msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,694
- 8,807
Ila huyu interim coach wenu, ni miongoni mwa makocha wa muda wabovu kabisa kuwahi kutokea.
Hapana kaka nakukatalia Arsenal ni moja ya timu tajiri duniani tatizo ni Kroenke kwanza haujui mpira na hajawah kwenda uwanjani zaidi ya mtoto wake kumtuma na Arsenal ina uwezo wa kumchukua kocha yoyote duniani sababu ni moja ya timu kubwa na yenye hela duniani ila changamoto ni Kroenke tu basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka wameongezeka wadhamini sita.Mkuu,ni bahati mbaya sina correct figures lkn kwa ujumla tumeanguka sana kifedha. Jaribu tu kuangalia mfano kwa dirisha lililopita la summer tumeuza wachezaji wangapi ukilinganisha na kipindi cha nyuma. Pili angalia tumetumia kiasi gani kusajili. Tatu angalia mishahara iliyoongezeka kwa kusajili na kurenew mikabata ya wachezaji. Then angalia hatupo uefa hivyo hatupati gawio zuri kama tunapocheza europa. Angalia gharama za kuvunja mkataba wa Unai na kulipa compansation ya Arteta City zote hizo ni gharama. Pia gate collections zimeshuka kwa matokeo mabovu.
Tuna wadhamini mbona tu Kaka ila nakuapia Kroenke akiachia timu hutaamini matokeo Arsenal itarudi kwa kasi mno kama mtu haujui mpira upoje wewe unawaza fedha na faida matokeo ndo haya tufungwe tusifungwe yeye anaponda raha sisi ndo tunaumiaMkuu,ni bahati mbaya sina correct figures lkn kwa ujumla tumeanguka sana kifedha. Jaribu tu kuangalia mfano kwa dirisha lililopita la summer tumeuza wachezaji wangapi ukilinganisha na kipindi cha nyuma. Pili angalia tumetumia kiasi gani kusajili. Tatu angalia mishahara iliyoongezeka kwa kusajili na kurenew mikabata ya wachezaji. Then angalia hatupo uefa hivyo hatupati gawio zuri kama tunapocheza europa. Angalia gharama za kuvunja mkataba wa Unai na kulipa compansation ya Arteta City zote hizo ni gharama. Pia gate collections zimeshuka kwa matokeo mabovu.
Wewe walikubonda hawa watuHongereni kwa kupata sare uwezo wenu ndio umeishia hapo
Hiyo ndio combination inayo work hapo kati, sio Ya Gunduz ,Freddie kaweka rekodi ya aina yake
Home hajashinda hata mechi 1 wakati home kwetu huwa ndo tunachukua point 3
Away hajafungwa hata mechi 1 wakati away huwa ndo tunapigwa siku zote
Kombinesheni ya Xhaka na Torreira ibaki hivi hivi najua Arteta anakuja kuibadili timu hao watoto waliocheza Leo Smith na Neilson ni takataka najua mwisho wao ndo leo
Maajabu na kichekesho Chelsea kala 3 last week hapa wakati Arsenal Leo haijapigiwa short on Target hata 1 haya ni maajabu
Sent using Jamii Forums mobile app
All in All mpira wa pass ameurejeshaFreddie kaweka rekodi ya aina yake
Home hajashinda hata mechi 1 wakati home kwetu huwa ndo tunachukua point 3
Away hajafungwa hata mechi 1 wakati away huwa ndo tunapigwa siku zote
Kombinesheni ya Xhaka na Torreira ibaki hivi hivi najua Arteta anakuja kuibadili timu hao watoto waliocheza Leo Smith na Neilson ni takataka najua mwisho wao ndo leo
Maajabu na kichekesho Chelsea kala 3 last week hapa wakati Arsenal Leo haijapigiwa short on Target hata 1 haya ni maajabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Arteta Alitoa mkwara LeoHaha eti clean sheet..... Hii arsenal ina nafasi kubwa ya kushinda kuliko kutoa clean sheet..... Haya ni maajabu kwangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie si mlishangilia mlipo pata sare kwenu hahahahahaWazee wa vipigo hongereni kwa kupata sare, mmepambana sana.
#mwakawatabu
Kweli kabisa yaani leo nimeshuhudia kabisaHiyo ndio combination inayo work hapo kati, sio Ya Gunduz ,