DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Rich kaka adimu sana wewe....Wakuu kiaje?
Team News:
Ozil hajasafiri na timu inasemwa anaumwa, hivyo Joe Willock huenda akaziba nafasi yake.
Matteo Guendouzi nae huenda akaanza mechi ya leo huku Lucas Torreira naeiakiwa ndio anafanyiwa ukaguzi wa mwisho kuamau kama aanze mechi au aingie kipindi cha pili.
Beki wa kati Pablo Mari nae huenda akacheza.
A must win game.
Lakini tukumbuke tuna game la muhimu zaidi jumapili dhidi ya Everton hivyo suala la Ozil hapo juu na upangaji timu la leo ni la kimkakati zaidi.
Everton sasa ni adui mkubwa kwetu na ni lazima awe neutralised.
COYGs!!
Tunae mwenyeji wetu Sokratis beki wetu mshshara hapa mjini Piraeus, Athens.
Sent using Jamii Forums mobile app