Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Aubameyang’s new boots for the remainder of the season are so clean. [@Footy_Headlines]
Watuletee kifaa hiki London kwa wajanja sio kinacheza AS Roma timu ya wazee hiyoArsenal could soon part ways with Henrikh Mkhitaryan as agent Mino Raiola works towards a deal which would also see Justin Kluivert head to the Emirates Stadium, according to Gazzetta dello Sport. View attachment 1478080
Sky news si walisema anataka kusign out huyu?Aubameyang Ameongea kwa Mara ya kwanza kuhusu mustakabali wake ndani ya Arsenal
"Arsenal wana nafasi ya kuongeza mkataba wangu ,Itakuwa chaguo muhimu kwenye maisha yangu ,lakini hadi sasa Hakuna maamuzi yaliyofanywa"
Aubameyang: 'It's them [the club] who have the keys and for them to do their work. Afterwards we will see what happens.
It is a turning point in my career. I have been very frank with everyone. It will be of course a very difficult decision to make. [@telefoot_TF1 via @MailSport]
'I haven't recently received a proposition but of course there have been discussions with the club,'

Aubameyang Ameongea kwa Mara ya kwanza kuhusu mustakabali wake ndani ya Arsenal
"Arsenal wana nafasi ya kuongeza mkataba wangu ,Itakuwa chaguo muhimu kwenye maisha yangu ,lakini hadi sasa Hakuna maamuzi yaliyofanywa"
Aubameyang: 'It's them [the club] who have the keys and for them to do their work. Afterwards we will see what happens.
It is a turning point in my career. I have been very frank with everyone. It will be of course a very difficult decision to make. [@telefoot_TF1 via @MailSport]
'I haven't recently received a proposition but of course there have been discussions with the club,'
Mkuu kiaje?
habari za ndani zasema itabidi Maitland Niles auzwe ili kupata fedha za kushibisha mkataba wa Aubameyang.
Ila hiyo ya Maky na Cluivert inaweza kuwork out. Roma wanataka 30m kwa Cluivert na Arsenal wanataka about 13m kwa Mkhitaryan hivyo watafanya deal la kama 20m hivi.
Lacazette huenda akabadilishana na Partey wa Atletico Madrid lakini mazungumzo na Laca bado yanaendelea..
Hii ya Niles ni uongo , imeanzishwa na The Sun
Atletico wanamnasa Cavan ambaye Jana Leornado katangaza Anaondoka PSG
So Cavan to Atletico na alishasain Pre contract
Hivo dili la Laca kwenda Atletico linakufa
Arsenal haihitaji kuuza mchezaji ili imlipe Auba , hii ni dharau ,The sun na Mail ndio wanaongea huu uzushi
Vipi kama Niles asipouzwa ,? Kwanza nan na Corona hii atoe £20m kwa Niles ?
Ni kweli hatuta spend sana lakini Bajeti iliyopo italeta watu si chini ya watatu
Partey release clause yake ni £44.5m
Mick + £13m tunampata Justin kluivert
Pia kuna ongezeko la CB mmoja around £30-40m ( hapa kuna Dayot ambaye Arsenal wanasubiri release clause yake iishe Muda wamchukue kwa bei chee , Huyu sio wa €60m ni kupigwa, kuna Magahles wa lille huyu ni £30m)
Na dili nyingine zitakuwa za Swap ,loan au free
Pia Mari atasajiriwa permanent
Sokratis atasepa , Mustafi may be
Niles hawezi kupata namba aende tu,Mustafi auzwe, Guendouz naye atafutiwe mkopo, Mari asisajiliwe bado yupo soft sana hana tofauti na Rob,ubora wake ni pass, ikiwezekana tumpate Upamecano X Saliba.NIles kwa asili ni kiungo na si RB na Arsenal walikuwa wakimtumia kwa muda mrefu sababu ya Bellerin kuwa majeruhi.
Lakini anataka kurudi kwenye nafasi yake ya CM ambayo ameizoea ila atasugua bench kama atataka hivyo, hivyo option iliyopo ni kwenda timu zingine.
Sababu pala ekati yupo Xhaka, Guendouzi na Torreira tayari.
Niles hawezi kupata namba aende tu,Mustafi auzwe, Guendouz naye atafutiwe mkopo, Mari asisajiliwe bado yupo soft sana hana tofauti na Rob,ubora wake ni pass, ikiwezekana tumpate Upamecano X Saliba.
Dayot Arsenal wanamthaminisha kuanzia €35-40mUpamecano ndie target ila at 50M ni parefu kidogo.
Tatizo la Arsenal ni matumizi kwani uchambuzi ulofanywa na Arsenal Trust umeangalia kwa kina maeneo kama madeni, na mishahara pamoja na FFP kama ni factors kwa maendeleo ya timu miaka ijayo.
Na hii analysis imefanywa kuanzia tarehe 1 June 2018 hadi 31 May 2020
Hivyo kuanzia maingizo ya siku, matangazo ya mechi, biashara yaani commercial (hapa ni pamoja na wadhamini), mauzo ya jezi na vifaa na mikopo ya wachezaji kwenda timu zingine.
Mapato yanasikitisha sana na khasa ukizingatia hakuna champions league.
Arsenal ni mpaka waingie Champions league kupitia Europa league ndio wataanza kupata ahueni.
Ni ukweli ambao ni mchungu lakini Arsene Wenger alikuwa genous katika kuiendesha timu na kuhakikisha inacheza CL ila hakuwa na fedha za kuinvest kwa wachezaji wa maana.










| #AFC
Ngoja tumsubiri Dangote mkuu, huyu jamaa anakatisha tamaa Wamarekani na mpira wapi na wapiUpamecano ndie target ila at 50M ni parefu kidogo.
Tatizo la Arsenal ni matumizi kwani uchambuzi ulofanywa na Arsenal Trust umeangalia kwa kina maeneo kama madeni, na mishahara pamoja na FFP kama ni factors kwa maendeleo ya timu miaka ijayo.
Na hii analysis imefanywa kuanzia tarehe 1 June 2018 hadi 31 May 2020
Hivyo kuanzia maingizo ya siku, matangazo ya mechi, biashara yaani commercial (hapa ni pamoja na wadhamini), mauzo ya jezi na vifaa na mikopo ya wachezaji kwenda timu zingine.
Mapato yanasikitisha sana na khasa ukizingatia hakuna champions league.
Arsenal ni mpaka waingie Champions league kupitia Europa league ndio wataanza kupata ahueni.
Ni ukweli ambao ni mchungu lakini Arsene Wenger alikuwa genous katika kuiendesha timu na kuhakikisha inacheza CL ila hakuwa na fedha za kuinvest kwa wachezaji wa maana.
Ngoja tumsubiri Dangote mkuu, huyu jamaa anakatisha tamaa Wamarekani na mpira wapi na wapi