Hapa Kolasinac anahangaika nini mkuu?Kolasinac yumo kwenye "clear-out list" msimu ujao hatakuwepo.
Nice...we need more2-1
Aubameyang anafunga goli la pili kwa uhakika kabisa.
Arteta ameleta kitu kipya kabisa, honestly.
Safi sana
COYGs
Uyu dogo Saka apewe mkataba mpya waache utani wampe salary ata ya 100k pound per week
Sent using Jamii Forums mobile app
We gonna win this game
Kama sheria zingelifuatwa, Everton hawakustahili goli lolote.
Kama sheria zingelifuatwa, Everton hawakustahili goli lolote.