Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bukayo Saka. ..kuhusu kupiga pasi 22 hadi goli

"Mikel anajaribu kurudisha falsafa yetu , jinsi Arsenal inavyopiga pasi nahisi tumecheza vizuri sana hasa katika kipindi cha kwanza." #Afc
IMG_20200128_014849.jpeg
 
SAKA KUHUSU PARTNERSHIP YAKE NA MARTINELL

" Tunafanya mazoezi mengi pamoja, tunaongea mengi ni kama Rafiki yangu, Kila muda tunaongea jinsi ya kuwapita Walinzi(mabeki) na kwenda mbele kufunga magoli"
IMG_20200128_014325.jpeg
 
Mkuu mm nazungumzia mech ya Leo ,sio overall

Leo willock, Nketiah ,saka wamecheza vizuri sana

Hata Matteo ndio kakichafua balaa


Mm mchezaji akicheza vzr nitamsifia ,akivurunda nitamsema


Kama willock sijawahi kumkubali ,ila Leo magoli yote mawili katoa Pre assist

Mzee mwenzangu! Like goli la pili ni pepe ndio alipiga pasi kwa saka amabae akaweka cross ya chini chini eddie akamalizia.
 
Hawa si wa kuwategemea sana sababu huwa hawana consistency hapo ndo tatizo linapoanzia
Mkuu mm nazungumzia mech ya Leo ,sio overall

Leo willock, Nketiah ,saka wamecheza vizuri sana

Hata Matteo ndio kakichafua balaa


Mm mchezaji akicheza vzr nitamsifia ,akivurunda nitamsema


Kama willock sijawahi kumkubali ,ila Leo magoli yote mawili katoa Pre assist

Sent using Jamii Forums mobile app
 
From || Komanda1 (Tier 1-2 for the country), state that a deal has been agreed between Arsenal & Shakhtar for Mykola Matviyenko. Only the final details to be sorted.
 
KUTOKA UKRAINE || Source inaitwa Komanda inaaminika sana , Inaripoti Arsenal imekubaliana na Shaktar Donesk kuhusu Beki anayecheza LB, LCB , RB Mykola Matyviyenko .

Zimebaki details chache kukamilisha deal.


HII BEKI IKITUA TUTAKUWA TUMEFANYA USAJIRI MAKINI SANA
IMG_20200122_234059.jpeg
 
Back
Top Bottom