Sawa.Umaskini utawaua tafuteni pesa siyo kulalamikia hela ya mboga tu.
Wachezaji wenyewe mnasajili kwa mafungu kama mnanunua bamia kwa Mangi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo ukiwa kama mke wa Guardiola unatushaurije?
Sawa.Umaskini utawaua tafuteni pesa siyo kulalamikia hela ya mboga tu.
Wachezaji wenyewe mnasajili kwa mafungu kama mnanunua bamia kwa Mangi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hakuna sehemu nimesema Ljungberg ana matatizoKwahiyo Ljungbarg kwa kipindi hiki amekuwa namatatizo gani?
Sent from my SM-G950F using Tapatalk
Umeanza lini kupumuliwa kijana mbona kama una mhemko?Umaskini utawaua tafuteni pesa siyo kulalamikia hela ya mboga tu.
Wachezaji wenyewe mnasajili kwa mafungu kama mnanunua bamia kwa Mangi
Sent using Jamii Forums mobile app
Zidane alikuwa kocha mkuu wa timu gani mkuu?Trust in Arteta? Sina imani naye. Wenger anakuja Arsenal hakua msaidizi Nagoya Grumps alikua ni kocha mkuu, Lampard anaenda Chelsea hakua msaidizi huko alipotoka. Hata Ole huko alipotoka alikua ni kocha mkuu katika timu aliyoishusha daraja.
Naona watu wanaandika kua alichezea Arsenal, anaijua Arsenal, amekua msaidizi chini ya Pep so lazima atakua anajua mpira ambao ni nembo ya Arsenal. Jamaa kachezea Everton kuliko Arsenal. Lakini tunafanya ionekane alienjoy maisha Arsenal na hapo ni kwake, really?
Wanadai uzoefu hauna tija na mfano wao ni Guardiola, kama huo ni mfano wako sioni utashindwaje na mfano utakaofuata ukawa ni Zidane. Hawa wawili wameanzia maisha ya ukocha kwenye timu zenye kila kitu, pesa, mbinu, world class superstars n.k. Pep baada ya Barca hajawahi pata UCL tena, na ni kocha mtumia pesa kuliko wote EPL.
Kwangu mimi bado kwa Arteta tunacheza kamari. Watu wanadai Wenger alikua hajulikani, siyo hajulikani ila huku ndiyo ilikua hatumjui, wewe unadhani Bodi ya Arsenal inawajua makocha wanaosajiliwa na Simba au Yanga? Kwamba kuna siku Simba au Yanga ijikute inagombea kocha na Arsenal?
Tuache utani kwenye dili serious.
Itakua hujanielewa.
Trust in Arteta? Sina imani naye. Wenger anakuja Arsenal hakua msaidizi Nagoya Grumps alikua ni kocha mkuu, Lampard anaenda Chelsea hakua msaidizi huko alipotoka. Hata Ole huko alipotoka alikua ni kocha mkuu katika timu aliyoishusha daraja.
Naona watu wanaandika kua alichezea Arsenal, anaijua Arsenal, amekua msaidizi chini ya Pep so lazima atakua anajua mpira ambao ni nembo ya Arsenal. Jamaa kachezea Everton kuliko Arsenal. Lakini tunafanya ionekane alienjoy maisha Arsenal na hapo ni kwake, really?
Wanadai uzoefu hauna tija na mfano wao ni Guardiola, kama huo ni mfano wako sioni utashindwaje na mfano utakaofuata ukawa ni Zidane. Hawa wawili wameanzia maisha ya ukocha kwenye timu zenye kila kitu, pesa, mbinu, world class superstars n.k. Pep baada ya Barca hajawahi pata UCL tena, na ni kocha mtumia pesa kuliko wote EPL.
Kwangu mimi bado kwa Arteta tunacheza kamari. Watu wanadai Wenger alikua hajulikani, siyo hajulikani ila huku ndiyo ilikua hatumjui, wewe unadhani Bodi ya Arsenal inawajua makocha wanaosajiliwa na Simba au Yanga? Kwamba kuna siku Simba au Yanga ijikute inagombea kocha na Arsenal?
Tuache utani kwenye dili serious.
Kabisa.Arteta hata hajaanza kazi twaona "HATERS" mnapagawa?!
Na bado, mwaka huu hana pressure, Europa na labda na FA Cup, mwaka kesho kujitahidi top 4, mwaka wa 3 shughuli pevu, hatuna haraka, subirini muone ....
Umeongea kitu cha msingi sana. Matatizo yalianza kipindi cha Wenger. Huo ndio ukweliHuyu jamaa kuna vitu anavyo, atatusaidia ila apewe muda na resources za kutosha.
Tatizo tunaloliona kwa sasa (ubovu wa mabeki na viungo) ulianza toka enzi za mzee Wenger. Hatukua na recruitment nzuri ya kupata watu sahii kwenye position hizo.
Timu yetu on paper inaweza kuonekana nzuri ila ukweli mchungu ni kuwa tuna wachezaji wengi wa kawaida. Ili kutoka hapo na kusahisha makosa ya nyuma, tunahitaji muda wa kuunda kikosi cha ushindani.
Hivyo ndugu zangu gunners tuwe wavumilivu, tusiweke matarajio makubwa kwa sasa. Tujipe walau misimu miwili, kwenye mpira hakuna shortcuts.
COYG, #HATUTOKI_HATUHAMI#
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa natuliza.Arsenal tuna philosophy yetu, hatufuati wengine wamefanya nini, tuliza ball, the team is under reforms
Jamaa analeta mihemko ,na matusi , ngoja tukae kimya maana hawakawii kushtaki tupigwe ban ,Umeanza kwa matusi usishtaki kwa mods.
Hizo 600+ Mumeo Guardiola alitumia ndani ya miezi 18? Na hatujasema kua lengo letu tulingane kikosi na mumeo Guardiola tumesema hata kikosi cha kwanza hakua nacho. Jifunze kubalansi shobo.
Acha kumfananisha Ole na vitu vya kijinga.Trust in Arteta? Sina imani naye. Wenger anakuja Arsenal hakua msaidizi Nagoya Grumps alikua ni kocha mkuu, Lampard anaenda Chelsea hakua msaidizi huko alipotoka. Hata Ole huko alipotoka alikua ni kocha mkuu katika timu aliyoishusha daraja.
Naona watu wanaandika kua alichezea Arsenal, anaijua Arsenal, amekua msaidizi chini ya Pep so lazima atakua anajua mpira ambao ni nembo ya Arsenal. Jamaa kachezea Everton kuliko Arsenal. Lakini tunafanya ionekane alienjoy maisha Arsenal na hapo ni kwake, really?
Wanadai uzoefu hauna tija na mfano wao ni Guardiola, kama huo ni mfano wako sioni utashindwaje na mfano utakaofuata ukawa ni Zidane. Hawa wawili wameanzia maisha ya ukocha kwenye timu zenye kila kitu, pesa, mbinu, world class superstars n.k. Pep baada ya Barca hajawahi pata UCL tena, na ni kocha mtumia pesa kuliko wote EPL.
Kwangu mimi bado kwa Arteta tunacheza kamari. Watu wanadai Wenger alikua hajulikani, siyo hajulikani ila huku ndiyo ilikua hatumjui, wewe unadhani Bodi ya Arsenal inawajua makocha wanaosajiliwa na Simba au Yanga? Kwamba kuna siku Simba au Yanga ijikute inagombea kocha na Arsenal?
Tuache utani kwenye dili serious.