computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
Anatakiwa apewe hata paundi elfu 50 kwa uwezo wake timu kubwa zishaanza kumfuata fuata ni kama wanatuchokoza chokozaSawa na million 6 kwa wiki
Hela ndogo sana kwa maisha ya UK
Hata hivyo ndio mishahara ya watoto wa academy, maana amepandishwa Senior team Hata mwez haujaisha
Bado alikuwa anahesabika ni Academy player tu
Sent using Jamii Forums mobile app

