Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Dakika ya 60 fanya mabadiriko Wenger hakuna jipya zaidi ya kujiongezea presha wenyewe.tunagawa mipira hovyo.
 
If you're attacking, you don't get as tired as when you're chasing.
 
huyu mshika kibendera mpumbavu nini? clichy kateleza na mpira umepigwa ukamgonga mkononi sio kwamba kashika maksudi.
 
Aaaaarrrrrrrrggggghhhhh!....It is over! :angry:
 
he he he!,....hizi soft penalties bana,...haya sasa kakosa.
Tukisema wanabebwa watu watasema tuna majungu.
 
What is that?!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Bora Drogba almpa kipa jana! Rooney kwisha kazi.
 
WOW!...lucky us! but we need more efforts to salvage a point....15 minutes to go.
 
Leo kwa kweli Arsenal haijacheza vizuri na labda wajaribu kutafuta la kusawazisha na la ushindi.
 
Naona wachezaji wenu wanajaribu mashuti ya nje ya box leo.
 
Back
Top Bottom