Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Yaan watu wanaongea kwa uzoefu ,Ohio arsenal haitoi hela , hawafatiliiHebu angalia hizi sajiri za Liverpool na ndio timu ya moto kwa sasa EPL ikiwa haijapoteza hata mchezo mmoja....lakini ni timu bora ulaya na inaelekea kuwa bora dunia keshokutwa tu.....
Aliyeturudisha nyuma ni Unai,kafanya Sven aondoke na walipewa 200m lakini hakuna walichofanya,
Michael Edward ni fundi sana aiseeeh,
Kwahiyo pesa ya usajiri waliyopewa Arsenal ingekuwa ndio tuna mtu kama Klopp na Michael aiseeeeehhhh ...lakini bahati mbaya tulikuwa na Unai ManinaView attachment 1298436
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha muhimu kufanya recruitment bora
Ndio Wenger amesema hicho , Arsenal summer wamesajiri ovyo
Unai katufelisha pakubwa sana
Naamini Arteta ataleta watu sahihi
Wenger amesema recruitment ya Liverpool ni bora maana imeleta watu sahihi kwa ajiri ya kuingia kwenye mfumo wao .



