Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Usajili News: Arsenal wapo busy.

Upamecano atagharimu milioni 45

Rabbiot kwa mkopo

Saliba huenda akaitwa baada ya Calum Chambers kuumia goti.

0_Untitled-design.jpg


Arsenal ikishindwa kumpata Upamecano basi itaangalia uwezekani wa kumsajili Mkoba wa Torino Armando Izzo.
GettyImages-958738656.jpg

Izzo

Ila priority ni Upamecano kwanza.
 
Auba asiondoke ndiye roho ya timu jamani


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huyo Ancelloti kakaa Msimu Mmoja na Nusu Kawaachaje Napoli? Wana hali mbaya kwenye Ligi Wakati Sarri aliiacha Napoli ya Moto

Everton na Arsenal matatizo yao ni tofauti,.
Ndo maana nkasema hivi Arteta sijamkataa kabisa labda hukunielewa Pep Zidane hao uliowataja walipewa timu gani na zenye wachezaji wa aina gani na background yake ipoje?

Arteta kapewa Arsenal ambayo inaendelea kuzama yeye mwenyewe mechi 2 hajashinda sababu haieleweki either wachezaji wabovu au yeye mwenyewe hana experience sio kocha mzuri

mfano Everton ANCELLOTI kacheza mechi 2 na ameshinda zote mbili sababu ni ana experience na anaujua mpira na keshabeba EPL hvyo sio mbahatishaji linaeleweka

Hvyo hata sisi hatuna uhakika na Arteta na tumebaki kuweka hisia zaidi na zaidi kuwa tumpe muda mara mpira wake mzuri tunaishia kujifariji tu bila sababu

Mimi NINGEKUWA NDO CEO WA ARSENAL NIGEMBEBA ANCELLOTI HATA KWA MWAKA 1 MPAKA NIKAE SAWA THEN ARTETA ANGEKUJA WAKATI NIMEKAA SAWA KITIMU ILA KWA SASA NGOJA TUONE HADI MARCH NINI KITATOKEA SABABU BODI INAPENDA VITU RAHISI NA HAWAJUI MPIRA NDO MAANA HAYA YOTE YANATOKEA

LAZIMA TUAMBIANE UKWELI MASHABIKI TUSIPEANE MOYO WA KIJINGA ARTETA NI KAMA KAMARI TUMECHEZA WAKATI TIMU NI MBOVU NA HATUJUI EXPERIENCE YAKE IPOJE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ishu sio makombe kama ni hvyo ASTON VILLA ni kubwa kuliko sisi sababu kombe kubwa ni champions league Arsenal sasa ikipangwa na timu yoyote wanafurahi ila ukiambiwa WOLVES umepangwa nayo hulali kama WOLVES anagombania top 4 na sisi tunaelekea kushuka Daraja ndo maana nkahitimisha WOLVES ni kubwa kuliko sisi Arsenal kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ipo shida mahali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usajili News: Arsenal wapo busy.

Upamecano atagharimu milioni 45

Rabbiot kwa mkopo

Saliba huenda akaitwa baada ya Calum Chambers kuumia goti.

0_Untitled-design.jpg


Arsenal ikishindwa kumpata Upamecano basi itaangalia uwezekani wa kumsajili Mkoba wa Torino Armando Izzo.
GettyImages-958738656.jpg

Izzo

Ila priority ni Upamecano kwanza.
huyu upamecano naskia ni injury prone mzuri tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom