Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Picha niliyopost huyo ni mchezaji wa zamani wa Arsenal anaongelea hili suala pia ukimsoma utamuelewa
Kwani ni wakala wa Auba??,si hata mimi naweza kuongea tu Aubameyang anataka kuondoka,nipe habari aliyosema Yeye mwenyewe anataka kuondoka
 
Kwani ni wakala wa Auba??,si hata mimi naweza kuongea tu Aubameyang anataka kuondoka,nipe habari aliyosema Yeye mwenyewe anataka kuondoka
Sikiliza Auba hajasema kama anataka kusepa ila mpaka sasa anaweza kuondoka na kutuachia timu yetu naona haukunielewa labda ila lolote linaweza kutokea na Arteta kasema next week ataongea na Auba kuhusiana na Mkataba sasa kama hatasign kuna mawili auzwe tupate hela au aondoke bure ila kitendo cha kukaa kimya Nina uhakika 70%Auba atasepa
 
Sikiliza Auba hajasema kama anataka kusepa ila mpaka sasa anaweza kuondoka na kutuachia timu yetu naona haukunielewa labda ila lolote linaweza kutokea na Arteta kasema next week ataongea na Auba kuhusiana na Mkataba sasa kama hatasign kuna mawili auzwe tupate hela au aondoke bure ila kitendo cha kukaa kimya Nina uhakika 70%Auba atasepa
Vipi kwa Saka mbona naye yupo kimya kwa hiyo ataondoka?
Mchezaji kama Aubameyang kukaa kimya anashinikiza vitu vingi, kwa maslahi ya timu na yake pia ila sio kuwaza tu kuondoka.
 
Martinelli:

"Mikel alinipigia simu kuuliza maswali binafsi juu ya mtindo wangu wa kucheza ambao naupenda. Aliniuliza niangalie mchezo dhidi ya Olympiakos na kutoa maelezo juu ya vitu vichache kama vile nafasi yangu ndani ya uwanja(positioning), ikiwa nilihisi ni vibaya.

Niligundua nimekosea nikaorodhesha.

Akaniita tena wiki iliyofuata kuzungumza juu ya yale niliyoorodhesha.

Tulikuwa na mazugumzo juu ya mchezo huo,

Kile natakiwa niboreshe na kile natakiwa nifanye vizuri.

Arteta ni mtaalamu sana na ni vizuri kujua kuwa kocha wetu anamjali kila mmoja wa wachezaji wake."
 
Saka na Auba ni vitu viwili tofauti Auba anachezea timu yoyote ile kubwa duniani na umri ushaenda ila Saka anajua Arsenal ndo sehemu ya kutangazia kiwango chake
Vipi kwa Saka mbona naye yupo kimya kwa hiyo ataondoka?
Mchezaji kama Aubameyang kukaa kimya anashinikiza vitu vingi, kwa maslahi ya timu na yake pia ila sio kuwaza tu kuondoka.
 
Arteta’s priority is to bring in at least one centre-back, a box-to-box midfielder and a right-back. A striker is also viewed as key, should either of Pierre-Emerick Aubameyang or Alexandre Lacazette leave. [@charles_watts]
 
Arsenal want to sign Atletico Madrid midfielder Thomas Partey, who has a £44m release clause & is believed to be keen on a move to England. Partey has yet to sign a new contract offered to him & is waiting to see how the summer window unfolds. [@charles_watts]
 
Hii timu akiondoka Aubameyang itakuwa na wakati mgumu sana
If Auba leaves, ideally the club would like to bring in a younger forward and have been watching Odsonne Edouard this season. Jonathan David is also a player on Arsenal’s shortlist, while Lyon’s Moussa Dembele is a player the Gunners have been long admirers of. [@charles_watts]
 
Hivi nyie hamfanyi usajili kwani?
Hatusajiri kwa kufata mkumbo ,tunasajiri kwa mahitaji ya klabu ,na dirisha bado hata kufunguliwa

,



Arsenal are currently working towards different transfer scenarios. It’s unlikely they will know which one they will follow until they play their final game of the campaign & find out whether they will be playing European football next season & what competition. [@charles_watts]
 
Saka na Auba ni vitu viwili tofauti Auba anachezea timu yoyote ile kubwa duniani na umri ushaenda ila Saka anajua Arsenal ndo sehemu ya kutangazia kiwango chake
Ndugu, Kwa kuwa Auba hajasign contract umesema anataka kuondoka, nimekuuliza na Saka vipi mbona hajasign na yeye anataka kuondoka?, Wewe Unataka kuongea vitu ambavyo huna uhakika navyo, ndio maana mwanzo nlikuuliza umejuaje kama Auba anataka kuondoka Arsenal
 
From || Lassana Camara (@LassanaWelt - Reliable for African Football), says Thomas Partey is preparing to engage with Arsenal.
 
Ndugu, Kwa kuwa Auba hajasign contract umesema anataka kuondoka, nimekuuliza na Saka vipi mbona hajasign na yeye anataka kuondoka?, Wewe Unataka kuongea vitu ambavyo huna uhakika navyo, ndio maana mwanzo nlikuuliza umejuaje kama Auba anataka kuondoka Arsenal
Umemueleza vzr
 
TRAINING: 5/6/20

Leno, Martínez

Bellerín, Tierney, Sokratis, Holding, Cédric, Mustafi, Marí, Luiz, Kolašinac

Ceballos, Özil, AMN, Guendouzi, Xhaka

Lacazette, Aubameyang, Pépé, Nelson, Nketiah, Martinelli

#AFC
IMG_20200605_164315.jpg
IMG_20200605_164220.jpg
 
Youth players called up:
• Trae Coyle (AM, winger)
• Zak Swanson (RB)
• Daniel Ballard (CB)

Individual training:
• Torreira
 
Back
Top Bottom