Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal inatarajiwa kutuma ofa rasmi kwa Orkun Kökçü 'ndani ya wiki chache'. Arteta anamjua mchezaji huyo kwa miaka, haswa kupitia ripoti za skauti kutoka Man City.
Arsenal wanataka kujenga timu mpya, yenye vipaji na ya vijana, wanaamini Kökcü anafiti kwenye falsafa hiyo[@VI_nl]
 
Rais wa Benfica Felipe amethibitisha kwamba Luiz ataongeza upya mkataba wake na Arsenal.


"Urafiki wetu ni kama baba na mtoto wake. Niliongea naye jana,amesema ataongeza mkataba wake na Arsenal. Yeye ni mtu anayeipenda Benfica ... Kwasasa haiwezekani sisi kutoa mahitaji yake."
IMG_20200602_102936.jpg
 
Mikel Arteta has decided that he wants to sign defender Pablo Mari permanently [Telegraph]
 
One year ago today we lost an icon and legend of the club. Rest in peace José Antonio Reyes. We will never forget you.
IMG_20200601_112314.jpg
 
Bergkamp kuhusu Arteta

"Kila mtu sasa hivi akiwa na mpira ana chaguzi tatu(pembetatu )kwenye uwanja.

Ni njia nzuri kuliko hapo awali(Wakati wa emery)

"Lakini hii ni tamaduni tofauti ambayo itachukua muda.

"Lazima tuweke muda kama vile tulivyofanya kwa Arsene Wenger ."
images%20(1).jpg
download.jpg
 
Sports director of Fram Larvik, Jostein Jensen on George Lewis signing for Arsenal :

"Yes, we can confirm that. I have been told that he has signed for Arsenal. We wish George good luck." [@vgsporten]
IMG-20200530-WA0000.jpg
 
Exclusive from Football Ghana: Thomas Partey will resolve his future in the coming days. The player is determined to move to the Premier League, and Arsenal is determined to sign him
IMG_20200529_213432.jpg
 
Image: Arsenal’s home kit for the 2020/21 season, manufactured by Adidas, has been spotted for sale. [@Footy_Headlines]
FB_IMG_1591297298098.jpg
 
Despite interest from other clubs, Hector Bellerín is set to do stay at Arsenal. He is fully invested in coach Mikel Arteta’s vision for the future, as per James Olley. 🔴⚪️
 
According to @gokmenozcan, Orkun Kokcu is close to signing for #Arsenal for a fee of €25m.
IMG_20200605_070400.jpg
 
Tatizo la timu yetu ni kitengo cha recruitment kikifanyiwa marekebisho tutakuwa na nguvu kubwa sana kama sasa hivi Mfungaji wetu bora anataka kuondoka na akija mwingine ni kama tunaanza upya tena
20200605_085759.jpeg
 
Hii timu akiondoka Aubameyang itakuwa na wakati mgumu sana
 
Back
Top Bottom