Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pierre-Emerick Aubameyang on ‘Project Restart’:

“Everybody is happy to be back at training with our mates. Now, we’re just waiting for the referee’s whistle to start the Premier League again.”
IMG_20200605_233156.jpg
 
Aubameyang:

“I am ready to start scoring goals & have some celebrations, but I won’t be able to hug my team-mates, so I’ll try to do some dancing stuff if I score!” #
IMG_20200605_233342.jpg
 
Pedro is close to joining Roma. Meanwhile, the club are working on signing Mkhitaryan, in the negotiation Arsenal are considering a deal that includes Justin Kluivert. [@RaiSport]
 
Arsenal 6-0 Charlton all goals. Nketiah (3), Aubameyang, Lacazette and Willock.

Starting line up: Leno, Bellerin, Luiz, Mustafi, Tierney, Guendouzi, Maitland-Niles, Ozil, Nelson, Aubameyang, Lacazette https://t.co/r78Q4v4l8w
 
So teams today looked like:

First half: Leno, Bellerin, Luiz, Mustafi, Tierney, Guendouzi, AMN, Nelson, Ozil, Auba, Laca.

Second half: Martinez, Sokratis, Holding, Mari, Kolasinac, Ceballos, Xhaka, Pepe, Willock, Martinelli, Nketiah.
 
Ndugu, Kwa kuwa Auba hajasign contract umesema anataka kuondoka, nimekuuliza na Saka vipi mbona hajasign na yeye anataka kuondoka?, Wewe Unataka kuongea vitu ambavyo huna uhakika navyo, ndio maana mwanzo nlikuuliza umejuaje kama Auba anataka kuondoka Arsenal
Subiri msimu huu uishe ntakurudia hii kauli yako kuna mtu nlikuwa zamani wakati wa Van persie nlikuwa mbishi kama wewe nikaumbuka, mwanzo nimekwambia situation ya Auba na Saka ni tofauti kabisa yaani Mbingu na Ardhi ,kwa situation ya Auba ambayo naiona ni dhahiri anataka kuondoka ila anapima upepo kwanza hawezi kukurupuka kusema anataka kuondoka sababu msimu haujaisha,pia kumbuka next season ndo unakuwa mkataba unaelekea mwisho ndo maana mpaka sasa hajasign na kama baada ya mwisho huu wa msimu atakuwa hajasign maana either ataondoka bure au Arsenal imuuze hvyo yeye yupo kwenye situation ya kawaida kabisa na wachezaji wote wakubwa hata RVP alitumia hali hii na tukaona nini kilitokea ila Mimi naona kabisa Auba hana maisha marefu Emirates trust me na Saka anajijua bila Arsenal career yake itafika mwisho hata akienda timu kubwa kucheza na kuaminika nafasi yake itakuwa finyu huyu atasign mkataba muda wowote ule

Pia nataka nikukumbushe wachezaji wa Africa na south America sio wa kuwaamini kabisa kabisa don't trust them huyo Auba anatuchekea tu sasa ila moyonii anajua kitu gani anafanya wachezaji wa kuaminika angalau ni hao wenye damu ya kiingereza wengi hawajapitia kwenye shida shida ila hao wa kiafrica na south America ndugu yangu hawaaminiki hao
 
Hatimaye sauti imetokaaaaaa hahahahaaaaaaaa....

Sisi lolote lile hata wakisema msimamo upangwe alphabetical na wa kwanza apewe ubingwa poa tu....

Hahaha, na Arsenal huwa lazima aongoze ligi mechi zikiwa 0 kila mwanzo wa msimu.

Baada ya hapo ndo basi tena.
 
usijihisi mnyonge arsenal inapita katika mabadiliko makubwa ya uchezaji ndani yatimu,pili wachezaji wengi ni wageni katika kuhimili mikiki ya ligi ya ulaya hata uingereza omba tuingie robo fainali ya ulaya utaona jinsi timu itakavyo anza kijiamini mabadiliko utayaona tatu majeruhi mengi ni kwa wakongwe ambao tulitegemea ndio wangeweza kuwapa ujasiri wegeni vuta subira mambo yanakuja baada ya majeruhi kusimama sawa huku wageni kama unvyo ona wanaanza kutulia katika uchezaji mambo mazuri hayataki haraka
Aisee subira ikawa ndio subira😀😀
 
DID YOU KNOW: Hector Bellerin made his Arsenal debut in 2013 in the league cup against West Brom and he came on as a sub for Arteta! He played CM that game! The game ended 1-1 after 90 mins and extra time, we won 4-3 on penalties.
-
Fast forward to now in 2020 where Arteta is the coach to Bellerin who is arguably a key part of the squad for many reasons.
 
Cazorla: "I have already made the decision, right now is not the time to say anything. I have an idea of what I want, but in due course I will say what I decide. Now is not the time because we have to be aware of competing."
 
Arsenal are hopeful their relationship with striker Pierre-Emerick Aubameyang's father - who is also the 30-year-old's agent - will help them agree a new contract with the Gunners' club captain. (Telegraph)

I'm not sure how much this is guess work. Who at Arsenal would say... https://t.co/QimCsqJtTK
 
Back
Top Bottom