Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Dah lakini mkuu kumbuka LAMPARD amechukua timu ambayo mchezaji wetu tegemezi HAZARD aliondoka + Ban ya kutofanya usajili.

Pia Lampard amekuta timu ambayo viwango vya wachezaji masenior vimeshuka ALONSO, EMERSON, PEDRO, BATSHUAYI, DRINK WATER, BAKAYOKO, BARKELY n.k

Ikamlazimu LAMAPRD kutumia wachezaji madogo ambao hawana uzoefu wa epl wakina JAMES, TOMORI, TAMMY, ODOI, MOUNT.

Ndio maana uongozi wa Chelsea kwa kufahamu udhaifu wa kikosi ukampa Lampard mkataba kwamba msimu wa kwanza Lampard ahakikishe timu isishuke daraja.

Kwahiyo Lampard mpaka sasa kuwa top 4 ni amejitahidi, kuendelea kuwa kwenye mashindano ya UCL amejitahidi, kuwa kwenye mashindano ya FA amejitahidi.

Mpaka sasa LAMAPRD kwa Chelsea amekuwa kocha bora na amevuka malengo ya mkataba wake wa msimu wa kwanza, na sidhani kama timu itashuka daraja

Ila kwa msimu ujao ni sahihi kumsema, kumkandia, kumtukana endapo atapata matokeo ya ovyo, baada ya kujenga kikosi chake na hapo ndio mashabiki tutahoji mbinu zake.

Sent using Cash Money Wings
Lampard ni kocha mzuri kabisa mbona!.. Kiukweli Chelsea mmebahatikà kupata kocha mzuri. Mimi naamini atawasaidia sana. Pia Arsenal tumelamba dume kwa Arteta. Timu yenye kocha wa hovyo ni man u

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I've gone with Papa at right-back here, but that is just me guessing for now.

Subs: Martinez, Holding, Maitland-Niles, Kolasinac, Ceballos, Pepe, Nketiah.
IMG_20200220_220044.jpeg
 
Dah lakini mkuu kumbuka LAMPARD amechukua timu ambayo mchezaji wetu tegemezi HAZARD aliondoka + Ban ya kutofanya usajili.

Pia Lampard amekuta timu ambayo viwango vya wachezaji masenior vimeshuka ALONSO, EMERSON, PEDRO, BATSHUAYI, DRINK WATER, BAKAYOKO, BARKELY n.k

Ikamlazimu LAMAPRD kutumia wachezaji madogo ambao hawana uzoefu wa epl wakina JAMES, TOMORI, TAMMY, ODOI, MOUNT.

Ndio maana uongozi wa Chelsea kwa kufahamu udhaifu wa kikosi ukampa Lampard mkataba kwamba msimu wa kwanza Lampard ahakikishe timu isishuke daraja.

Kwahiyo Lampard mpaka sasa kuwa top 4 ni amejitahidi, kuendelea kuwa kwenye mashindano ya UCL amejitahidi, kuwa kwenye mashindano ya FA amejitahidi.

Mpaka sasa LAMAPRD kwa Chelsea amekuwa kocha bora na amevuka malengo ya mkataba wake wa msimu wa kwanza, na sidhani kama timu itashuka daraja

Ila kwa msimu ujao ni sahihi kumsema, kumkandia, kumtukana endapo atapata matokeo ya ovyo, baada ya kujenga kikosi chake na hapo ndio mashabiki tutahoji mbinu zake.

Sent using Cash Money Wings
Sawa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Martinez pia sio kipa mbaya, nadhani hii ingekuwa fursa nzuri kwake kuonyesha uwezo.
 
Holding alikuwa kwenye form Sana yule dogo rashford ndo alimwaribia mwenzio toka arudi form imeshuka kabisa hata confidence hamna sijaelewa kwann hajamweka Mari hata sub

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DSTV wapumbavu kweli nipo naangalia SS3 ya South Africa, wanaonyesha mechi ya Man U na hao wabeligiji baadae wataonyesha ya kwetu.
Lakini ss3ya huku haionyeshi hizo mechi.
 
DSTV wapumbavu kweli nipo naangalia SS3 ya South Africa, wanaonyesha mechi ya Man U na hao wabeligiji baadae wataonyesha ya kwetu.
Lakini ss3ya huku haionyeshi hizo mechi.
Jaribu startimes... Nasikia wanaonyesha
 
Back
Top Bottom