Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Game ya leo tulikuwa pungufu toka 60+min wewe ulitakaje labda,?? au game umesikiliza kwenye Radio nini Mwenzetu?

Kama ingekuwa ni group la Watsapp na mimi ndio Admin basi ningekuremove mapema sana,Shabiki gani hueleweki wewe tukishinda unasifia,mambo yakienda hovyo wachezaji wanakuwa wabaya.
KIPINDI CHA KWANZA ILITAKIWA TUMALIZE MECHI ARSENAL INA TATIZO LA KUTOMALIZA MECHI IKIWA IMEDOMINATE HILO NDO TATIZO HIZO DK 60 KWA TIMU NYINGINE KUBWA INGEKUWA ISHAMALIZA MECHI MFANO MAN U VS MAN CITY CARABAO CUP NA HATA RED CARD INSINGEKUWA NA IMPACT YOYOTE KIPINDI CHA KWANZA LEO ARSENAL ALITAKIWA AWE AMEFUNGA SI CHINI YA GOLI 2 NA HATA MECHI YA CHELSEA TULIDOMINATE HIVI HIVI BAADA YA FULL TIME TUKABAKI KUJISIFIA OOH TUMECHEZA VIZURI WAKATI SISI HAPO HATUNA POINT HATA 1 WENZETU TAYARI WANA POINT 3 KIBINDIONI

MIMI NI DIE HARD FAN WA ARSENAL NAJUA HUMU UNAANDIKA HIVI KUTAFUTA SIFA KWAMBA UNGENIREMOVE KWENYE WHATSAPP ILA NAJUA UKWELI UNAUJUA

UNASEMA ARSENAL AKISHINDA NASIFIA SAWA NIAMBIE ARSENAL KUSHINDA MECHI 2 MFULULIZO EPL NI LINI?SASA UNATAKA NISIFIE UPUPU AU UJINGA KAMA UKINIAMBIA ARSENAL ASHAWAH SHINDA MECHI 2 AU 3 MFULULIZO THEN AKAFUNGWA BAADA YA HAPO NKAPONDA UPO RIGHT KABISA KUNIKOSOA ILA KAMA HIZO DATA HAZIPO BASI HATUTAKIWI KUSIFIA UPUPU HAPA

(MECHI 4 ZA EPL SISI TUMESHINDA 1 DROO 2 LOST 1
EVERTON KASHINDA 3 LOST 1 )

WOTE HAWA KUMBUKA WANA (KOCHA WAPYA) NA LEVEL YA WACHEZAJI NI TOFAUTI SASA HAPA NASHINDWA KUELEWA SISI WACHEZAJI WETU HAWAFUNDISHIKI AU SHDA NI NINI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
gunners wenzangu hata ROMA haikujengwa kwa siku moja tukaze mioyo
football ni tactics na inachukua muda mpaka kulaydown foundation ya tactic ktk timu husika..
unaweza ukawa na tactics nzuri ukakosa wachezaji wazuri vilevile unaweza ukawa na wachezaji wazuri ukakosa tactics so its all about finding the balance

once gooner always gooner

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KIPINDI CHA KWANZA ILITAKIWA TUMALIZE MECHI ARSENAL INA TATIZO LA KUTOMALIZA MECHI IKIWA IMEDOMINATE HILO NDO TATIZO HIZO DK 60 KWA TIMU NYINGINE KUBWA INGEKUWA ISHAMALIZA MECHI HATA RED CARD INSINGEKUWA NA IMPACT YOYOTE

MIMI NI DIE HARD FAN WA ARSENAL NAJUA HUMU UNAANDIKA HIVI KUTAFUTA SIFA KWAMBA UNGENIREMOVE KWENYE WHATSAPP ILA NAJUA UKWELI UNAUJUA

UNASEMA ARSENAL AKISHINDA NASIFIA SAWA NIAMBIE ARSENAL KUSHINDA MECHI 2 MFULULIZO EPL NI LINI?SASA UNATAKA NISIFIE UPUPU AU UJINGA KAMA UKINIAMBIA ARSENAL ASHAWAH SHINDA MECHI 2 AU 3 MFULULIZO THEN AKAFUNGWA BAADA YA HAPO NKAPONDA UPO RIGHT KABISA KUNIKOSOA ILA KAMA HIZO DATA HAZIPO BASI HATUTAKIWI KUSIFIA UPUPU HAPA

(MECHI 4 ZA EPL SISI TUMESHINDA 1 DROO 2 LOST 1
EVERTON KASHINDA 3 LOST 1 )

WOTE HAWA KUMBUKA WANA (KOCHA WAPYA) NA LEVEL YA WACHEZAJI NI TOFAUTI SASA HAPA NASHINDWA KUELEWA SISI WACHEZAJI WETU HAWAFUNDISHIKI AU SHDA NI NINI

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo unalalamika sana mkuu!.. Tunajua unaipenda sana timu yetu na unaumia sana unapoona haifanyi vizuri!. Hata sisi tunaumia sana, lakini tofauti yetu na wewe ni kuwa wewe huangalii uhalisia wa mambo ulivyo!.. Baada ya arsenal kuflop chini ya Emery, sasa timu imempata Arteta ambae anajitahidi sana kuijenga timu, sio lahisi kwa kocha yoyote kwa Arsenal ile aliyoiacha Emery angeweza kufanya chochote, hata Guadiola angekabidhiwa ile timu angefungwa tu.. Mfano mzuri ni Mourinho, amerithi timu mbovu, na mpaka sasa bado tottenham haijarudia enzi zake maana wanashinda leo kesho wanapigwa. Sasa ukirudi kwetu timu yetu inaonyesha uhai japo hatuna beki wakutumainiwa na tuna upungifu wa midfield. Tunaangalia zaidi timu inachezaje hata kama tumefungwa! Kwa mfano leo kocha kapanga kikosi kizuri sana na tukapata matokeo mazuri lakini bahati mbaya Torreira akapata injury na jamaa wakasawazisha baada ya Mpira kumgonga Luiz kwa bahati mbaya na kubadili uelekeo na hatimaye kutinga kimiani! Sasa balaa likaendelea baada ya Auba kupigwa red card!. Kitendo cha kumaliza kwa kutoa draw inabidi tumpongeze kocha maana wale CP walikuwa wanacheza kama wehu (kibabe sana). Ingekuwa enzi za Emery leo tungepigwa bao nyingi sana!.. Lakini trend inaonyesha tunaimarika kidogo kidogo na hiyo ndio furaha yetu! Kwa mfano katika mechi tatu zinazofuata tukishinda mbili na kutoa draw moja yatakuwa mafanikio makubwa sana.. Ni kweli hatuna back up pale mchezaji anapoumia lakini hatulalamiki maana hata tukilalamika hapa akina Edu hawatasikia. Lakini pia kwa kocha tulie nae ameahasema kabisa anataka beki na midfield, sasa kama ameshasema malalmiko ya nini? Mimi niliposikia Arteta anasema anataka beki moja kwa moja nikajua tumepata kocha mwenye akili. Arsenal hatujawahi kuwa na shida ya forward toka enzi za akina Henry, Van persie, Giroud na hata hawa tulionao wapo fire sana!. Yaani hata Martinel ni bora sana ukilinganisha na baadhi ya mafoward wa timu kadhaa pale Epl.. Sasa kama ni hivyo tatizo tetu ni lipi?.. Tatizo letu ni beki mkuu!.. Hata ile the invisibles walimaliza msimu kwa kuwa tulifanya figisu tukamsajili Sol camblle toka Tottenham, na kuanziq hapo timu nzima ikabadilika kabisa na wakaenda msimu mzima bila kufungwa. Hata hii liverpool ya sasa siri ni beki. Kabla ya Van dijk hawakuwa imara kama sasa!. Mimi nilivyoona klop anavunja recors kwa kisajili beki kwa pesa ya forward nikajua huyu kocha anajua na ana akili kubwa na toka wampate Van dijk kuwashinda Liverpool imekuwa kama kupanda mlima kilimanjaro, kamuulize Messi atakuambia shughuli ya Van dijk. Hata Man City tatizo lao ni beki, na siku wakilipatia tiba hilo klop atapata tabu sana.. Ninachotaka kukwambia ni kuwa timu ikipata mchezaji hata mmoja tu ambaye ni sahihi timu itarudi katika ubora wake wa siku siku!. Usione Liverpool wanashinda ukafikiri wana back up kubwa, ukweli ni kuwa hakuna injury kubwa hasa kwa wachezaji tegemeo.. Sio kama sisi kila siku majeruhi. Nakuhakikishia siku Van Dijk akipata injury kwa miezi mitatu tu watapoteza point za kutosha.. Sisi hatulalamiki sana kuhusu usajili kwa vile tunajua angalau tukipata beki mbili kariba ya akina Kolibally au upamecano na mid mbili za maana (holding midfielder 1 na box to box midfilder 1) tutafika mbali sana!. Timu huwa inajengwa taratibu kwa strategy, tumpe muda mwalimu wetu na tumwamini.. Wachezaji hawa hawa tulionao wanatosha kuwa back up kama tukipata wachezajo wazuri wa kupngeza katika timu. Siamini kama Arteta anaweza tena kutuletea beki za £10, wewe subiri tumalize huu msimu utasikia tumeleta beki wa £60 na kuendelea!.. Pole mkuu kwa maumivu unayopata, ngoja tutafute namba ya simu ya Arteta ili uwe unamlalamikia yeye moja kwa moja!. Maana kwa kweli unatuchosha.. Watumie hata email uwaeleze matatizo yao, ilakulalamika hapa ni kazi bure labda kama unataka Mods wa JF wakanunue wachezaji unaotaka.. Pole sana mkuu tupo pamoja, angalia usije ukajinyonga tukamisi maandishi yako ya herufi kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KIPINDI CHA KWANZA ILITAKIWA TUMALIZE MECHI ARSENAL INA TATIZO LA KUTOMALIZA MECHI IKIWA IMEDOMINATE HILO NDO TATIZO HIZO DK 60 KWA TIMU NYINGINE KUBWA INGEKUWA ISHAMALIZA MECHI MFANO MAN U VS MAN CITY CARABAO CUP NA HATA RED CARD INSINGEKUWA NA IMPACT YOYOTE KIPINDI CHA KWANZA LEO ARSENAL ALITAKIWA AWE AMEFUNGA SI CHINI YA GOLI 2 NA HATA MECHI YA CHELSEA TULIDOMINATE HIVI HIVI BAADA YA FULL TIME TUKABAKI KUJISIFIA OOH TUMECHEZA VIZURI WAKATI SISI HAPO HATUNA POINT HATA 1 WENZETU TAYARI WANA POINT 3 KIBINDIONI

MIMI NI DIE HARD FAN WA ARSENAL NAJUA HUMU UNAANDIKA HIVI KUTAFUTA SIFA KWAMBA UNGENIREMOVE KWENYE WHATSAPP ILA NAJUA UKWELI UNAUJUA

UNASEMA ARSENAL AKISHINDA NASIFIA SAWA NIAMBIE ARSENAL KUSHINDA MECHI 2 MFULULIZO EPL NI LINI?SASA UNATAKA NISIFIE UPUPU AU UJINGA KAMA UKINIAMBIA ARSENAL ASHAWAH SHINDA MECHI 2 AU 3 MFULULIZO THEN AKAFUNGWA BAADA YA HAPO NKAPONDA UPO RIGHT KABISA KUNIKOSOA ILA KAMA HIZO DATA HAZIPO BASI HATUTAKIWI KUSIFIA UPUPU HAPA

(MECHI 4 ZA EPL SISI TUMESHINDA 1 DROO 2 LOST 1
EVERTON KASHINDA 3 LOST 1 )

WOTE HAWA KUMBUKA WANA (KOCHA WAPYA) NA LEVEL YA WACHEZAJI NI TOFAUTI SASA HAPA NASHINDWA KUELEWA SISI WACHEZAJI WETU HAWAFUNDISHIKI AU SHDA NI NINI

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo Mkubwa unataka wachezaji wamalize mechi First half au unataka wachezaji wa Everton wasajiliwe Arsenal, hebu iweke sawa sasa.
 
Tatizo unalalamika sana mkuu!.. Tunajua unaipenda sana timu yetu na unaumia sana unapoona haifanyi vizuri!. Hata sisi tunaumia sana, lakini tofauti yetu na wewe ni kuwa wewe huangalii uhalisia wa mambo ulivyo!.. Baada ya arsenal kuflop chini ya Emery, sasa timu imempata Arteta ambae anajitahidi sana kuijenga timu, sio lahisi kwa kocha yoyote kwa Arsenal ile aliyoiacha Emery angeweza kufanya chochote, hata Guadiola angekabidhiwa ile timu angefungwa tu.. Mfano mzuri ni Mourinho, amerithi timu mbovu, na mpaka sasa bado tottenham haijarudia enzi zake maana wanashinda leo kesho wanapigwa. Sasa ukirudi kwetu timu yetu inaonyesha uhai japo hatuna beki wakutumainiwa na tuna upungifu wa midfield. Tunaangalia zaidi timu inachezaje hata kama tumefungwa! Kwa mfano leo kocha kapanga kikosi kizuri sana na tukapata matokeo mazuri lakini bahati mbaya Torreira akapata injury na jamaa wakasawazisha baada ya Mpira kumgonga Luiz kwa bahati mbaya na kubadili uelekeo na hatimaye kutinga kimiani! Sasa balaa likaendelea baada ya Auba kupigwa red card!. Kitendo cha kumaliza kwa kutoa draw inabidi tumpongeze kocha maana wale CP walikuwa wanacheza kama wehu (kibabe sana). Ingekuwa enzi za Emery leo tungepigwa bao nyingi sana!.. Lakini trend inaonyesha tunaimarika kidogo kidogo na hiyo ndio furaha yetu! Kwa mfano katika mechi tatu zinazofuata tukishinda mbili na kutoa draw moja yatakuwa mafanikio makubwa sana.. Ni kweli hatuna back up pale mchezaji anapoumia lakini hatulalamiki maana hata tukilalamika hapa akina Edu hawatasikia. Lakini pia kwa kocha tulie nae ameahasema kabisa anataka beki na midfield, sasa kama ameshasema malalmiko ya nini? Mimi niliposikia Arteta anasema anataka beki moja kwa moja nikajua tumepata kocha mwenye akili. Arsenal hatujawahi kuwa na shida ya forward toka enzi za akina Henry, Van persie, Giroud na hata hawa tulionao wapo fire sana!. Yaani hata Martinel ni bora sana ukilinganisha na baadhi ya mafoward wa timu kadhaa pale Epl.. Sasa kama ni hivyo tatizo tetu ni lipi?.. Tatizo letu ni beki mkuu!.. Hata ile the invisibles walimaliza msimu kwa kuwa tulifanya figisu tukamsajili Sol camblle toka Tottenham, na kuanziq hapo timu nzima ikabadilika kabisa na wakaenda msimu mzima bila kufungwa. Hata hii liverpool ya sasa siri ni beki. Kabla ya Van dijk hawakuwa imara kama sasa!. Mimi nilivyoona klop anavunja recors kwa kisajili beki kwa pesa ya forward nikajua huyu kocha anajua na ana akili kubwa na toka wampate Van dijk kuwashinda Liverpool imekuwa kama kupanda mlima kilimanjaro, kamuulize Messi atakuambia shughuli ya Van dijk. Hata Man City tatizo lao ni beki, na siku wakilipatia tiba hilo klop atapata tabu sana.. Ninachotaka kukwambia ni kuwa timu ikipata mchezaji hata mmoja tu ambaye ni sahihi timu itarudi katika ubora wake wa siku siku!. Usione Liverpool wanashinda ukafikiri wana back up kubwa, ukweli ni kuwa hakuna injury kubwa hasa kwa wachezaji tegemeo.. Sio kama sisi kila siku majeruhi. Nakuhakikishia siku Van Dijk akipata injury kwa miezi mitatu tu watapoteza point za kutosha.. Sisi hatulalamiki sana kuhusu usajili kwa vile tunajua angalau tukipata beki mbili kariba ya akina Kolibally au upamecano na mid mbili za maana (holding midfielder 1 na box to box midfilder 1) tutafika mbali sana!. Timu huwa inajengwa taratibu kwa strategy, tumpe muda mwalimu wetu na tumwamini.. Wachezaji hawa hawa tulionao wanatosha kuwa back up kama tukipata wachezajo wazuri wa kupngeza katika timu. Siamini kama Arteta anaweza tena kutuletea beki za £10, wewe subiri tumalize huu msimu utasikia tumeleta beki wa £60 na kuendelea!.. Pole mkuu kwa maumivu unayopata, ngoja tutafute namba ya simu ya Arteta ili uwe unamlalamikia yeye moja kwa moja!. Maana kwa kweli unatuchosha.. Watumie hata email uwaeleze matatizo yao, ilakulalamika hapa ni kazi bure labda kama unataka Mods wa JF wakanunue wachezaji unaotaka.. Pole sana mkuu tupo pamoja, angalia usije ukajinyonga tukamisi maandishi yako ya herufi kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
HAHAHA LICHA KAKA HAPA MWISHONI KAMA UMETAKA KUNITUSI HIVI ILA UNA AKILI SANA BIG UP MAN NAPENDA MTU WA KUNICHALLENGE KAMA HIVI ILA INAUMA SANA UJUE ACHA TU MAN NIMEIPENDA ARSENAL TANGIA 98 ILA HIVI KARIBUNI MAMBO HAYAELEWEKI KABISA ILA ARTETA ANAJUA KUFUNDISHA INABIDI KUPATA SOME NEW PLAYERS TUTAKAA VIZURI ASANTE KWA MAWAZO YAKO TUPO PAMOJA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo Mkubwa unataka wachezaji wamalize mechi First half au unataka wachezaji wa Everton wasajiliwe Arsenal, hebu iweke sawa sasa.
KAKA PALE TUNAPOKUWA TUNADOMINATE MECHI LAZIMA TUIMALIZE MAPEMA MAANA KWENYE MPIRA LOLOTE HUWA LINATOKEA

HUO MFANO NLITAKA TU NIONYESHE KUWA SISI HATUSHINDI MECHI MFULULIZO ILA WENZETU WAMESHINDA SASA SHIDA NI NINI?

ARSENAL TANGIA ARTETA AJE HUWA TUNA DOMINATE SANA KIPINDI FULANI ILA GAME YA MAN U PEKEE NDO TULIYOFANIKIWA KUIMALIZA FIRST HALF ILA HIZI ZINGINE TUNADOMINATE ILA HUWA HATUZIMALIZI HAPA NDO KWENYE TATIZO ILA ARSENAL YA SASA INAPIGA MPIRA SEXY SANA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KAKA PALE TUNAPOKUWA TUNADOMINATE MECHI LAZIMA TUIMALIZE MAPEMA MAANA KWENYE MPIRA LOLOTE HUWA LINATOKEA

HUO MFANO NLITAKA TU NIONYESHE KUWA SISI HATUSHINDI MECHI MFULULIZO ILA WENZETU WAMESHINDA SASA SHIDA NI NINI?

ARSENAL TANGIA ARTETA AJE HUWA TUNA DOMINATE SANA KIPINDI FULANI ILA GAME YA MAN U PEKEE NDO TULIYOFANIKIWA KUIMALIZA FIRST HALF ILA HIZI ZINGINE TUNADOMINATE ILA HUWA HATUZIMALIZI HAPA NDO KWENYE TATIZO ILA ARSENAL YA SASA INAPIGA MPIRA SEXY SANA

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka achana na capital letters...
Unamuumiza kichwa hata msomaji...
 
CONTENT NI SAHIHI AU SIO SAHIHI UKIACHANA NA CAPITAL LETTERS?MIMI NAONGEA FACTS NAONA SASA UMEAMUA UNIKOSOE KWENYE HERUFI NA SIO CONTENT TENA HAPA NDO NAFURAHI SANA TUTAZIDI KUELEWANA

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa Nimekuelewa... Ila hizo herufi kubwa hasa unapoandika paragraph ndefu zinaumiza kichwa na macho...zinakera kwakweli..
 
WE INAONEKANA MPAKA SASA BADO UMEKWAZIKA NA MATOKEO YA LEO. WAKATI SISI MASHABIKI TUMEKUBALI NA MATEKEO KWA SITUTIONS ZILIZOTOKEA

Sent using Jamii Forums mobile app
HAHAHA ACHA TUWAACHIE WANAUME WAPAMBANE KUTAFUTA UBINGWA SISI TUENDELEE KUPEANA UPDATES ZA MAZOEZI TU NA TETESI ZA USAJILI AMBAZO NI NDOTO TU HAIELEWEKI NI LINI TUTAKUJA KUTWAA MATAJI MAKUBWA SIONI KAMA BODI INATAKA NINI MBELENI ZAIDI YA KUSHIRIKI EPL NA SASA HIVI NAFASI ZA CHAMPIONS LEAGUE SI ZA MASIHARA HAMNA DIRECTION YOYOTE ILE ACHA TUENDELEE KUSHIRIKI EPL TU BASI TUTAKUJA KUONA MBELENI NINI KITATOKEA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KIPINDI CHA KWANZA ILITAKIWA TUMALIZE MECHI ARSENAL INA TATIZO LA KUTOMALIZA MECHI IKIWA IMEDOMINATE HILO NDO TATIZO HIZO DK 60 KWA TIMU NYINGINE KUBWA INGEKUWA ISHAMALIZA MECHI MFANO MAN U VS MAN CITY CARABAO CUP NA HATA RED CARD INSINGEKUWA NA IMPACT YOYOTE KIPINDI CHA KWANZA LEO ARSENAL ALITAKIWA AWE AMEFUNGA SI CHINI YA GOLI 2 NA HATA MECHI YA CHELSEA TULIDOMINATE HIVI HIVI BAADA YA FULL TIME TUKABAKI KUJISIFIA OOH TUMECHEZA VIZURI WAKATI SISI HAPO HATUNA POINT HATA 1 WENZETU TAYARI WANA POINT 3 KIBINDIONI

MIMI NI DIE HARD FAN WA ARSENAL NAJUA HUMU UNAANDIKA HIVI KUTAFUTA SIFA KWAMBA UNGENIREMOVE KWENYE WHATSAPP ILA NAJUA UKWELI UNAUJUA

UNASEMA ARSENAL AKISHINDA NASIFIA SAWA NIAMBIE ARSENAL KUSHINDA MECHI 2 MFULULIZO EPL NI LINI?SASA UNATAKA NISIFIE UPUPU AU UJINGA KAMA UKINIAMBIA ARSENAL ASHAWAH SHINDA MECHI 2 AU 3 MFULULIZO THEN AKAFUNGWA BAADA YA HAPO NKAPONDA UPO RIGHT KABISA KUNIKOSOA ILA KAMA HIZO DATA HAZIPO BASI HATUTAKIWI KUSIFIA UPUPU HAPA

(MECHI 4 ZA EPL SISI TUMESHINDA 1 DROO 2 LOST 1
EVERTON KASHINDA 3 LOST 1 )

WOTE HAWA KUMBUKA WANA (KOCHA WAPYA) NA LEVEL YA WACHEZAJI NI TOFAUTI SASA HAPA NASHINDWA KUELEWA SISI WACHEZAJI WETU HAWAFUNDISHIKI AU SHDA NI NINI

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni daihadifani wa Arsenal aiseeeeehh.....basi sawa!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
gunners wenzangu hata ROMA haikujengwa kwa siku moja tukaze mioyo
football ni tactics na inachukua muda mpaka kulaydown foundation ya tactic ktk timu husika..
unaweza ukawa na tactics nzuri ukakosa wachezaji wazuri vilevile unaweza ukawa na wachezaji wazuri ukakosa tactics so its all about finding the balance

once gooner always gooner

Sent using Jamii Forums mobile app
Real

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo unalalamika sana mkuu!.. Tunajua unaipenda sana timu yetu na unaumia sana unapoona haifanyi vizuri!. Hata sisi tunaumia sana, lakini tofauti yetu na wewe ni kuwa wewe huangalii uhalisia wa mambo ulivyo!.. Baada ya arsenal kuflop chini ya Emery, sasa timu imempata Arteta ambae anajitahidi sana kuijenga timu, sio lahisi kwa kocha yoyote kwa Arsenal ile aliyoiacha Emery angeweza kufanya chochote, hata Guadiola angekabidhiwa ile timu angefungwa tu.. Mfano mzuri ni Mourinho, amerithi timu mbovu, na mpaka sasa bado tottenham haijarudia enzi zake maana wanashinda leo kesho wanapigwa. Sasa ukirudi kwetu timu yetu inaonyesha uhai japo hatuna beki wakutumainiwa na tuna upungifu wa midfield. Tunaangalia zaidi timu inachezaje hata kama tumefungwa! Kwa mfano leo kocha kapanga kikosi kizuri sana na tukapata matokeo mazuri lakini bahati mbaya Torreira akapata injury na jamaa wakasawazisha baada ya Mpira kumgonga Luiz kwa bahati mbaya na kubadili uelekeo na hatimaye kutinga kimiani! Sasa balaa likaendelea baada ya Auba kupigwa red card!. Kitendo cha kumaliza kwa kutoa draw inabidi tumpongeze kocha maana wale CP walikuwa wanacheza kama wehu (kibabe sana). Ingekuwa enzi za Emery leo tungepigwa bao nyingi sana!.. Lakini trend inaonyesha tunaimarika kidogo kidogo na hiyo ndio furaha yetu! Kwa mfano katika mechi tatu zinazofuata tukishinda mbili na kutoa draw moja yatakuwa mafanikio makubwa sana.. Ni kweli hatuna back up pale mchezaji anapoumia lakini hatulalamiki maana hata tukilalamika hapa akina Edu hawatasikia. Lakini pia kwa kocha tulie nae ameahasema kabisa anataka beki na midfield, sasa kama ameshasema malalmiko ya nini? Mimi niliposikia Arteta anasema anataka beki moja kwa moja nikajua tumepata kocha mwenye akili. Arsenal hatujawahi kuwa na shida ya forward toka enzi za akina Henry, Van persie, Giroud na hata hawa tulionao wapo fire sana!. Yaani hata Martinel ni bora sana ukilinganisha na baadhi ya mafoward wa timu kadhaa pale Epl.. Sasa kama ni hivyo tatizo tetu ni lipi?.. Tatizo letu ni beki mkuu!.. Hata ile the invisibles walimaliza msimu kwa kuwa tulifanya figisu tukamsajili Sol camblle toka Tottenham, na kuanziq hapo timu nzima ikabadilika kabisa na wakaenda msimu mzima bila kufungwa. Hata hii liverpool ya sasa siri ni beki. Kabla ya Van dijk hawakuwa imara kama sasa!. Mimi nilivyoona klop anavunja recors kwa kisajili beki kwa pesa ya forward nikajua huyu kocha anajua na ana akili kubwa na toka wampate Van dijk kuwashinda Liverpool imekuwa kama kupanda mlima kilimanjaro, kamuulize Messi atakuambia shughuli ya Van dijk. Hata Man City tatizo lao ni beki, na siku wakilipatia tiba hilo klop atapata tabu sana.. Ninachotaka kukwambia ni kuwa timu ikipata mchezaji hata mmoja tu ambaye ni sahihi timu itarudi katika ubora wake wa siku siku!. Usione Liverpool wanashinda ukafikiri wana back up kubwa, ukweli ni kuwa hakuna injury kubwa hasa kwa wachezaji tegemeo.. Sio kama sisi kila siku majeruhi. Nakuhakikishia siku Van Dijk akipata injury kwa miezi mitatu tu watapoteza point za kutosha.. Sisi hatulalamiki sana kuhusu usajili kwa vile tunajua angalau tukipata beki mbili kariba ya akina Kolibally au upamecano na mid mbili za maana (holding midfielder 1 na box to box midfilder 1) tutafika mbali sana!. Timu huwa inajengwa taratibu kwa strategy, tumpe muda mwalimu wetu na tumwamini.. Wachezaji hawa hawa tulionao wanatosha kuwa back up kama tukipata wachezajo wazuri wa kupngeza katika timu. Siamini kama Arteta anaweza tena kutuletea beki za £10, wewe subiri tumalize huu msimu utasikia tumeleta beki wa £60 na kuendelea!.. Pole mkuu kwa maumivu unayopata, ngoja tutafute namba ya simu ya Arteta ili uwe unamlalamikia yeye moja kwa moja!. Maana kwa kweli unatuchosha.. Watumie hata email uwaeleze matatizo yao, ilakulalamika hapa ni kazi bure labda kama unataka Mods wa JF wakanunue wachezaji unaotaka.. Pole sana mkuu tupo pamoja, angalia usije ukajinyonga tukamisi maandishi yako ya herufi kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unampigia mbuzi gitaa mkuu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MASHABIKI WENZANGU WA THE GUNNERS TANGIA UNAI EMERY ASEPE ARSENAL KATIKA MECHI 9 ZA EPL ARSENAL KASHINDA MECHI MOJA TU DHIDI YA MANCHESTER UNITED TUSILISAHAU HILI JAMBO SASA SIJUI TUNASONGA MBELE AU BADO TUPO PALE PALE AU TUMERUDI NYUMA HATUA HAIELEWEKI KUCHEZA MPIRA MZURI BILA POINT 3 NI USELESS YAANI NI KAMA UNAMTONGOZA MSICHANA UNAINGIA NAE CHUMBANI HALAFU MNAISHIA KUANGALIA MOVIE ZA COMEDY BILA IMPACT YOYOTE THE GUNNERS WENZANGU NAWATAKIA USIKU MWEMA WOTE HUMU JF

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom