Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Katika kikao kwa kutumia Application ya Zoom iliyohusisha wachezaji wa Arsenal, kocha mkuu Mikel Arteta na kocha wa Vijana Per Mertesacker,

Prince William, shabiki wa Astonivilla,

Waliuliza kwa Utani kuhusu Aubameyang kuhamia Villa Park.

Kikao hicho cha Video ilikuwa kujadili maswala ya afya ya akili, na mchezo wa fainali ya Kombe la FA kubadilishwa jina na kuitwa

"Heads Up FA Cup final"

baada ya Emirates kuruhusu haki ya jina hilo kutumika kwenye Faunal.

Na Duke wa Cambridge alisema:

"Nilitaka kusema kuwa ni kweli ninatumaini Piere utakuwa Aston Villa msimu ujao."

Mertesacker, Aubameyang na Hector Bellerin basi walionekana kucheka,

lakini majibu ya Arteta yalikuwa tofauti kidogo.

Arteta alikuwa na tabasamu usoni mwake, lakini pia alionekana akiweka mkono wake hewani na kuushusha kutoka upande kwa upande kuiashiria 'hapana, hapana.

Je! Hiyo ni hatua kuzizuia klabu zingine zozote zinazomtaka Auba?

Mashabiki wa Arsenal wanatarajia hivo
0_ArsenalZoom1.jpg
 
| Barcelona prepared to pay portion of Philippe Coutinho’s wages for him to leave the club

Source:Telegraph


HAYA ARSENAL KAZI KWETU KAMA NI KWELI WASEMACHO TELEGRAPH
 
"We're trying different things,"


Arteta told Sky Sports, when asked about the defeat. "We're trying to give minutes in their legs to all of the players, obviously you have to change a lot of players through the games.

"Getting adapted to playing in an empty stadium as well, not having that energy from the fans. It was good, we played two friendlies, we're getting a bit of rhythm, we haven't played for a while, we tried to make is as close as possible to a real game."

Arteta added: "I think that's a big question mark. We've been trying in big groups just for 10 days. You can play a friendly game, you can play 45 minutes, but it's not the same as Premier League rhythm at all.

"We will have to see that. I think it will be very difficult to sustain big rhythms for 90 minutes for the first few games at least.
 
Kulingana na taarifa kutoka kwa Mwandishi kutoka Italy @Andrea_DiCarlo ..

Anasema Arsenal na Roma zipo kwenye mazungumzo ya kubadilishana Mkhitaryan na Justin Kluivert kwenda Arsenal.

Klabu hizo mbili zinafanya bidii kuhitimisha mpango huo .. Roma ina wanamthaminisha kwa dau la Euro milioni 40 ..

Arsenal wanatakiwa kumtoa Micky + €25m
IMG_20200612_180424.jpg
 
Kulingana na taarifa kutoka kwa Mwandishi kutoka Italy @Andrea_DiCarlo ..

Anasema Arsenal na Roma zipo kwenye mazungumzo ya kubadilishana Mkhitaryan na Justin Kluivert kwenda Arsenal.

Klabu hizo mbili zinafanya bidii kuhitimisha mpango huo .. Roma ina wanamthaminisha kwa dau la Euro milioni 40 ..

Arsenal wanatakiwa kumtoa Micky + €25mView attachment 1476455
Deal
 
Bukayo Saka's contract saga with Arsenal is still yet to be resolved, though talks are still ongoing behind the scenes with his agent Emeka Obasi, allnigeriasoccer has been told. [@Editor_ANS]
 
Kulingana na Gazeti la michezo la Italia la @tuttosport,

Arsenal wameishinda mbio Ac milan kwa Dayot Upamecano.

Julian Nagelsmann amewawashia Gunners taa ya kijani kwa beki huyo mwenye umri wa miaka 21 kujiunga na klabu hiyo ya London.

“The Leipzig CB was on Rangnick's list, but there is an overtaking by the British: the Gunners have snatched a promise from the Nagelsmann club.”

This is the header of the @tuttosport article. Means that Leipzig and Arsenal have a verbal agreement for Upamecano for this summer.
IMG_20200613_133553.jpg
 
Kulingana na Gazeti la michezo la Italia la @tuttosport,

Arsenal wameishinda mbio Ac milan kwa Dayot Upamecano.

Julian Nagelsmann amewawashia Gunners taa ya kijani kwa beki huyo mwenye umri wa miaka 21 kujiunga na klabu hiyo ya London.

“The Leipzig CB was on Rangnick's list, but there is an overtaking by the British: the Gunners have snatched a promise from the Nagelsmann club.”

This is the header of the @tuttosport article. Means that Leipzig and Arsenal have a verbal agreement for Upamecano for this summer.
View attachment 1477228
Beki mzuri anahitajika mkuu, sio kuvumilia ujinga wa wapumbafu kila siku.
 
#Arsenal have delayed their kit launches for this year. They were originally set for a May/June drop.

The home and away kits are now set to be released in July, while the third should drop in August 2020 [@TheAFCnewsroom] #AFC
IMG_20200610_155832.jpg
 
Arsenal - 19/20 Premier League

️ Top rated - Nicolas Pepe
️ Most goals - Pierre-Emerick Aubameyang
Most assists - Nicolas Pepe
Most tackles - Granit Xhaka

Restart Preview: Arsenal need to stay unbeaten in 2020 to reverse top-four deficit -- @WhoScored Arsenal
IMG_20200610_155832.jpg
 
Back
Top Bottom