Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Trust in Arteta? Sina imani naye. Wenger anakuja Arsenal hakua msaidizi Nagoya Grumps alikua ni kocha mkuu, Lampard anaenda Chelsea hakua msaidizi huko alipotoka. Hata Ole huko alipotoka alikua ni kocha mkuu katika timu aliyoishusha daraja.

Naona watu wanaandika kua alichezea Arsenal, anaijua Arsenal, amekua msaidizi chini ya Pep so lazima atakua anajua mpira ambao ni nembo ya Arsenal. Jamaa kachezea Everton kuliko Arsenal. Lakini tunafanya ionekane alienjoy maisha Arsenal na hapo ni kwake, really?

Wanadai uzoefu hauna tija na mfano wao ni Guardiola, kama huo ni mfano wako sioni utashindwaje na mfano utakaofuata ukawa ni Zidane. Hawa wawili wameanzia maisha ya ukocha kwenye timu zenye kila kitu, pesa, mbinu, world class superstars n.k. Pep baada ya Barca hajawahi pata UCL tena, na ni kocha mtumia pesa kuliko wote EPL.

Kwangu mimi bado kwa Arteta tunacheza kamari. Watu wanadai Wenger alikua hajulikani, siyo hajulikani ila huku ndiyo ilikua hatumjui, wewe unadhani Bodi ya Arsenal inawajua makocha wanaosajiliwa na Simba au Yanga? Kwamba kuna siku Simba au Yanga ijikute inagombea kocha na Arsenal?

Tuache utani kwenye dili serious.
Zidane alikuwa kocha mkuu wa timu gani mkuu?
Tukae humo kwanza.
Kama sababu ni hizo za wachezaji wazuri,mbinu n.k mbona kuna lundo la experienced coach waliishindwa hiyo Madrid na wakatimuliwa?????Solari,Lapotegue n.k au hao walivyoichukua timu walibadilishiwa wachezaji?
Tuhame huko hivi pale PSG kuna wachezaji wabaya?au mbinu?au pesa hakuna?inakuwaje wanasuasua?

Ukocha sio pesa,na kuwa na lundo la wachezaji masuperstar.....bali ni Talent,Tactics,Technics and Plans.
Hiyo madrid iliyokuwa na kila aina ya superstar lakini ilifanywa vibaya na huyu Mr.Wenger home and away pamoja na kuwa na wachezaji hao hao wa mafungu na wakawaida.....


Wewe uamini usiamini ndio ishakuwa na haina jinsi,maana wengi tulipenda aje experienced coach lakini bodi ndio ishampitisha huyu.....NDIO KOCHA WETU.

TUMSAPOTI,

kila kitu utachofanya hapa chini ya jua ni GAMBLE tu hiyo weka akilini.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arteta to Arsenal players: "I will be in the stands at Everton. I want you to know that I will be watching your attitude, your efforts, your body language. I will see what you do when we lose the ball, what your attitude is. Also, what you do when we have the ball." #AFC

Sent from my SM-G950F using Tapatalk
 
Arteta hata hajaanza kazi twaona "HATERS" mnapagawa?!
Na bado, mwaka huu hana pressure, Europa na labda na FA Cup, mwaka kesho kujitahidi top 4, mwaka wa 3 shughuli pevu, hatuna haraka, subirini muone ....
 
Zidane alikuwa kocha mkuu wa timu gani mkuu?
Tukae humo kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Itakua hujanielewa.

Kuna watu wamedai uzoefu siyo swala la msingi na mfano wao ni Pep, mimi nikasema kama mtu anatoa mfano wa Pep juu ya uzoefu basi hashindwi kumtaja Zidane na kumtumia kama mfano pia.

Ambacho wanasahau ni kua hawa wawili timu walizoenda ndiyo ziliwabeba. Hakuna sehemu nimesema Zidane alikua kocha mkuu au ana uzoefu kabla ya kutua Madrid.
 
Trust in Arteta? Sina imani naye. Wenger anakuja Arsenal hakua msaidizi Nagoya Grumps alikua ni kocha mkuu, Lampard anaenda Chelsea hakua msaidizi huko alipotoka. Hata Ole huko alipotoka alikua ni kocha mkuu katika timu aliyoishusha daraja.

Naona watu wanaandika kua alichezea Arsenal, anaijua Arsenal, amekua msaidizi chini ya Pep so lazima atakua anajua mpira ambao ni nembo ya Arsenal. Jamaa kachezea Everton kuliko Arsenal. Lakini tunafanya ionekane alienjoy maisha Arsenal na hapo ni kwake, really?

Wanadai uzoefu hauna tija na mfano wao ni Guardiola, kama huo ni mfano wako sioni utashindwaje na mfano utakaofuata ukawa ni Zidane. Hawa wawili wameanzia maisha ya ukocha kwenye timu zenye kila kitu, pesa, mbinu, world class superstars n.k. Pep baada ya Barca hajawahi pata UCL tena, na ni kocha mtumia pesa kuliko wote EPL.

Kwangu mimi bado kwa Arteta tunacheza kamari. Watu wanadai Wenger alikua hajulikani, siyo hajulikani ila huku ndiyo ilikua hatumjui, wewe unadhani Bodi ya Arsenal inawajua makocha wanaosajiliwa na Simba au Yanga? Kwamba kuna siku Simba au Yanga ijikute inagombea kocha na Arsenal?

Tuache utani kwenye dili serious.

Arsenal tuna philosophy yetu, hatufuati wengine wamefanya nini, tuliza ball, the team is under reforms
 
Huyu jamaa kuna vitu anavyo, atatusaidia ila apewe muda na resources za kutosha.

Tatizo tunaloliona kwa sasa (ubovu wa mabeki na viungo) ulianza toka enzi za mzee Wenger. Hatukua na recruitment nzuri ya kupata watu sahii kwenye position hizo.

Timu yetu on paper inaweza kuonekana nzuri ila ukweli mchungu ni kuwa tuna wachezaji wengi wa kawaida. Ili kutoka hapo na kusahisha makosa ya nyuma, tunahitaji muda wa kuunda kikosi cha ushindani.

Hivyo ndugu zangu gunners tuwe wavumilivu, tusiweke matarajio makubwa kwa sasa. Tujipe walau misimu miwili, kwenye mpira hakuna shortcuts.

COYG, #HATUTOKI_HATUHAMI#



Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea kitu cha msingi sana. Matatizo yalianza kipindi cha Wenger. Huo ndio ukweli
 
Umeanza kwa matusi usishtaki kwa mods.

Hizo 600+ Mumeo Guardiola alitumia ndani ya miezi 18? Na hatujasema kua lengo letu tulingane kikosi na mumeo Guardiola tumesema hata kikosi cha kwanza hakua nacho. Jifunze kubalansi shobo.
Jamaa analeta mihemko ,na matusi , ngoja tukae kimya maana hawakawii kushtaki tupigwe ban ,

Halafu Arteta hajaletwa ili tufanane na city, sisi tuna mpira wetu unajulikana ,

Hii ni project mpya , Hao wanaodhan Arteta ameletwa ili tufanane na city mm nawaona ni wasiofikiria ,
 
LEO ATAKUWEPO JUKWAANI


Arteta on what he told the players: I will be in the stands at Everton. I want you to know that I will be watching your attitude, your efforts and body language. I will see what you do when you lose the ball, what your attitude is and what you do when you have the ball.


NINA IMANI NA KOCHA WANGU ,

IMG_20191220_171609.jpeg
 
Trust in Arteta? Sina imani naye. Wenger anakuja Arsenal hakua msaidizi Nagoya Grumps alikua ni kocha mkuu, Lampard anaenda Chelsea hakua msaidizi huko alipotoka. Hata Ole huko alipotoka alikua ni kocha mkuu katika timu aliyoishusha daraja.

Naona watu wanaandika kua alichezea Arsenal, anaijua Arsenal, amekua msaidizi chini ya Pep so lazima atakua anajua mpira ambao ni nembo ya Arsenal. Jamaa kachezea Everton kuliko Arsenal. Lakini tunafanya ionekane alienjoy maisha Arsenal na hapo ni kwake, really?

Wanadai uzoefu hauna tija na mfano wao ni Guardiola, kama huo ni mfano wako sioni utashindwaje na mfano utakaofuata ukawa ni Zidane. Hawa wawili wameanzia maisha ya ukocha kwenye timu zenye kila kitu, pesa, mbinu, world class superstars n.k. Pep baada ya Barca hajawahi pata UCL tena, na ni kocha mtumia pesa kuliko wote EPL.

Kwangu mimi bado kwa Arteta tunacheza kamari. Watu wanadai Wenger alikua hajulikani, siyo hajulikani ila huku ndiyo ilikua hatumjui, wewe unadhani Bodi ya Arsenal inawajua makocha wanaosajiliwa na Simba au Yanga? Kwamba kuna siku Simba au Yanga ijikute inagombea kocha na Arsenal?

Tuache utani kwenye dili serious.
Acha kumfananisha Ole na vitu vya kijinga.

Ole alishafundisha man united reserve team kushinda vikombe twice.

Akafundisha Molde akafanya vizuri for two consecutive seasons.

Akaenda Cardif things went south team ikawa relegated.

Akarudi Molde akacheza EUROPA league tena akaongoza kuongia round of 32 akatolewa na Sevilla.

Kaja Man united akafika robo fainali UEFA champions league.

Unataka kumlinganisha na huyo Arteta wenu ??

Be serious London babies

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Raul Sanllehi speaking to ArsenalPlayer:


“The recruitment process was led by Edu, our technical director. He made the first filter of coaches who possess the technical expertise to project on the pitch what we want in terms of style of play.”
IMG-20191221-WA0001.jpeg
 
Hearing Freddie Ljungberg signs off as Arsenal interim boss at #EVEARS by going with youth - Martinelli, Smith-Rowe, Nelson, Saka, Maitland-Niles in mix to start. Understand Mikel Arteta wants 6 staff including Ljungberg. As per others, Steve Round & Inaki Cana also incoming #AFC(David ornstein)
 
Back
Top Bottom