Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii match naona Arsenal akibakwa tu....
Screenshot_20200112-084535.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu hii timu inahitaji usajili wa maana la sivyo tutaendelea kuwa wasindikizaji tu
 
Hapana DullyJr sio wa kumpuuza. Huyu ni mshabiki mwenzetu na ana haki ya mawazo yake hata kama hayapo sawa .

Yaani isifike kipindi hapa jukwaani baadhi tukajiona tuna haki zaidi ya wengine juu ya Gunners.

COYG
Hapana na wala sina maana hiyo ila wewe unajaribu kuiaminisha jamii ya hapa kuwa nina maana hiyo....sasa mtu anaongea vitu vya uongo,anaiombea timu mabaya,anakomaa timu ifanye yasiyowezekana,anawasemea mbovu wachezaji waliopo as if Arsenal haijui kabisaaaaaaa.....
Kama wewe unataka kuungana nae katika huo upumbavu GO AHEAD.....

MIMI NIMEGOMA.
HILI NI JUKWAA HURU ILA SIO UHURU ULIOPITILIZA KAMA HUO.

hata hao watani zetu hawafanyi huu ujinga,na nakupa muda huyu jamaa ataanza kutukana humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana DullyJr sio wa kumpuuza. Huyu ni mshabiki mwenzetu na ana haki ya mawazo yake hata kama hayapo sawa .

Yaani isifike kipindi hapa jukwaani baadhi tukajiona tuna haki zaidi ya wengine juu ya Gunners.

COYG
KWELI KABISA MAN WOTE HUMU TUNA HAKI NA TUNA UONO TOFAUTI KUHUSU ARSENAL HII WENGINE WANAONA ARSENAL INA IMPROVE ILA MIMI NAONA ARSENAL BADO IPO PALE PALE SABABU TANGIA UNAI EMERY KAONDOKA TUMESHINDA MECHI 2 KATI YA 9 TENA MAKOCHA WAWILI WAMEFUNDISHA HIZO MECHI KILICHOBADILIKA KWA SASA TUNA DOMINATE TU MPIRA NA KURUDI KUCHEZA STYLE YETU YA SEXY FOOTBALL

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu hii timu inahitaji usajili wa maana la sivyo tutaendelea kuwa wasindikizaji tu
ASANTE KWA KUUNGANA NAMI MAWAZO YANGU NAJUA KILA MTU ATAKUJA TU BAADAE KUWA UPANDE WANGU USAJILI NI LAZIMA MAMBO SIJUI FINANCIAL ISSUE SIJUI NINI HVYO NI VISINGIZIO KESHAUMIA TORREIRA NA AUBA ANA KADI JE BACK UP YA AUBA NI NANI?SIJAONA HATA KIDOGO SIJAIONA JANA TORREIRA KATOKA AKAINGIA MATTEO NAONA WOTE TUMESHUHUDIA NINI KIKATOKEA PALE KATI PAKAPWAYA KAMA MAJI YANAYOVUJA
TUTAENDA STAMFORD HATUNA AUBA SIJUI NANI ATAFUNGA NA MATTEO AKIWA KATI AKNA JORGINHO KANTE WATATUPELEKESHA MPAKA TUTAZIMA TV NA WENGINE KUKIMBIA VIBANDA UMIZA ARSENAL LAZIMA ISAJILI LA SIVYO TIMU ITAMALIZA NJE YA TOP 10 MSIMU HUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KWELI KABISA MAN WOTE HUMU TUNA HAKI NA TUNA UONO TOFAUTI KUHUSU ARSENAL HII WENGINE WANAONA ARSENAL INA IMPROVE ILA MIMI NAONA ARSENAL BADO IPO PALE PALE SABABU TANGIA UNAI EMERY KAONDOKA TUMESHINDA MECHI 2 KATI YA 9 TENA MAKOCHA WAWILI WAMEFUNDISHA HIZO MECHI KILICHOBADILIKA KWA SASA TUNA DOMINATE TU MPIRA NA KURUDI KUCHEZA STYLE YETU YA SEXY FOOTBALL

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ndio umeongea nini,mara hakuna improvements mara sasa hivi tunadominate games...tatizo lako wewe una papara na hazifai kama kweli unataka mafanikio,

Hao Liberpool hawajafika hapo unapopatamani wewe kama uyoga tu...walisajiri kidogokidogo na kuacha wachezaji wasiofit katika mfumo kidogokidogo pia,huwezi january hii ukaacha timu nzima ukasajiri wengine hilo halipo kuwa mvumilivu dogo....



Sent using Jamii Forums mobile app
 
ASANTE KWA KUUNGANA NAMI MAWAZO YANGU NAJUA KILA MTU ATAKUJA TU BAADAE KUWA UPANDE WANGU USAJILI NI LAZIMA MAMBO SIJUI FINANCIAL ISSUE SIJUI NINI HVYO NI VISINGIZIO KESHAUMIA TORREIRA NA AUBA ANA KADI JE BACK UP YA AUBA NI NANI?SIJAONA HATA KIDOGO SIJAIONA JANA TORREIRA KATOKA AKAINGIA MATTEO NAONA WOTE TUMESHUHUDIA NINI KIKATOKEA PALE KATI PAKAPWAYA KAMA MAJI YANAYOVUJA
TUTAENDA STAMFORD HATUNA AUBA SIJUI NANI ATAFUNGA NA MATTEO AKIWA KATI AKNA JORGINHO KANTE WATATUPELEKESHA MPAKA TUTAZIMA TV NA WENGINE KUKIMBIA VIBANDA UMIZA ARSENAL LAZIMA ISAJILI LA SIVYO TIMU ITAMALIZA NJE YA TOP 10 MSIMU HUU

Sent using Jamii Forums mobile app
Sajiri sasa acha maneno wachezaji wapo sokoni toa mihela hiyo haya tuanze na Messi kisha Mbappe lottin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KWELI KABISA MAN WOTE HUMU TUNA HAKI NA TUNA UONO TOFAUTI KUHUSU ARSENAL HII WENGINE WANAONA ARSENAL INA IMPROVE ILA MIMI NAONA ARSENAL BADO IPO PALE PALE SABABU TANGIA UNAI EMERY KAONDOKA TUMESHINDA MECHI 2 KATI YA 9 TENA MAKOCHA WAWILI WAMEFUNDISHA HIZO MECHI KILICHOBADILIKA KWA SASA TUNA DOMINATE TU MPIRA NA KURUDI KUCHEZA STYLE YETU YA SEXY FOOTBALL

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo mechi tumeshinda baada ya Arteta kuja, na toka alipoanza kushinda hatujapoteza mechi!.. Kimsingi timu inaimprove sana!.. Hata mpira tunaocheza mtu unaona kabisa kuna structure.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom