Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa jinsi mashabiki wa arsenal wanavyojifariji na ujio wa arteta,ni kama hawajafahamu tatizo lao la msingi ni nini.
Pesa ya Kroenke haitoki kifala hivyo jamani.
Mkuu kwan tatizo ni nini?

Kama usajiri utafanyika cha muhimu Watu wasajiriwe muhimu , kuendana na falsafa ya mwalimu

Emery aliaminiwa ndan ya miez 18 kapewa £200m kavurunda ,

Now tunaanza new project ,na Arteta hadi amesaini kaahidiwa usajiri

Huyu ni right candidate ,

Emery alitaka kuleta mpira wake wa ovyo ,
 
It was reported earlier that, following Mikel Arteta's move to Arsenal, Freddie could stay at the club as his assistant. However, according to this report, he could leave the Emirates and return to his homeland.
 
We ndio hamna kitu kabisa, unamuita Saka takataka?
Jamaa anaongea vitu vingi ambavyo havipo,

Hebu akasikilize press ya Arteta na waliyomuahid viongozi

Bodi itamsaidia kusajiri , watu wanaoendana na Mfumo

Kosa lilitendeka kwa emery , kaharibu falsafa ya timu ,kavurunda na hela walimpa

Wengi wa nadhan kufanya vibaya kwa timu ,emery hakupewa hela

Ukweli ni kwamba emery ndan ya miez 18 kasajiri watu wake kwa £200m na hakupata kikosi cha kwanza

Bodi imesema INA iman na Arteta maana hawez kuleta mpira wa ovyo wakat anajua Arsenal tunamtaka nn ,

Usajiri utafanyika tu , hata asingekuja Arteta , klabu ilishajipnga kuingia sokon kuleta baadhi ya Watu kama Dayot, Sangare , Dembele , n.k
 
Unai Emery on #Arteta:

“He really is prepared to make that next jump. He has been at Arsenal before, he's been in the Premier League and he has been working with Pep Guardiola. I do believe this is a good decision and I would also like it to be a good decision." #AFC #MCFC

Emery on #EFC: “Different teams have expressed interest. To be honest I want to thank them for wanting me and I told them that I wanted to be quiet, that I need to take a little bit of air. And to choose well the next project after many years of not stopping.”
 
We ndio hamna kitu kabisa, unamuita Saka takataka?
Kama tunawaza ubingwa au top 4 saka bado hana uwezo wa kutupa chochote kile tuwe wakweli saka anapata namba kwa Liverpool na Man City?wachezaji wangapi wa Arsenal wanaweza wakapata namba Liverpool au Manchester city?timu yetu bado sana hata Arteta naye atapata tabu sababu ya mabinti waliopo Arsenal ukiachana na wanaume wachache
Arsenal ni timu yetu sote ila kwa sasa haina jipya tusubiri Msimu wa 2020/2021 kwa sasa tushafeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NIMEPENDA SANA KAULI HII YA MINO RAIOLA ,

Raiola: “Klopp and Guardiola have a clear thing, of definition, of identity. You know if a player fits them or not. Or you even say different, ‘this is a player for Klopp or for Guardiola’. The other coaches don't know what they want and don't know what they are, this is why they buy according to Youtube and newspapers. Klopp will never be swayed by any thing, he knows who he is and what he wants in a player and he gets it.
 
Raul Sanllehi said the #AFC had interviewed other names before deciding on Arteta:

“We met several top-class candidates and Mikel stood out to every single one of us as the perfect person for us,”View attachment 1298251
Even Uni emery's selection process, we heard the same story. Arsenal is a big club, we need an experienced manager not arteta. This club's board is a joke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama tunawaza ubingwa au top 4 saka bado hana uwezo wa kutupa chochote kile tuwe wakweli saka anapata namba kwa Liverpool na Man City?wachezaji wangapi wa Arsenal wanaweza wakapata namba Liverpool au Manchester city?timu yetu bado sana hata Arteta naye atapata tabu sababu ya mabinti waliopo Arsenal ukiachana na wanaume wachache
Arsenal ni timu yetu sote ila kwa sasa haina jipya tusubiri Msimu wa 2020/2021 kwa sasa tushafeli

Sent using Jamii Forums mobile app
Absolutely yes, huo ndio ukweli sio baadhi kumung'unya maneno wakati ukweli unajulikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mgogoro unaendelea kati ya Uingereza na Urusi uliosababishwa na Uingereza kuituhumu Urusi kumuua kwa sumu jasusi wa urusi aliyekimbilia kujificha uingereza.

Mgogoro huo ulipekea uingereza kufukuza balozi na wanadiplomasia wa Urusi na yeye urusi akafukuza balozi wa uingereza na wanadiplomasia wa uingereza.

Wakapigana marufuku raia wa nchi hizi kuingia nchi ya mwenzake. Ndio maana Tajiri wa Chelsea hawezi kuingia uingereza tangu huo mgogoro uzuke na Roman alijaribu kwenda kuchukua uraia wa Israel ili aingie uingereza bado alikataliwa.

Mgogoro wa kidiplomasia wa nchi hizi bado haujaisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefuatilia ni kweli unalolisema. Ngoja tuone mwisho wake.
 
Guardiola:

“Mikel’s been an excellent coach for City. He’s shown impressive dedication, hard work & knowledge of football during his time here & has been a real contributor to our achievements over the past years. We all wish him well in his new role; I’m sure he’s ready for it.”
 
Asked about who had influenced him

Arteta: Wenger – he has a philosophy that he's never going to change because he really believes in it. That is most important thing, because if you don't really believe then you'll just change it after one bad result & drive your players crazy .
IMG_20191220_192021.jpeg
 
Sasa ulitaka tuanze kulia kwa ujio wa kocha mpya mkuu?????
Hayo yote tunayajua,ila hii ni klabu tunayoipenda na lazma tuisapoti hatua kwa hatua,hayo mengine yatakaa sawa taratibu
Kwa jinsi mashabiki wa arsenal wanavyojifariji na ujio wa arteta,ni kama hawajafahamu tatizo lao la msingi ni nini.
Pesa ya Kroenke haitoki kifala hivyo jamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Absolutely yes, huo ndio ukweli sio baadhi kumung'unya maneno wakati ukweli unajulikana

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu angalia hizi sajiri za Liverpool na ndio timu ya moto kwa sasa EPL ikiwa haijapoteza hata mchezo mmoja....lakini ni timu bora ulaya na inaelekea kuwa bora dunia keshokutwa tu.....

Aliyeturudisha nyuma ni Unai,kafanya Sven aondoke na walipewa 200m lakini hakuna walichofanya,

Michael Edward ni fundi sana aiseeeh,

Kwahiyo pesa ya usajiri waliyopewa Arsenal ingekuwa ndio tuna mtu kama Klopp na Michael aiseeeeehhhh ...lakini bahati mbaya tulikuwa na Unai Manina
74655047_2253702194929645_3665064649251605029_n.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom