Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Arsenal inatarajiwa kutuma ofa rasmi kwa Orkun Kökçü 'ndani ya wiki chache'. Arteta anamjua mchezaji huyo kwa miaka, haswa kupitia ripoti za skauti kutoka Man City.
Arsenal wanataka kujenga timu mpya, yenye vipaji na ya vijana, wanaamini Kökcü anafiti kwenye falsafa hiyo[@VI_nl]
Arsenal wanataka kujenga timu mpya, yenye vipaji na ya vijana, wanaamini Kökcü anafiti kwenye falsafa hiyo[@VI_nl]
Exclusive from Football Ghana: Thomas Partey will resolve his future in the coming days. The player is determined to move to the Premier League, and