Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Upamecano has decided not to renew his contract. Arsenal remain interested in the French centre-back. [@BILD]


The Premier league is the player's preferred destination. Arsenal are likely to face competition from Barcelona and Bayern Munich.
 
Arsenal summer transfer targets (defenders):

Layvin Kurzawa (PSG)
Gabriel Magalhaes (Lille)
Dayot Upamecano (RB Leipzig)
Joe Rodon (Swansea)
Nathan Ake (Bournemouth)

[Mail]
 
Arsenal summer transfer targets (defenders):

Layvin Kurzawa (PSG)
Gabriel Magalhaes (Lille)
Dayot Upamecano (RB Leipzig)
Joe Rodon (Swansea)
Nathan Ake (Bournemouth)

[Mail]
Zayech tayari naskia amemalizana na wapinzani wetu wa chelsea na fungu juu MSIMU ujao ni lazima tuondoe baadhi ya wachezaji wasiokuwa na jipya kama Ozil willock ila kwa Laca naweza kumpa last chance next season

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zayech tayari naskia amemalizana na wapinzani wetu wa chelsea na fungu juu MSIMU ujao ni lazima tuondoe baadhi ya wachezaji wasiokuwa na jipya kama Ozil willock ila kwa Laca naweza kumpa last chance next season

Sent using Jamii Forums mobile app
Lacazette tangu aje Arsenal hajawahi fikia hata nusu ya kiwango alichokuwa nacho Lyon......soka la England limemkataa,huyu angerudishwa League1

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu haya mambo ndo maana milango mitatu alikuwa anatutukana hao washawah kwenda USA MALAYSIA sehemu kibao ila wakirudi mambo ni yale yale huyo Ozil hata aongee nini kwa sasa anatakiwa awe China huko anacheza mpira yaani hii timu inahitaji mabadiliko makubwa sana huko Dubai wameenda kutalii tu hawa sioni kama kuna jipya litabadilika chini ya wachezaji hawa hawa na pia usisahau tuna game na olympiacos away next week Alhamisi

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo alikuwa anatutukana. I smell something familia 😏😏😏
 
Back
Top Bottom