Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal tuna congestion ya CB isiyokuwa na quality sana kwa sasa. Sijajua Arteta ana plan gani ya kupunguza hii congestion ili kuwafanya wanaokuja watusaidie.

So far tuna: Chambers, Holding, Mustafi, Papa Sokratis, Luiz. Bado tuna Saliba anakuja. Hapa lazima tufanye maamuzi magumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yupo Dinos pia, hapa nadhani Mustafi yupo kwenye mipango ya Arteta na umri wake unaruhusu pia
 
MAISHA YA BUKAYO SAKA NA ROLE MPYA ANAYO PEWA

mtazamo wangu juu ya kipaji hiki

bukayo sana nafasi ambayo amekuwa akicheza kwa asilimia kubwa ata uko youth teams ni winger

lakini kwa sasa bukayo kutokana na team kukumbwa na injury za left back wote, bukayo kawa converted kama left back

haya sio maajabu bali ni tactical changes kwenye playing stlye ya mchezaji makocha wengi wamewahi kufanya hivi

kama united walivyowahi kumtoa valencia kuwa winger mpaka beki wa kulia hvyo hvyo kwa ashrey young bila kusahau conte na victor moses kumfanya wing back

hii kitu inategemea na nature ya mchezaji na pumzi aliyo nayo siku zote full backs asa in modern football wanashambulia pia hii maana ake wanakuwa na ground coverage kubwa kiuchezaji asa wakiwa uko wide

hii kitu ndio bukayo anacheza lakini under tactical approach kwani upewa usaidizi na wengine kucover gape lake endapo akiwa kacherewa kurudi

kasi yake ya kupandisha mashambulizi sio mbovu kuna baadhi ya game alikosa kupiga cross zenye macho ila now kabadilika

mwingereza kipaji cha hale end academy ambacho Arteta anataka kutuonesha ni kizuri sio kwenye nafasi moja tu hata akiwa converted sehemu nyingine

ni future prospect tumpe muda zaidi tuamini mikakati ya mwalimu kuwabadili hawa kuwa na threats kwa wapinzani

Hatutoki na hatuhami
IMG_20200126_192943.jpeg
 
Gabriel Martinelli's exclusive interview :


"I intend to make my story with the Arsenal shirt. I want to repay everything the fans are doing for me and give a lot of joy with goals and titles." #AFC

IMG_20200124_211021.jpeg
 
NEW: Pablo Mari to travel to UK today to join Arsenal after a deal has been agreed between the clubs, multiple Brazilian media outlets are reporting.
IMG_20200129_065655.jpeg
 
St-Etienne (with Saliba)
11 wins out of 13.
A win rate of 84.6%.
Conceded 0.46 goals per game

St-Etienne (without Saliba)
5 wins out of 19.
A win rate of 26.3%.
Conceded1.47 goals per game.

Rock at the Back
 
Anaitwa Andre Cury ni Wakala wa wachezaji wengi wakibrazil ni Rafiki mkubwa wa Raul Sanllehi , Ndiye amefanikisha dili la Pablo Mari kuja Arsenal ,ikumbukwe dili lilishakwama na Pablo mari akarejea Brazil baada ya kufanyiwa medical ,

Andre Cury ndiye Alifanikisha dili la Neymar kutoka Santos kwenda barca wakishirikiana na Raul Sanllehi kipindi akiwa Barcelona , dili lililoacha utata mkubwa Barcelona hadi Leo.

Ikumbukwe Flamengo waligoma kumuachia Pablo Mari kwa mkopo wakishinikiza Dili liwe permanent na si vinginevyo,

Raul kamtumia Rafiki yake Andre cury , na dili limekamilika ,Pablo atasafiri Leo kurudi London kwa taratibu za kutambulishwa.
IMG_20200129_081138.jpeg
 
Anaitwa Andre Cury ni Wakala wa wachezaji wengi wakibrazil ni Rafiki mkubwa wa Raul Sanllehi , Ndiye amefanikisha dili la Pablo Mari kuja Arsenal ,ikumbukwe dili lilishakwama na Pablo mari akarejea Brazil baada ya kufanyiwa medical ,

Andre Cury ndiye Alifanikisha dili la Neymar kutoka Santos kwenda barca wakishirikiana na Raul Sanllehi kipindi akiwa Barcelona , dili lililoacha utata mkubwa Barcelona hadi Leo.

Ikumbukwe Flamengo waligoma kumuachia Pablo Mari kwa mkopo wakishinikiza Dili liwe permanent na si vinginevyo,

Raul kamtumia Rafiki yake Andre cury , na dili limekamilika ,Pablo atasafiri Leo kurudi London kwa taratibu za kutambulishwa.View attachment 1339052
Chief, ni permanent deal or loan with option to buy? Mana utata ulikuwa hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom