Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Mkuu mm nazungumzia mech ya Leo ,sio overallMkuu hao wachezaji wako wa kingereza hakuna kitu kuanzia Willock, Holding, AM na huyo Nketiah uliyekua una msifia.
Ukweli ni kuwa media zinawakuza ila uwezo hawana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo willock, Nketiah ,saka wamecheza vizuri sana
Hata Matteo ndio kakichafua balaa
Mm mchezaji akicheza vzr nitamsifia ,akivurunda nitamsema
Kama willock sijawahi kumkubali ,ila Leo magoli yote mawili katoa Pre assist