Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mikel Arteta gave an update on Torreira after the game.

"He was in a lot of pain," said the head coach.

"He is in a brace at the moment, he will be assessed in the next few days and we will know more then.

"I don’t know if it’s the bone or ligaments, we don’t know yet."



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pablo Mari’s Arsenal debut in numbers:

90 minutes
100 touches
77 passes
13 long balls
3 aerial duels won
3 shots blocked
5 clearances
1 clean sheet

A top performance #afc
 
Fixcture yetu

March

7...Westham H
14..Brighton A
22...Southampton A

April

4....Norwich H
13..Wolvers A
18..Leicester H
26..Spurs A

May

2...Liverpool H
9...Aston Villa A
17..Watford H


NB:kuna kiporo na man city hapo katikati kitapigwa Home.




Sent using Jamii Forums mobile app
Patamu hapo

Next week

Chelsea vs Everton

Nyumbu vs cityzen

Hapa lazima wadondoshe point tena hawa kenge
 
Kuna haja gani ya kupambana kwenda mashindano ya UEFA ilihali mnaenda kusindikiza wanaume kila mwaka? Bora mmalize nafasi ya 10 mjikite kwenye kujenga timu zaidi EPL.

Sent using Cash Money Wings
Aliyekwambia tunaenda kusindikiza kama wewe nan? Kwanza tunaunda timu

Kwahiyo jipange hiyo nafas unashushwa korokoron muda si mrefu
 
Kilichobaki ni kucheza kila mechi kama fainali...piga ua naiona top 4 na sis wana asenali tukiwemo
 
Msije na matokeo yenu mfukoni kama ya Europa. Mechi zilizobaki mkitoa draw 7 na win 2 msitukane wachezaji wenu. Maana hamkawii kusema mmelogwa

Sioni Arsenal ikimaliza top 4. Bado mnakikosi cha kawaida sana.

Na zaidi kuelekea Mwisho wa ligi timu ndogo zinapambana kupata matokeo. Madraw ni halali yenu. SHUBAAAAMIT ZENU

Sent using Cash Money Wings
Bila shaka ww fan wa manure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatimaye!!! Duh tusubiri dk 90
20200304_104439.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu mashabiki wa Arsenal niwaambie kitu, Mkifungwa mechi yoyote ile msiongee Kiswahili humu nyie Tandikeni Kimombo ( English) Hakuna mtu atakayekuja kuwasumbua huu watatokomea wote kusikojulikana mfano mzuri ni kule kwenye uzi wetu Liverpool wanakula kona tu.
 
Msije na matokeo yenu mfukoni kama ya Europa. Mechi zilizobaki mkitoa draw 7 na win 2 msitukane wachezaji wenu. Maana hamkawii kusema mmelogwa

Sioni Arsenal ikimaliza top 4. Bado mnakikosi cha kawaida sana.

Na zaidi kuelekea Mwisho wa ligi timu ndogo zinapambana kupata matokeo. Madraw ni halali yenu. SHUBAAAAMIT ZENU

Sent using Cash Money Wings
Naona kijana toka upenye katika tundu walilolitoboa Watford umeanza kuwa jeuri,kumbuka ile ni FA.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu mashabiki wa Arsenal niwaambie kitu, Mkifungwa mechi yoyote ile msiongee Kiswahili humu nyie Tandikeni Kimombo ( English) Hakuna mtu atakayekuja kuwasumbua huu watatokomea wote kusikojulikana mfano mzuri ni kule kwenye uzi wetu Liverpool wanakula kona tu.
Hahahahahaha huwaga nawaelewa sana washabiki wa Liverpool wana mbinu kali kama za kocha wao....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom