milangomitatu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,469
- 1,167
UNAI NDO KOCHA ALIYETOA DROO NYINGI TUKASEMA ASEPE NA PIA SABABU NYINGINE NI KUCHEZA MPIRA MBOVU MNO NDO AKAJA FREDDIE AKATOA DROO 3 AKAPIGWA 2 AMEKUJA ARTETA KATOA DROO 2 KASHINDA 1 LOST 1Sasa ndio umeongea nini,mara hakuna improvements mara sasa hivi tunadominate games...tatizo lako wewe una papara na hazifai kama kweli unataka mafanikio,
Hao Liberpool hawajafika hapo unapopatamani wewe kama uyoga tu...walisajiri kidogokidogo na kuacha wachezaji wasiofit katika mfumo kidogokidogo pia,huwezi january hii ukaacha timu nzima ukasajiri wengine hilo halipo kuwa mvumilivu dogo....
Sent using Jamii Forums mobile app
TANGIA UNAI KASEPA TUMECHEZA MECHI 9Hajui maana ya Improvements labda anajua kuimprove ni kubeba kombe
Sent using Jamii Forums mobile app


HAPA TUPO PAMOJA NA SIO WA KUWATEGEMEA HAWA TULIONAO KWA SASA BILA USAJILI TUTAISHIA KUCHEZA SEXY FOOTBALL ILA MATOKEO BADO NI YALEYALE SARE SARE KUSHINDA KWA MBINDE WEEE SASA HIVI ARSENAL IKISHINDA HATA SISI MASHABIKI TUNAPAGAWA HUMU MAANA HATUAMINI KAMA TUMESHINDAArteta ni mtu sahihi kwa sasa staili yake ya soka analofundisha inaonekana kabisa hata kwa mechi alizosimamia unaona kabisa ameshatengeneza first eleven yake tofauti na yule muhindi kila siku anafanya testing ya mifumo utadhani alikuja kunifunza ukocha
Kwa sasa timu inahitaji usajili Arteta atoe mapendekezo yake apatiwe watu anaowahitaji naamini akipatiwa mahitaji yake bila longolongo baada ya msimu ujao (sahau msimu huu na msimu ujao pia) tutakua tunatembea kifua mbele tukicheki mpira kwa burudani kabisa bila hofu yoyote
Ila ukweli kwa sasa hali ni mbaya lakini #hatutoki #hatuhami
#COYG![]()



HUU NDO UKWELI WENYEWEHAHAHA JAMAA WEWE NI MPINZANI NAJUA HUWEZI KUTUPENDAImprovements ni:-
1. Kucheza mpira wa pasi nyingi/kuvutia
2. Wachezaji kuchezeshwa namba zao halisia
3. Beki zimeimarika hatupigiwi tena mashuti kibao.
Ila mwisho wa siku Arsenal tusahau ubingwa, hatuna wachezaji wa viwango vikibwa.
Embu muangalie PEPE, hivi kweli huyu ni mchezaji ama mwanasesere.
Muangalia Lacazette linavyogaragara chini kama linguruwe pori
Muangalie ozil livivu, lizembe, linakimbia kama limemeza fimbo.
Sent using Cash Money Wings



ILA UONGO DHAMBI UMEONGEA POINT KUBWA SANA SANA SINA CHA KUONGEZEA HVYO VITU 3 ULIVYOVITAJA NDO SAHIHI ILA MATOKEO BADO NI YALEYALE SARE SARE KUSHINDA KWA MBINDE WEEE KUFUNGWA KWA NADRA TULITAKIWA TUANZE KUSHINDA MECHI ANGALAU 5 KATIKA 9 ILA MECHI 9 USHINDI 2 UNASEMA KUNA IMPROVEMENT????Hapo unapoteza nguvu bure.Hajui aliposimamiaSasa ndio umeongea nini,mara hakuna improvements mara sasa hivi tunadominate games...tatizo lako wewe una papara na hazifai kama kweli unataka mafanikio,
Hao Liberpool hawajafika hapo unapopatamani wewe kama uyoga tu...walisajiri kidogokidogo na kuacha wachezaji wasiofit katika mfumo kidogokidogo pia,huwezi january hii ukaacha timu nzima ukasajiri wengine hilo halipo kuwa mvumilivu dogo....
Sent using Jamii Forums mobile app
Arteta ni mtu na sahihi na ni kocha Bora kabisa.Arteta ni mtu sahihi kwa sasa staili yake ya soka analofundisha inaonekana kabisa hata kwa mechi alizosimamia unaona kabisa ameshatengeneza first eleven yake tofauti na yule muhindi kila siku anafanya testing ya mifumo utadhani alikuja kunifunza ukocha
Kwa sasa timu inahitaji usajili Arteta atoe mapendekezo yake apatiwe watu anaowahitaji naamini akipatiwa mahitaji yake bila longolongo baada ya msimu ujao (sahau msimu huu na msimu ujao pia) tutakua tunatembea kifua mbele tukicheki mpira kwa burudani kabisa bila hofu yoyote
Ila ukweli kwa sasa hali ni mbaya lakini #hatutoki #hatuhami
#COYG![]()
Ujue hapa kuna makundi mawili ya mashabiki wapo ambao wanataka timu ishinde kila mechi kwa kikosi hiki hiki ila wapo wengine ambao wanampa kocha muda atengeneze timu yake kwaio kwa sasa wanaangalia mechi ili kukamilisha ratibaArteta ni mtu na sahihi na ni kocha Bora kabisa.
There is a huge difference in too many things. Mechi ya Jana isitufanye tukaumia kichwa sana. Tatizo la Sisi tuna over-expect . Watu wanachukulia poa sana ila kucheza more than 20 minutes with a man down sio kitu rahisi especially kwenye EPL
Me nimeacha kubishana siku hizi maana hainisaidii chochote
UNAI NDO KOCHA ALIYETOA DROO NYINGI TUKASEMA ASEPE NA PIA SABABU NYINGINE NI KUCHEZA MPIRA MBOVU MNO NDO AKAJA FREDDIE AKATOA DROO 3 AKAPIGWA 2 AMEKUJA ARTETA KATOA DROO 2 KASHINDA 1 LOST 1
BAADA YA HIZO TAKWIMU NIAMBIE IMPROVEMENT IPO WAPI?THEN TUENDELEE NA MJADALA HUMU MIMI NAMAANISHA IMPROVEMENT YETU NI KUDOMINATE NA KUCHEZA SEXY FOOTBALL ILA MATOKEO BADO NI YALEYALE SARE KIBAO (KUFUNGWA NA KUSHINDA HAPA NDO HAPAELEWEKI KUFUNGWA HATUFUNGWI ILA PIA KUSHINDA HATUSHINDI)
Sent using Jamii Forums mobile app
FREDY ALIFUNGWA NA BRIGHTON NA MANCHESTER CITY TENA ZOTE EMIRATES





Ukiniambia nichague VAR na kamati ya masaa 72 ya hapa kwetu basi mimi ntachagua hii ya bongo....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa kamati ya masaa 72Ukiniambia nichague VAR na kamati ya masaa 72 ya hapa kwetu basi mimi ntachagua hii ya bongo....
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Hakan vp kiwango chake!.. Kusema kweli sijawahi kumfuatilia kabisa!. Anaweza akatusaidia huyu?Hakan Calhanoglu has been identified as a potential option to freshen up the attacking midfield options.
The player and his entourage are open to a move, with Euro 2020 just around the corner, and a loan deal could give him more game time ahead of the tournament.
[Mirror] ARSENAL on Twitter
Not really. Ndio yale yale tuHuyu Hakan vp kiwango chake!.. Kusema kweli sijawahi kumfuatilia kabisa!. Anaweza akatusaidia huyu?
Sent using Jamii Forums mobile app