milangomitatu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,469
- 1,167
Kuambiana ukweli inasaidia sana kuliko kuambiana ujinga ambao hautupi Msaada wowote wakati tunafanana na NORWICH na ASTON VILLAUmesema kweli inayokuweka huru. Kazi walikuwa wanamlaumu kocha, eti tuna wachezaji wazuri. Hao wachezaji ni Kina nani? Beki nzima hamna kitu. Hapo kati pia tia maji tia maji mbali na Torreira. Yani wachezaji kina Maitiland, Willock, Bukayo, Pepe (apandaye na kushuka), Gunduzi ndo wakupambanie uwe top four? Laca naye ndo yuleeeee,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha sawa mkuu.... Ngoja tuoneMkuu next game unaionaje dhidi ya Manchester United?Mimi nasema tukipona tutafungwa 2 au 3 sababu Manchester United watakaa nyuma na kufanya counter attack Mwaka huu mpaka bodi akili zitarudi na kukaa sawa Manina kabisa kama Arteta hii mechi kaishindwa ya Man u asijisumbie tutakula kipigo takatifu hvyo tujiandae kwa kipigo na kuwa nafasi ya 15
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu humu watu hawataki kuambiwa ukweli, mara kibao nimesema timu yetu jinsi ilivyo mbovu ila watu wanajipa matumaini hewa. Tusubiri hadi tushuke daraja ndio akili zitawakaa.Kuambiana ukweli inasaidia sana kuliko kuambiana ujinga ambao hautupi Msaada wowote wakati tunafanana na NORWICH na ASTON VILLA
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!!KUANZIA LEO HUMU KWENYE GROUP MAMBO YA OHH ARTETA KOCHA MZURI MARA OOH WACHEZAJI WAMEIMPROVE KWENYE MAZOEZI MARA OHH WACHEZAJI WANA ENERGY BAADA YA ARTETA MARA TUMEFUNGWA ILA TUMECHEZA VIZURI TUTAAMKA HAYO YOTE NI PUMBA PUMBA TUAMBIANE UKWELI AMBAO KAMA HAMTATAKA KUYASKIA ILA BORA TUAMBIANE KAMA J5 TUTAKULA KIPIGO NEXT CRYSTAL PALACE NA MNAPAJUA PALE PALIVYO PAGUMU KWA KIKOSI CHA NELSON (MTOTO WA KOCHA)NA WILLOCK HUYU TUTAKULA TENA KIPIGO KWA SASA TUJAIDILI TIMU JE TUTAFANIKIWA KUBAKI LIGI KUU MSIMU WA 2020?HILI NDIO LINA UMUHIMU KULIKO MENGINE YOTE YA KUPEANA MOYO TU HUMU
Sent using Jamii Forums mobile app
WALA HATUKOMI
Kweli kabisa kuanzia sasa atakayekomenti ujinga tutampa makavuMkuu humu watu hawataki kuambiwa ukweli, mara kibao nimesema timu yetu jinsi ilivyo mbovu ila watu wanajipa matumaini hewa. Tusubiri hadi tushuke daraja ndio akili zitawakaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona povu jingi kama hii timu ndio kwanza umeanza kuipenda jana????Bodi inachukua kina Guendouzi Willock Nelson Smith Saka hao wote eti wanaingia first eleven si kituko cha dunia halafu bado tunajipa moyo kuwa top 4 hivi sisi mashabiki wa Arsenal tuna akili timamu kweli?kweli?naona saa nyingine tunapataga ukichaa wa akili
Katika madogo wote ni Martineli peke yake ndo anaweza akapata namba hata timu kubwa kwa sasa naanza kujitoa kwenye akili ya ukichaa nakuwa timamu zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhuru wa kuongea mkuu,usiwafungie watu katika box la fikra kwa kile unachofikiria wewe basi na mwingine afikirie hikohiko ....NO.KUANZIA LEO HUMU KWENYE GROUP MAMBO YA OHH ARTETA KOCHA MZURI MARA OOH WACHEZAJI WAMEIMPROVE KWENYE MAZOEZI MARA OHH WACHEZAJI WANA ENERGY BAADA YA ARTETA MARA TUMEFUNGWA ILA TUMECHEZA VIZURI TUTAAMKA HAYO YOTE NI PUMBA PUMBA TUAMBIANE UKWELI AMBAO KAMA HAMTATAKA KUYASKIA ILA BORA TUAMBIANE KAMA J5 TUTAKULA KIPIGO NEXT CRYSTAL PALACE NA MNAPAJUA PALE PALIVYO PAGUMU KWA KIKOSI CHA NELSON (MTOTO WA KOCHA)NA WILLOCK HUYU TUTAKULA TENA KIPIGO KWA SASA TUJAIDILI TIMU JE TUTAFANIKIWA KUBAKI LIGI KUU MSIMU WA 2020?HILI NDIO LINA UMUHIMU KULIKO MENGINE YOTE YA KUPEANA MOYO TU HUMU
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeeeh watu hawajui maana ya ushabiki humu.Acha aongee huyo mama, nadhani hawa ni mamluki waliyohama Arsenal, kwa hiyo anaandika kujustify maamuzi yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule refa mumshukuru sana maana kawabeba sana kwani Joginho hakuwa na sababu ya kumaliza ile game bila umeme,ni mapenzi ya refa tuShukrani kwa Laca ndie sababu refa kagoma kumpa Jorgihno second yellow anamfundiaha kazi
Na huyu joginyo alistahili red mumshukuru refaWamecheza vzr dakika 30 za kwanza. Usiseme hujui kilichotokea. Game ilibadilika baada ya Joginho kuingia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha hasira mkuu,relaxUkisema ukweli unaoneakana mbaya LENGO LA ARSENAL MSIMU HUU NI TIMU KUTOSHUKA DARAJA HAYO MENGINE TUWAACHIE WAKUBWA WALIOTUZIDI KIWANGO KAMA WOLVES
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona kila mtu anavutia kwake vip kuhusu lile teke alilorusha Gunduz kwa kante na Abraham alivyoshikwa ndani ya box?Yule refa mumshukuru sana maana kawabeba sana kwani Joginho hakuwa na sababu ya kumaliza ile game bila umeme,ni mapenzi ya refa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule refa mumshukuru sana maana kawabeba sana kwani Joginho hakuwa na sababu ya kumaliza ile game bila umeme,ni mapenzi ya refa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na huyu Manure, yeye na mwenake Garry Neville hawana lolote, walipewa ukocha wakachemka kuliko, wivu tu..."I don't care how well Arsenal played today. I don't care about better passes, higher possession and signs of improvement. My biggest concern is why was Mikel Arteta not wearing a suit for his first game in charge. You've got to ask whether he's even serious about his job." View attachment 1304901
Sent from SM-G950F using Jamii Forums mobile app
kabisa, tunapita kwenye mawimbi na madhoruba makali, nina uhakika msimu ujao tutatulia, 110%, tuumpe Arteta nafasi, COYG...Mkuu mbona povu jingi kama hii timu ndio kwanza umeanza kuipenda jana????
Sifa ya shabiki ni uvumilivu.
STAMALA .
Sent using Jamii Forums mobile app
ahsante...huyu jamaa kaja na jazibaa.arteta anaitaji mudaMkuu mbona povu jingi kama hii timu ndio kwanza umeanza kuipenda jana????
Sifa ya shabiki ni uvumilivu.
STAMALA .
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika gani na Msimu ujao wakati tunaweza kuwa championships ?kabisa, tunapita kwenye mawimbi na madhoruba makali, nina uhakika msimu ujao tutatulia, 110%, tuumpe Arteta nafasi, COYG...
Mimi naongea ukweli wewe unaweka ushabiki hapo ndo tatizo ila Mimi nachosema kama upo tayari kushabikia Arsenal vs Blackpool next season sawa ila kwa shabiki kama Mimi sitaweza lazima viongozi waje na wazo mbadala ambalo hata sisi tunaweza tusiwe tunalifikiria sababu 6 matches (3 matches home 3 loss)na (3 matches away 3 draws)ni dalili ya kushuka daraja ndo maana tunaongea live bila chenga na hata kama hawatuskii tutaenda kwenye pages zao kuwaambia ukweli nani aanze kuangalia game za championship humu mara Arsenal vs QPR mara Arsenal vs Charlton halafu unajua Mashabiki wanaamini eti Arsenal haiwez shuka Daraja ni kujipa moyo wa kijinga Mpira sio siasa ni akili na technique basiUhuru wa kuongea mkuu,usiwafungie watu katika box la fikra kwa kile unachofikiria wewe basi na mwingine afikirie hikohiko ....NO.
Sent using Jamii Forums mobile app