Eqlypz
JF-Expert Member
- May 24, 2009
- 4,065
- 651
Aende west ham ama wigan, kop ndio wamegangamara na kocha wao.Duuuh naona Big Sam kafukuzwa rovers noma sana.Jamaa huwa anasaidia sana kwenye timu ndogo ndgo hizi kuziweka sawa i hope atapa timu soon.Wampe Westham untd.
Ebanae mechi ya leo ni ya 40 kati ya fergie na wenger na record ni fergie 16, wenger 15 draw 9 masaa kama yamegoma kwenda vile.