jana dhidi ya Brentford walitumia mfumo wa 4-3-3 ,

Dani Ceballos akicheza kama kiungo wa chini au Deep lying playmaker kwa jina la kitaalamu ,na pembeni LCM(left medifield) na RCM(Right midfielder) au pacha No.8 kwa pande zote mbili, ambapo alianza Willock kama RCM na Saka kama LCM ,ni Mfumo ambao Arteta inaonekana atautunia wakati hana Mesut Ozil katika lineup yake.

Sio mara ya kwanza kwa Saka kucheza eneo hilo, wachezaji wa Gunners, Aliwahi kucheza eneo hilo dhidi ya Sheffield United, chini ya Kocha wa zamani Emery, na Arsenal kupoteza kwa bao 1-0 .

Lakini ni mara ya kwanza katika nafasi hiyo chini ya Arteta. Hii ni fursa nyingine kwa maendeleo zaidi ya Saka.

Saka alicheza kwa Dakika 45 katika eneo hilo , Nafasi ambayo kwa pale mancity mara nyingi hucheza David Silva , na kazi yake kubwa ni Ku operate -kati ya mistari ya kiungo cha mpinzani na ulinzi,

Na kukava nafasi ya mabeki wa pembeni na viungo wa kati .

Dakika 15 baada ya mapumziko, Arsenal iliongoza bao 1-0 .Na saka akicheza kama Left winger .

Silva amekuwa akifanya vizuri ndani ya Ligi Kuu katika kipindi cha muongo mmoja uliopita, akiingia ndani na kuacha nafasi, na kufanya movement au mikimbio kwa kutoa pasi, ni tabia ambayo pia anayo Saka.

Tabia ya kuulinda mpira,hasa maeneo magumu,na kuulainisha mpira kwa haraka ,ni tabia inayoonekana kwa saka.

Nakumbuka siku moja nilimchukua rafiki yangu mshabiki wa Liverpool ,tukaenda kuangalia mech ya Arsenal vs Everton , alipomuona Saka the way anavyopokea mpira na kuuachia na kufanya mikimbio(movement) ,Pale pale aliniambia huyu ni mchezaji, awali aliniambia namsikia akitajwatajwa tu .

Kurudi kwa msimu huu uliosimama itavutia kuona kama Arteta alikuwa anafanya majaribio na ambayo atayatumia kwasasa au Msimu ujao .

Arteta anapenda kumtumia Aubameyang kutokea kushoto au Left wing,na ubavu huo eneo la beki akiwa Tierney kama chaguo la kwanza, iwapo anakuwa fiti.

Kwa hivyo, anaweza kuamini kuwa kubadilika kwa Saka na ufahamu wake wa nafasi hizo (LB & LW) utafaa vizuri sana akiwa na Kieran Tierny na Aubameyang , hasa ikizingatiwa jinsi Aubameyang anavyopenda kushambulia kwa kutokea pembeni na kuingia kwenye box.

Ni mapema sana Kumlinganisha na Silva ambaye ni moja kati ya wachezaji wa kigeni waliofanya vizuri ndani ya EPL ,

Walakini, Kwa Sifa alizonazo Saka ambazo zinaendana na Silva ,ni dhahiri siku za mbeleni anaweza kufikia uwezo kama wa Silva katika nafasi hiyo
0_BukayoSaka.jpg
 
Confirmed Match Officials: #ManCity vs Arsenal [Premier League] | @FreddiePye_

Referee: Anthony Taylor
Fourth Official: Martin Atkinson
VAR: Stuart Attwell

#MCFC | #MCIARS | ManCity
 
Cazorla: "I have already made the decision, right now is not the time to say anything. I have an idea of what I want, but in due course I will say what I decide. Now is not the time because we have to be aware of competing."
download.jpg
 
'Mikel Arteta's ambition for this season: The ambition in this period, as I’ve said before, is to be a better team than we were before. In that moment we were on a really good run before we stopped for the coronavirus.

I want to go day-by-day with this team and game after game be competitive in every game and go to any stadium and try to win. This has to be us. That’s the way I feel and the way I believe is the best way to approach every game.’ [@SkySportsNews]
IMG_20200609_211026.jpg
 
Justin Kluivert has been offered to Arsenal with a deal for Mkhitaryan in mind, as Mino Raiola is interested in the swap. Raiola also represents Kluivert. [@CorSport]
 
Sasa umeulizwa ?mbona unawashwawashwa

Kama timu hatuna ,unatafuta nn humu

Halafu usipende kuniqoute , sihitaji mazoea
We,Bwege kweli Ni nani aliyeanza kum QUOTE mwenzake kati ya Mimi na wewe........Ujinga wako wa CCM usiniletee Mimi .....Eti humu natafuta nini unajifanyaga hili Jukwaa ni la kwako Eti.....Nifanye mazoea ya nini na wewe wakati Matako yenyewe huna.
 
Una pelepete nyingi mpaka unajisahau kuwa timu huna Arsenal hamna timu pale na Bado Manchester city ukipata hata droo mimi najipiga ban jf mwaka mzima.
Na zile account zako nyingine pia tisizione....
 
Back
Top Bottom