Enlightenment
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 1,321
- 3,307
Kikosi kipo poa ila hao wagiriki sio wabovu kiivyo.Hapa lazima Mabaharia wa kigiriki wazame kwenye maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikosi kipo poa ila hao wagiriki sio wabovu kiivyo.Hapa lazima Mabaharia wa kigiriki wazame kwenye maji.
Wanawafikia Newcastle? 😄
Ngoja tuone, ila ushindi muhimu kuongeza molari kwenye EPL.Wanawafikia Newcastle?![]()
Lampard ni kocha mzuri kabisa mbona!.. Kiukweli Chelsea mmebahatikà kupata kocha mzuri. Mimi naamini atawasaidia sana. Pia Arsenal tumelamba dume kwa Arteta. Timu yenye kocha wa hovyo ni man uDah lakini mkuu kumbuka LAMPARD amechukua timu ambayo mchezaji wetu tegemezi HAZARD aliondoka + Ban ya kutofanya usajili.
Pia Lampard amekuta timu ambayo viwango vya wachezaji masenior vimeshuka ALONSO, EMERSON, PEDRO, BATSHUAYI, DRINK WATER, BAKAYOKO, BARKELY n.k
Ikamlazimu LAMAPRD kutumia wachezaji madogo ambao hawana uzoefu wa epl wakina JAMES, TOMORI, TAMMY, ODOI, MOUNT.
Ndio maana uongozi wa Chelsea kwa kufahamu udhaifu wa kikosi ukampa Lampard mkataba kwamba msimu wa kwanza Lampard ahakikishe timu isishuke daraja.
Kwahiyo Lampard mpaka sasa kuwa top 4 ni amejitahidi, kuendelea kuwa kwenye mashindano ya UCL amejitahidi, kuwa kwenye mashindano ya FA amejitahidi.
Mpaka sasa LAMAPRD kwa Chelsea amekuwa kocha bora na amevuka malengo ya mkataba wake wa msimu wa kwanza, na sidhani kama timu itashuka daraja
Ila kwa msimu ujao ni sahihi kumsema, kumkandia, kumtukana endapo atapata matokeo ya ovyo, baada ya kujenga kikosi chake na hapo ndio mashabiki tutahoji mbinu zake.
Sent using Cash Money Wings
Kikosi kishapangwa mkuu!I've gone with Papa at right-back here, but that is just me guessing for now.
Subs: Martinez, Holding, Maitland-Niles, Kolasinac, Ceballos, Pepe, Nketiah. View attachment 1364394
Sawa mkuuDah lakini mkuu kumbuka LAMPARD amechukua timu ambayo mchezaji wetu tegemezi HAZARD aliondoka + Ban ya kutofanya usajili.
Pia Lampard amekuta timu ambayo viwango vya wachezaji masenior vimeshuka ALONSO, EMERSON, PEDRO, BATSHUAYI, DRINK WATER, BAKAYOKO, BARKELY n.k
Ikamlazimu LAMAPRD kutumia wachezaji madogo ambao hawana uzoefu wa epl wakina JAMES, TOMORI, TAMMY, ODOI, MOUNT.
Ndio maana uongozi wa Chelsea kwa kufahamu udhaifu wa kikosi ukampa Lampard mkataba kwamba msimu wa kwanza Lampard ahakikishe timu isishuke daraja.
Kwahiyo Lampard mpaka sasa kuwa top 4 ni amejitahidi, kuendelea kuwa kwenye mashindano ya UCL amejitahidi, kuwa kwenye mashindano ya FA amejitahidi.
Mpaka sasa LAMAPRD kwa Chelsea amekuwa kocha bora na amevuka malengo ya mkataba wake wa msimu wa kwanza, na sidhani kama timu itashuka daraja
Ila kwa msimu ujao ni sahihi kumsema, kumkandia, kumtukana endapo atapata matokeo ya ovyo, baada ya kujenga kikosi chake na hapo ndio mashabiki tutahoji mbinu zake.
Sent using Cash Money Wings
Arteta naona hataki majaribio huku EuropaMartinez pia sio kipa mbaya, nadhani hii ingekuwa fursa nzuri kwake kuonyesha uwezo.
Mari walicheza U23 game juz hapa ,na holding,Holding alikuwa kwenye form Sana yule dogo rashford ndo alimwaribia mwenzio toka arudi form imeshuka kabisa hata confidence hamna sijaelewa kwann hajamweka Mari hata sub
Sent using Jamii Forums mobile app
Mari walicheza U23 game juz hapa ,na holding,
Naona bado anamvuta taratibu kuingia kikosin
DSTV wapumbavu kweli nipo naangalia SS3 ya South Africa, wanaonyesha mechi ya Man U na hao wabeligiji baadae wataonyesha ya kwetu.
Lakini ss3ya huku haionyeshi hizo mechi.
Jaribu startimes... Nasikia wanaonyeshaDSTV wapumbavu kweli nipo naangalia SS3 ya South Africa, wanaonyesha mechi ya Man U na hao wabeligiji baadae wataonyesha ya kwetu.
Lakini ss3ya huku haionyeshi hizo mechi.
Jaribu startimes... Nasikia wanaonyesha
Ngoja tuwasubirmwenye link please!!
Mkuu hiyo SS3 ya South Africa unaipataje?DSTV wapumbavu kweli nipo naangalia SS3 ya South Africa, wanaonyesha mechi ya Man U na hao wabeligiji baadae wataonyesha ya kwetu.
Lakini ss3ya huku haionyeshi hizo mechi.
Kupitia iptv, Nina subscription ya mwaka mzima