Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Umebadili kumbe nilitaka nikusahihisheMatteo Guendouizi in Ozila out
Umebadili kumbe nilitaka nikusahihisheMatteo Guendouizi in Ozila out
Mimi nampa MustafiNampa Dani Ceballos MOTM leo amejitoa khasa kwa timu,
Arteta dk 5 za mwisho alibadili mfumo ,baada ya kuingia Matteo ,nakufanya tucheze viungo watatuWooyooo point 6 hizo ila Everton imebadilika sana leo tumejaribiwa mara 17 hali ilikuwa mbaya sana ila kikubwa point 3 na Arteta anatakiwa aangalie suala la pumzi kwa wachezaji wetu suala hili linajirudia rudia sana dk 20 za mwisho huwa tunachoka
Manchester United ijiandae point 3 hawatapata chini ya hawa watoto wa Everton
Sent using Jamii Forums mobile app
Lete tena msimamo
Huwa harudi kiazi huyoLete tena msimamo
Sent from my Infinix X606B using Tapatalk
Paundi elf 3 seriously??!![]()
Saka ana miaka 18
Mkataba wake ni mpaka 2021
Nafasi anayocheza ni kwa emergency tu, kwani yeye ni mshambuliaji wa pembeni na kwa sasa anacheza kuziba nafasi ya Kieran Tierney bado yuko bench.
Mkataba wake kwa sasa ni pauni 3,000 kwa wiki alosaini mwezi September 2018
Hivyo wakala wake anapigania hadi 50,000 kwa wiki kama kianzio.
Sema game ilikuwa tight sana ilimradi 6 points game 2 tena home Emirates kibindioni hili ndo la muhimu sanaArteta dk 5 za mwisho alibadili mfumo ,baada ya kuingia Matteo ,nakufanya tucheze viungo watatu
Alitaka kudefence

2-0 vs Man Utd
1-0 vs Leeds
1-1 vs Crystal Palace
1-1 vs Sheff Utd
2-2 vs Chelsea
2-1 vs Bournemouth
0-0 vs Burnley
4-0 vs Newcastle
1-0 vs Olympiacos
3-2 vs Everton h
Willock Leo hakuwepo hata benchKitakachofuata ni tactical change na Laca ataingia badala ya Nketiah.
Willock badala ya Ozil
Tuone Arteta atafanyaje
Get well soon, my brother @seadk6
#SM20 Shkodran Mustafi on Twitter
Ila tension iliyokuwepo dakika kama kumi za mwisho ilifanya nihisi kinywaji changu wameki adulterate yaani kilikosa ladha kabisa... At least mpira ulivyoisha nikaanza kupata ladha.