computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
Licha shafii kakosea kidogo hapo ila kwa TAKWIMU hizi kila siku tutakuwa tunalia angalia namba 10 yetu hafungi wala hana assist karibia mechi zote hizo kazi yake kubishana na marefarii tu nasema huyu akiondoka tukampata hata mtu kama Grealish na front three yetu kila mechi tutakuwa tunapata si chini ya goli 3 huyu kabaki historia na ndiye anayetuharibia kutofunga magoli washambuliaji hawapati mipira mara kwa mara ni mpaka saka au kolasinac watoe assist ndo tufunge
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app