
#MACHO YANGU YALICHOFANIKIWA KUONA JANA
Niseme nina siku nyingi mno zaidi ya 100 plus sijawahi kuona arsenal iliyocheza jana
Aggresive bila kusahau confidence nimeiona baada ya siku nyingi.
niliwahi kusema players works on #tactics


nikujuze ujue ndio nashuhudia tukipiga pass nyingi ndani ya zone ya mpinzani .
Tuache ilo fast flowing attacking nimeona kwa kiasi kikubwa , Mpira wa arteta uliwapa hata mabeki utulivu wa kufanya marking.
Nafikiri wote tumeona intelligent ya arteta kutengeza build up yetu kiuchezaji pengine matokeo yakawa sio mazuri ila kuna mabadiliko mengi mno
Football ni rhythm au niseme fluidity kitu ambacho leo kimemrudisha xhaka yule wa babu wenger sijaona unnecessary passess bali nimeona pass za malengo tu akipiga .
Licha ya kwamba hatukuwa makini sana kutumia nafasi lakini hili ni swala kocha natumai kaliona kabisa na amelizungumzia ., Laca hakuwa sawa kabisa kapoteza nafas za kufunga , nelson ana utoto mwingi ,next natarajia kumuona pepe akianza.
Je mara ya mwisho kushuhudia tukifanya attempts 17 ni lini?
Je wajua hakuna player kafanya tackling na recoveries uwanjani zaidi ya torreira najua umeona., na kwanini Mateo gunduz hawez na hakustahili kuanza mbele ya xhaka na LT11.
Binafsi huwa naupa muda nafasi .,
huyu ozil hajaisha to be honest ni anapiga pass nzuri mno na Arteta amesema anajua kumtumia vzr tu.


Ozil Jana ndio mchezaji pekee wa arsenal aliyetengeneza nafasi 4 kwenye open play ndani ya game moja hii ni nyingi kuliko mchezaji yeyote wa arsenal msimu huu kufanya hivyo kwa game 1
Binafsi niseme mabadiliko yanahitaji muda tusitegemee makubwa kwa mda mfupi lakini tuwe nyuma ya kocha wetu nime enjoy mpira licha matokeo kutokuwa rafiki
This means a lot about attractive football
Hatutoki_na_hatuhami