Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu ni muda sasa nadhani umefika tuanze kushinda mechi ili tujivute kupanda juu zaidi
Maoni yangu naona Auba akirudi uyu lacazete akakae tu benchi Martinel aendelee kukiwasha kushoto pale mbele akae Auba mwenyewe
Hivi cebalos wakuu ni kwamba hajamuimpress Arteta mazoezini au bado yuko majeruhi? kwa wataalam hawez kuchukua namba ya ozil pale?
 
Wakuu ni muda sasa nadhani umefika tuanze kushinda mechi ili tujivute kupanda juu zaidi
Maoni yangu naona Auba akirudi uyu lacazete akakae tu benchi Martinel aendelee kukiwasha kushoto pale mbele akae Auba mwenyewe
Hivi cebalos wakuu ni kwamba hajamuimpress Arteta mazoezini au bado yuko majeruhi? kwa wataalam hawez kuchukua namba ya ozil pale?
Tatizo katoka Auba anaingia Luiz lockup

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ULIULIZA JANA WHY WANA ARSENAL WENZANGU HAWANISAPOTI SIO WOTE ILA WANAOJITAMBUA WANAELEWA ILA AMBAO HAWANIELEWI TUTAENDELEA KUELEWANA MBELE YA SAFARI NAKUTAKIA USIKU MWEMA NAWAACHIA WENYE ROHO NGUMU MUIMALIZIE HII GAME SIONI KAMA KUNA JIPYA NA BADO TUPO PUNGUFU

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapa jamaa alituaga na kutuacha wenye timu yetu ,wenye roho ngumu tuendelee kuisapoti,
Ndipo utaelewa huyu ni mtu wa aina gani,kwani game aliiangalia ndotoni mpaka mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SARE NI MATOKEO MABOVU ILA KWA SARE YA LEO WACHEZAJI WANASTAHILI PONGEZI ILA BODI IACHE KUNYWA CHAI NA KUSOMA MAGAZETI IINGIE SOKONI HARAKA SANA SIKU 8 NI CHACHE SANA KUFANYA USAJILI TUNAHITAJI BEKI NA NAMBA 10 ZA HARAKA SANA BILA KUFUMBA MACHO PENYE KUSTAHILI KUPEWA PONGEZI HONGERA INATOLEWA BILA UNAFIKI LEO TUMEELEMEWA DK ZOTE ILA TUMEJITAHIDI LICHA YA SARE

CHELSEA 2 -2 ARSENAL FT KWA SARE YA LEO SI MATOKEO MABAYA KWA UJUMLA YA MECHI YA LEO


Sent using Jamii Forums mobile app
Tulikuwa nae mpaka FT.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu ni muda sasa nadhani umefika tuanze kushinda mechi ili tujivute kupanda juu zaidi
Maoni yangu naona Auba akirudi uyu lacazete akakae tu benchi Martinel aendelee kukiwasha kushoto pale mbele akae Auba mwenyewe
Hivi cebalos wakuu ni kwamba hajamuimpress Arteta mazoezini au bado yuko majeruhi? kwa wataalam hawez kuchukua namba ya ozil pale?
Nami najiuliza kwenye hiyo aya yako ya mwisho.
 
Naliangalia goli la martinel hapa ,kawatoa mbali wachezaji wa Chelsea ,

Nadhan Arteta soon atajaribu combination ya

Martinel Auba pepe ilikupata Pace
Ikikubali itakua ya Moto sana ila Pepe anapaswa kutulia na kuangalia jinsi uyu dogo Martinel anavyofanya mambo yake la sivyo ataendelea kua mtu wa vyenga na kufinya watu tu
 
Ikikubali itakua ya Moto sana ila Pepe anapaswa kutulia na kuangalia jinsi uyu dogo Martinel anavyofanya mambo yake la sivyo ataendelea kua mtu wa vyenga na kufinya watu tu
Pepe anatakiwa ajue sehemu ipi ni sahihi kufanya take ons na wapi pakutoa haraka pasi.

Arteta alisema atawarekebisha yeye na mwenzake Nelson
 
Arsenal told they must pay at least €5m for PSG defender Layvin Kurzawa. [@TeleFootball]
 
Pepe anatakiwa ajue sehemu ipi ni sahihi kufanya take ons na wapi pakutoa haraka pasi.

Arteta alisema atawarekebisha yeye na mwenzake Nelson
Yeah, Pepe bado kwenye maamuzi sio mzuri. Kuna sehemu za kuachia haraka anavuta, Ila still ni bonge la mchezaji.

Unawakumbuka akina Sterling na Sane walivyokuwa? Kocha mzuri muhimu sana kwa maendeleo ya mchezaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikikubali itakua ya Moto sana ila Pepe anapaswa kutulia na kuangalia jinsi uyu dogo Martinel anavyofanya mambo yake la sivyo ataendelea kua mtu wa vyenga na kufinya watu tu
Ukiacha ufundi, Martinell ana spirit sana ya kupambana, anarudi nyuma kukaba.Anapambania timu, tumekosa hii spirit kwa wachezaji wengi sana.

Ananikumbusha Enzi za akina Veira, Gilberto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

 
Sasa hivi ushindi wetu upo mikononi mwa officials pia,Hata kama mpinzani tumeshamzidi mbinu lakini hatuna uwezo wa kusema tunashinda game directly kwasababu Officials nao wanatuhujumu, mfano mechi ya Shelfield utd ile penalty incident ya Pepe.Ukiona Arsenal kacheza foul ndani ya box maamuzi huwa ni clear penalty, ila zile wanazochezewa wechezaji wetu zote huwa ni soft foul, sijui tuna balaa gani? unakumbuka goli la Sokratis na Crystal palace VAR ikagoma.
83066511_2723675677721163_1513677319462931838_n.jpeg
 
Pepe hatabadilika uchezaji wake ndio alivyo. Na huo uchezaji wake ndio ulimpa mafanikio makubwa Lyon mkamuona.

Na uchezaji huo huo akienda timu nyingine anaweza akapata tena mafanikio kama ya Lyon. Labda tuone Arteta atambadilishaje

Labda apewe vyakula vya kunenepesha, mwili uongezeke kilo, hapo atapunguza uharaka haraka.

Sent using Cash Money Wings
Hahaha unataka awe mzito sio
 
Back
Top Bottom