Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Jana ozil na lt11 hawakusafiri na timu ,anapewa nafasiKiukweli Willock anazingua sana!.. Lakini nimejifunza kumuamini kocha! Huyu dogo atakuwa machine soon!.. Hebu muangalie Lacca, anaanza kurudi kwenye hali yake, check Ozil ameanza kuscore!.. Mimi naamini kuna kitu anakiona kwa huyu dogo ambacho pengine sisi hatujakiona!..
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo dogo mizinguo sana
v Bournemouth
v Chelsea
v Manchester Utd